Pre GE2025 CCM Tumieni Combination ya Paul Makonda & Jokate Mwegelo Kuwapoteza Wapinzani

Pre GE2025 CCM Tumieni Combination ya Paul Makonda & Jokate Mwegelo Kuwapoteza Wapinzani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwa wapanga mikakati wa ccm,fanyeni kumtumia Makonda na Jokate Mwegelo kuleta upili wa Nape na Kinana enzi zile,lazima Wapinzani wapoteane.

Mkiweza mnaweza muongeza Fakii Lukandala akawa na kundi lake la yule DC wa Mbomero na mlima Nyanya kuwe na makundi 2 huko site.

Hii itasiidia wazee kina Nchimbi kujikita zaidi kwenye masuala ya Maadili Kwa sababu Wazee hawana amsha amsha Kwa niaba ya Mama.

Ni ushauri tuu lakini sio lazima muufuate.

View: https://twitter.com/ccm_tanzania/status/1748945924896788618?t=4h27YhX5ce7kIDPKmQqkbw&s=19

My Take: Machadema yakisikia Makonda Pichu zinalegea.

Chuma kinatema Cheche

View: https://twitter.com/Jambotv_/status/1748735759819935758?t=fe-EU80bPxvs0XSSz7G2rw&s=19

Wajenge uaminifu Kwa wananchi?

Kwani uaminifu mliubomoa lini Hadi muujenge?

Kila siku Huwa mnasema hata wananchi wasipopiga kura ninyi mtaendelea kushika Dola,

Wananchi wakazi Gani tena?
 
Ukitaka iwe hivyo labda wagawe kofia na ub
Kwa wapanga mikakati wa ccm,fanyeni kumtumia Makonda na Jokate Mwegelo kuleta upili wa Nape na Kinana enzi zile,lazima Wapinzani wapoteane.

Mkiweza mnaweza muongeza Fakii Lukandala akawa na kundi lake la yule DC wa Mbomero na mlima Nyanya kuwe na makundi 2 huko site.

Hii itasiidia wazee kina Nchimbi kujikita zaidi kwenye masuala ya Maadili Kwa sababu Wazee hawana amsha amsha Kwa niaba ya Mama.

Ni ushauri tuu lakini sio lazima muufuate.

View: https://twitter.com/ccm_tanzania/status/1748945924896788618?t=4h27YhX5ce7kIDPKmQqkbw&s=19

My Take: Machadema yakisikia Makonda Pichu zinalegea.

Chuma kinatema Cheche

View: https://twitter.com/Jambotv_/status/1748735759819935758?t=fe-EU80bPxvs0XSSz7G2rw&s=19

Ukitaka iwe hivyo labda wagawe tshirt na kofia kila mkutano na ubwabwa bure, vinginevyo wataendelea kusinyaa mpaka uchaguzi unafika hakuna walichofanya cha maana.
 
Kwa wapanga mikakati wa ccm,fanyeni kumtumia Makonda na Jokate Mwegelo kuleta upili wa Nape na Kinana enzi zile,lazima Wapinzani wapoteane.

Mkiweza mnaweza muongeza Fakii Lukandala akawa na kundi lake la yule DC wa Mbomero na mlima Nyanya kuwe na makundi 2 huko site.

Hii itasiidia wazee kina Nchimbi kujikita zaidi kwenye masuala ya Maadili Kwa sababu Wazee hawana amsha amsha Kwa niaba ya Mama.

Ni ushauri tuu lakini sio lazima muufuate.

View: https://twitter.com/ccm_tanzania/status/1748945924896788618?t=4h27YhX5ce7kIDPKmQqkbw&s=19

My Take: Machadema yakisikia Makonda Pichu zinalegea.

Chuma kinatema Cheche

View: https://twitter.com/Jambotv_/status/1748735759819935758?t=fe-EU80bPxvs0XSSz7G2rw&s=19

Wapinzani wapotezwe na hizo mbinu outdated?!
 
Back
Top Bottom