CCM Vipande vipande, waliotuhumiwa kuuza madawa ya kulevya awamu ya 5 wapanga kujiuzulu

CCM Vipande vipande, waliotuhumiwa kuuza madawa ya kulevya awamu ya 5 wapanga kujiuzulu

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Hii ni kwa sababu mtu aliyewasingizia bila ushahidi amepewa Cheo ndani ya Chama na hajawahi kuomba radhi kwa uongo wake huo .

Taarifa zaidi zinadokeza kwamba watakaojiuzulu wanatoka ndani ya Chama na serikalini , lengo likiwa ni kulinda heshima zao binafsi na familia zao

"AMANG'ANA GASARIKILE"
 
Hii ni kwa sababu mtu aliyewasingizia bila ushahidi amepewa Cheo ndani ya Chama na hajawahi kuomba radhi kwa uongo wake huo .

Taarifa zaidi zinadokeza kwamba watakaojiuzulu wanatoka ndani ya Chama na serikalini , lengo likiwa ni kulinda heshima zao binafsi na familia zao

"AMANG'ANA GASARIKILE"
Wameibeba Tanzania mabegani , basi waitue tuendelee na safari
 
Hii ni kwa sababu mtu aliyewasingizia bila ushahidi amepewa Cheo ndani ya Chama na hajawahi kuomba radhi kwa uongo wake huo .

Taarifa zaidi zinadokeza kwamba watakaojiuzulu wanatoka ndani ya Chama na serikalini , lengo likiwa ni kulinda heshima zao binafsi na familia zao

"AMANG'ANA GASARIKILE"
watu wengi mnoo wanataka hizo kazi wamechelewa wafanye hivyo hata Leo maana watanzania million 60 na wanaccm million 20+ mzee WA miaka 72 akiachia madaraka ni shangwe
 
Hii ni kwa sababu mtu aliyewasingizia bila ushahidi amepewa Cheo ndani ya Chama na hajawahi kuomba radhi kwa uongo wake huo .

Taarifa zaidi zinadokeza kwamba watakaojiuzulu wanatoka ndani ya Chama na serikalini , lengo likiwa ni kulinda heshima zao binafsi na familia zao

"AMANG'ANA GASARIKILE"
Ndugu usihadaike nao hao jamaa.

Haya maigizo yameandaliwa kwa minajili ya 2025.

Soma alama za nyakati
 
Hii ni kwa sababu mtu aliyewasingizia bila ushahidi amepewa Cheo ndani ya Chama na hajawahi kuomba radhi kwa uongo wake huo .

Taarifa zaidi zinadokeza kwamba watakaojiuzulu wanatoka ndani ya Chama na serikalini , lengo likiwa ni kulinda heshima zao binafsi na familia zao

"AMANG'ANA GASARIKILE"
Yekhe Mura?
 
watu wengi mnoo wanataka hizo kazi wamechelewa wafanye hivyo hata Leo maana watanzania million 60 na wanaccm million 20+ mzee WA miaka 72 akiachia madaraka ni shangwe
Kwanza uwepo wake hadi sasa unawashangaza 95% ya wana ccm..huyu si alistaafu akaenda Canada kukaa na familia yake.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
 
Duh...!.
Sijui watu mnapata faida gani kuzua uongo, fitna na majungu?.
Hao waliotuhumiwa wasijiuzulu pale walipotuhumiwa waje wajiuzulu leo?!. Kumbe ni Uongo, Uzushi, Fitna, Majungu, Wivu na Kijicho Dhidi ya Mafanikio Yake!. Makonda Wapuuze! . na uendelee kuwapelekea moto hawa jamaa zetu, uzushi kama huu ni dalili ya panic!, kuna watu wanatafutana!, tena hizi ni ziara za kusalimia tuu!, zikianza amsha amsha za 2025, kuna upinzani wowote utatusua? . Uchaguzi wa 2025 ni kama 2020 enzi za JPM! kwasababu Nikimwangalia Makonda, mambo anayoyafanya namuona kama Magufuli hivyo walio relax wakijua yule Mwanamume chuma has left aliyepo ni Mwanamke, hivyo 2025 ni mserereko!, sasa mmletewa chuma cha pua!. Kazi kwenu!.


P
 
Back
Top Bottom