Elections 2010 CCM Vipande Vipande Rorya,Diwani , M/Nyekiti CCM Wilaya Wajiuzulu,Sasa Wafikia Watatu

Elections 2010 CCM Vipande Vipande Rorya,Diwani , M/Nyekiti CCM Wilaya Wajiuzulu,Sasa Wafikia Watatu

Kwa kweli Jimbo la Rorya linaonekana kutawaliwa kwa maslahi ya watu wachache ambao kwa ujumla siyo waadilifu na wanafanya maamuzi kwa maslahi yao binafsi na siyo kwa maslahi ya wananchi wa jimbo la Rorya. Haya yote ni kutokana na sababu kwamba jimbo linatawaliwa na darasa la saba (Ndugu, LAMECK AIRO kupitia CCM) ambaye hana hili wala lile katika fani ya uongozi. Ndiyo maana tangu mwanzo sisi wanafunzi tunaosoma vyuo vikuu tulimpinga tangu mwanzo lakini alifanikiwa kuwarubuni wananchi kwa hela. Tatizo kubwa hapa ni uongozi wa darasa la saba (LAMECK AIRO), uchu wa madaraka, ubinafsi, chuki, fitina na kutokujua maana ya uongozi katika jimbo Rorya. Nawaahidi wanarorya kuwa ukombozi unakuja 2015 kupitia CHADEMA. Wasiwe na wasiwasi. Tuko pamoja.
JACADUOGO2, DODOMA UNIVERSITY.
 
CCM nao wawe wanaangalia mahali pa kuchakachua mara hii wameshasahau yaliyo wakuta msoma mjini kwa mathayo!!? Watu wa musoma wanamisimamo hawadanganyiki kirahisi..
 
Yuko wapi Omarylyas, Kiranga, waberoya, Sokomoko, yaya, maralia sugu ?
Anyway, nimefurahia sana njia waliyotumia hawa wana ccm ku protest. KUJIUZULU. Mtu ukiona mambo hayaendi, jiuzuru. Na ukiona mwana ccm kajiuzuru kwa ajili ya ku protest ujue huyo alikuwa mtumishi wa wananchi kweli. Wengine wakishaona mambo magumu wanaamia kambi ya mafisadi game linakuwa powa.

THAFI THANA
 
Back
Top Bottom