Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Wajumbeeeee 😆😆😆😆Duh...!.
P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajumbeeeee 😆😆😆😆Duh...!.
P
Kama ni kweli wako sahihi kabisaHii ni kwa sababu mtu aliyewasingizia bila ushahidi amepewa Cheo ndani ya Chama na hajawahi kuomba radhi kwa uongo wake huo .
Taarifa zaidi zinadokeza kwamba watakaojiuzulu wanatoka ndani ya Chama na serikalini , lengo likiwa ni kulinda heshima zao binafsi na familia zao
"AMANG'ANA GASARIKILE"
Acha ujinga, Makonda hawezi kuwa tatizo la Mbowe na Lissu hata kidogoNaona mmeshindwa kuwatuliza Lissu na Mbowe wakae chungu kimoja mnaunga unga vistori vyenu
Makonda amewapelekea moto sana hizi week mpaka mmesahau operesheni changia mwenyekiti
Kwani teuzi ulifanyika bila ushirikishwaji wa wakuu hao wa idara?, maana nafasi hiyo ili kumpata anayefaa kikao hukaa ili kupima nani anafaa.Hii ni kwa sababu mtu aliyewasingizia bila ushahidi amepewa Cheo ndani ya Chama na hajawahi kuomba radhi kwa uongo wake huo .
Taarifa zaidi zinadokeza kwamba watakaojiuzulu wanatoka ndani ya Chama na serikalini , lengo likiwa ni kulinda heshima zao binafsi na familia zao
"AMANG'ANA GASARIKILE"
Inashangaza sana BASHITE kupewa Cheo utadhani Ccm haina watu makini wasio na TuhumaHii ni kwa sababu mtu aliyewasingizia bila ushahidi amepewa Cheo ndani ya Chama na hajawahi kuomba radhi kwa uongo wake huo .
Taarifa zaidi zinadokeza kwamba watakaojiuzulu wanatoka ndani ya Chama na serikalini , lengo likiwa ni kulinda heshima zao binafsi na familia zao
"AMANG'ANA GASARIKILE"
HAWAKUSINGIZIWA. UKIONA MTU HUYO AMEPEWA CHEO MAANA YAKE ALIKUWA SAHIHI. NA HAO WATU MBONA HAWAJAJIUZULU MPAKA SASA? SISI CHADEMA TULISEMA MAKONDA NDO ALIKUWA MUUAJI. LAKINI HAKUNA HATA KESI TULIENDA FUNGUA. MI NADHANI TUMUACHE AFANYE KAZI YAKE.Hii ni kwa sababu mtu aliyewasingizia bila ushahidi amepewa Cheo ndani ya Chama na hajawahi kuomba radhi kwa uongo wake huo .
Taarifa zaidi zinadokeza kwamba watakaojiuzulu wanatoka ndani ya Chama na serikalini , lengo likiwa ni kulinda heshima zao binafsi na familia zao
"AMANG'ANA GASARIKILE"
Nitajie hao watu makini zaidi ya MakondaInashangaza sana BASHITE kupewa Cheo utadhani Ccm haina watu makini wasio na Tuhuma
Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Nitashangaa sana wakijuzulu,kihekima kabisa walipaswa kukataa teuzi wakisema ni zamu ya vijana!!!!Hii ni kwa sababu mtu aliyewasingizia bila ushahidi amepewa Cheo ndani ya Chama na hajawahi kuomba radhi kwa uongo wake huo .
Taarifa zaidi zinadokeza kwamba watakaojiuzulu wanatoka ndani ya Chama na serikalini , lengo likiwa ni kulinda heshima zao binafsi na familia zao
"AMANG'ANA GASARIKILE"
Kumbe ndiyo maana mkampa kifimbo yule jamaa😁waondoke Mara moja tena fastaa mbweha haoo wamejimilikisha Chama utazani wao ni akina Nyerere
Wewe dada kutwa unamjadili Mbowe na Lissu kwani mumeo hakufikishi kileleni? Jiheshimu wewe ni mke wa mtuNaona mmeshindwa kuwatuliza Lissu na Mbowe wakae chungu kimoja mnaunga unga vistori vyenu
Makonda amewapelekea moto sana hizi week mpaka mmesahau operesheni changia mwenyekiti
Nyumbu mamako msengerema weweHuna unachofahamu ndani ya Ccm
Labda utuletee picha ukiwa chooni kwa Dj na umbea umbea wenu wa ufipa
Mshukuru Mungu kwa kupata jukwaa la kuhadaa nyumbu wenzako wa Chadema
Kweli Makonda kiboko yenu ...yaani operations zenu zote zimesimama!Naunga mkono hoja
Duh...!.
Sijui watu mnapata faida gani kuzua uongo, fitna na majungu?.
Hao waliotuhumiwa wasijiuzulu pale walipotuhumiwa waje wajiuzulu leo?!. Kumbe ni Uongo, Uzushi, Fitna, Majungu, Wivu na Kijicho Dhidi ya Mafanikio Yake!. Makonda Wapuuze! . na uendelee kuwapelekea moto hawa jamaa zetu, uzushi kama huu ni dalili ya panic!, kuna watu wanatafutana!, tena hizi ni ziara za kusalimia tuu!, zikianza amsha amsha za 2025, kuna upinzani wowote utatusua? . Uchaguzi wa 2025 ni kama 2020 enzi za JPM! kwasababu Nikimwangalia Makonda, mambo anayoyafanya namuona kama Magufuli hivyo walio relax wakijua yule Mwanamume chuma has left aliyepo ni Mwanamke, hivyo 2025 ni mserereko!, sasa mmletewa chuma cha pua!. Kazi kwenu!.
P
Inaongelewa CCM, wewe umerukia CHADEMA. Kutoelewa kinachoongelewa ni ishara ya awali kabisa ya kukosa umakini. Na watu wa namna hii hata kwenye mitihani huambulia patupu. Unaulizwa kuhusu kilimo cha buni, wewe unaanza kuongelea mchezo wa mpira.Naona mmeshindwa kuwatuliza Lissu na Mbowe wakae chungu kimoja mnaunga unga vistori vyenu
Makonda amewapelekea moto sana hizi week mpaka mmesahau operesheni changia mwenyekiti
Ni kweli, maana ccm hutegemea vyombo vya dola tu.Waondoke ccm ni taasisi kubwa haimtegemei mtu mmoja.