issa yurry
JF-Expert Member
- Apr 20, 2014
- 626
- 818
Miaka 60 muko madarakani lkn mpaka Leo naona bado nchi inaomba mpaka msaada wa kuziba mashimo ya vyooKWA akili zangu timamu upinzani unge waachia KILA kitu CCM
Serikali za mitaa,udiwani, Ubunge na urais Ingenoga sanaa.
Inafikirisha....
Ifikapo 2025 tuwapime.
Madaraka hupofusha. Sadam Hussein mpaka anachojolewa shimoni bado alikuwa anaamini majeshi yake yangeyashinda yale ya Marekani.CCM bado sana kutoka marakani,bado tena sana tu.yanayotokea sasa pia yashatokea chaguzi zilizopita lakini CCM ni chuma cha pua,ushindi wa CCM mwaka huu ni zaidi ya 90%.
Sadam wakati anatawala Iraq kuliwa akuna vita na amani ilikuwepa ila baada ya Sadam kuchojolewa kwenye shimo kama unavyosema Iraq apakaliki.Madaraka hupofusha. Sadam Hussein mpaka anachojolewa shimoni bado alikuwa anaamini majeshi yake yangeyashinda yale ya Marekani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wajinga zaidi ni wale wanaoamini CCM itashinda, ila wanajua itashinda kwa mbinu zisizo halali, halafu sijui umejuaje huyo ndugu ni mpinzani au ndio kukurupuka tu lile jiwe likiguswa.Wewe hujawahi kuwa CC M!
Siku hizi wapinzani wamekuwa watoa ushauri kwa CCM!
Kwani hutaki CCM ishindwe uchaguzi!
Yaani kuna wajinga wanaamini CCM itashindwa katika Uchaguzi huu!
Mbona walishaachiwa toka tunapata uhuru 1961 mpaka vyama vingi vilipoanza 1992 lakini hakuna walichofanya dogo.KWA akili zangu timamu upinzani unge waachia KILA kitu CCM
Serikali za mitaa,udiwani, Ubunge na urais Ingenoga sanaa.
Inafikirisha....
Ifikapo 2025 tuwapime.
Sidhani kama CHADEMA ina wanachama wasio na akili.Mimi ni Chadema ila Ilani yetu hailewek i ya ubabaishaji mno.suala la majimbo limetuvua nguo
Hakukuwa na vita!! Kasome historia ya Iraq, uone Sadam alivyowaua raia wake kwa gas ya sumu, kwa sababu tu kwenye eneo hilo la Kaskazini kulionekana kuna watu wengi waliokuwa wakimpinga.Sadam wakati anatawala Iraq kuliwa akuna vita na amani ilikuwepa ila baada ya Sadam kuchojolewa kwenye shimo kama unavyosema Iraq apakaliki.
Kimbia mapema nyumba isha anza kushika motoWewe hujawahi kuwa CC M!
Siku hizi wapinzani wamekuwa watoa ushauri kwa CCM!
Kwani hutaki CCM ishindwe uchaguzi!
Yaani kuna wajinga wanaamini CCM itashindwa katika Uchaguzi huu!
Unakalia chanda chemaMimi ni Chadema ila Ilani yetu hailewek i ya ubabaishaji mno.suala la majimbo limetuvua nguo
Hatuko consistent we ave many tongues. Leo litasemwa hivi kesho lilelile litasemwa tofauti.Kitu ambacho narudia mara ya pili kikisisitiza, ni kwanini Mzee baba anafanya kazi ya kujibu hoja za Tundu ambaye ana akili nyingi sana na sasa ameshamjuia anacheza na milio ya midundo yake. Mimi nilisema mzee ajikite zaidi kuelezea anayotaka kuyafanya badala ya kuhangaika kumjibu Tundu, hii kazi ifanywe na kina Polepole. Hivi CCM mpya tuna shida gani tunakosa ubunifu sisi?
Tuelekeako mbele ya safari tutajikuta tunajibu hoja za Tundu tukasahau yaliyoko mbeleni. Huyu jamaa ana taarifa zote za mahali tunakoteleza, wapo watumishi wa umma wasio waaminifu wanatoa haya.Sasa tinavyozidi kumjibu ndivyo anavyozidi kuyatoa mengi ya ndani na sisi tutaendelea kumjibu.
Hawa jamaa ni wa ajabu sana, wameficha silaha zao pembeni za kampeni kama vile katibu mkuu na naibu wake, mwenyekiti wao pia wamemtangulizia Mgombea na mgombea mwenza na viongozi wa kikanda. Wanataka mwishoni watumalize sisi ambao kila safari tunaambatana timu yote.
Hawa jamaa ni wa ajabu sana, wameficha silaha zao pembeni za kampeni kama vile katibu mkuu na naibu wake, mwenyekiti wao pia wamemtangulizia Mgombea na mgombea mwenza na viongozi wa kikanda. Wanataka mwishoni watumalize sisi ambao kila safari tunaambatana timu yote.[emoji1536][emoji1536][emoji1534]Kitu ambacho narudia mara ya pili kikisisitiza, ni kwanini Mzee baba anafanya kazi ya kujibu hoja za Tundu ambaye ana akili nyingi sana na sasa ameshamjuia anacheza na milio ya midundo yake. Mimi nilisema mzee ajikite zaidi kuelezea anayotaka kuyafanya badala ya kuhangaika kumjibu Tundu, hii kazi ifanywe na kina Polepole. Hivi CCM mpya tuna shida gani tunakosa ubunifu sisi?
Tuelekeako mbele ya safari tutajikuta tunajibu hoja za Tundu tukasahau yaliyoko mbeleni. Huyu jamaa ana taarifa zote za mahali tunakoteleza, wapo watumishi wa umma wasio waaminifu wanatoa haya.Sasa tinavyozidi kumjibu ndivyo anavyozidi kuyatoa mengi ya ndani na sisi tutaendelea kumjibu.
Hawa jamaa ni wa ajabu sana, wameficha silaha zao pembeni za kampeni kama vile katibu mkuu na naibu wake, mwenyekiti wao pia wamemtangulizia Mgombea na mgombea mwenza na viongozi wa kikanda. Wanataka mwishoni watumalize sisi ambao kila safari tunaambatana timu yote.
Wajinga wanaoamini kuwa ccm itashindwa ni wengi sanaWewe hujawahi kuwa CC M!
Siku hizi wapinzani wamekuwa watoa ushauri kwa CCM!
Kwani hutaki CCM ishindwe uchaguzi!
Yaani kuna wajinga wanaamini CCM itashindwa katika Uchaguzi huu!
Hiyo power vacuum watawala hawataki kuisikia....Ila kiukweli tukuacha Unafiki, Kunasehemu Magu Ana mess up Sana.
Hasa kwenye hizi Kampeni.
Anahitaji Kupumzika Akae sawa kwanza. Narudia hii mtu kuwa Raisi wakati huo huo ni mgombea imekaa vibaya.
Inapaswa kuwe na Kasecretariet ambayo inapaswa iwe chini ya neutral person. Mda huu.
Ili Aliyekuwa Raisi apate mda wa kumpumzika. Na kujipsnga kufanya Kampeni akiwa na kofia moja.
Hii itapunguza Malalamiko toka Upinzani, pia inampunguzia mzigo huyo mgombea Uraisi.
Siku alipopewa kadi...kubalini mkosoane msiitane majina ya ajabuWewe li CHADEMA CCM ULIINGIA LINI?
Hoja ya kuigawa nchi katika majimbo ndiyo hiyo unasema. duuuuuuuuuuuuuuuuuuMkuu nakuona kama umebaki pekeako unaeamini hivyo! Hebu tazama mwenyewe na ulinganishe hoja za mgombea wenu na zile za mgombea wa CHADEMA, Yeye tu mgombea wenu kaamua aziache na sasa kaanza kuhangaika na hoja za Lissu! Yaani CCM wamejikuta wanafanya kile anachofanya Lissu wakati walishasema walishafunga mitambo je mitambo imezimwa na nini?