Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #81
Aiseeeee !!Watuhumiwa au wauza ngada kweli waondoke hata na kufa kabisa takataka za msoga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseeeee !!Watuhumiwa au wauza ngada kweli waondoke hata na kufa kabisa takataka za msoga
AiseeeeWalevi wenzangu wengi sana humu.
hao watakua wanaelekea kwa mwabukusi bila shaka 🤣Hii ni kwa sababu mtu aliyewasingizia bila ushahidi amepewa Cheo ndani ya Chama na hajawahi kuomba radhi kwa uongo wake huo .
Taarifa zaidi zinadokeza kwamba watakaojiuzulu wanatoka ndani ya Chama na serikalini , lengo likiwa ni kulinda heshima zao binafsi na familia zao
"AMANG'ANA GASARIKILE"
Sasa jomba ukiandika bila facts unataka kumfurahisha nani..leta facts tuzione wajameni....mang'ana hayajasarika bado..ni janjajanja ya mitandaoni tu..kajipange upyaHii ni kwa sababu mtu aliyewasingizia bila ushahidi amepewa Cheo ndani ya Chama na hajawahi kuomba radhi kwa uongo wake huo .
Taarifa zaidi zinadokeza kwamba watakaojiuzulu wanatoka ndani ya Chama na serikalini , lengo likiwa ni kulinda heshima zao binafsi na familia zao
"AMANG'ANA GASARIKILE"
Huyu ni chawa wa hao, anaosema wanataka kujiuzulu. Huwa anazuga kama 'upinzani' tu.Kwahiyo ndugu Erythrocyte, mnajiandaa kumpokea Riz na Gwaji?
Hizi siasa hizi!!!
Watatoka CCM na kuhamia CDM a.k.a M4CHii ni kwa sababu mtu aliyewasingizia bila ushahidi amepewa Cheo ndani ya Chama na hajawahi kuomba radhi kwa uongo wake huo .
Taarifa zaidi zinadokeza kwamba watakaojiuzulu wanatoka ndani ya Chama na serikalini , lengo likiwa ni kulinda heshima zao binafsi na familia zao
"AMANG'ANA GASARIKILE"
Ajiita bilionea Erythrocyte, labda wasingiziwaji ni wafanyabiashara wenzie.Huyu ni chawa wa hao, anaosema wanataka kujiuzulu. Huwa anazuga kama 'upinzani' tu.
Karibu sanaAjiita bilionea Erythrocyte, labda wasingiziwaji ni wafanyabiashara wenzie.
Zamani ilikuwa mwanao akirudi Kutoka mjini ametajirika Kwa muda mfupi, wazazi walimkalisha kikao kumuuliza pesa umepataje pataje,Karibu sana
HayaZamani ilikuwa mwanao akirudi Kutoka mjini ametajirika Kwa muda mfupi, wazazi walimkalisha kikao kumuuliza pesa umepataje pataje,
Sikuizi ukija umetajirika hata Kwa pesa za drugs unapokelewa Kwa Heshima, kaka zake wasiojaaliwa wanadharauliwa!!
Tutafika tu!!!
Zingatia neno "Kujiuzulu", hilo sahau.Hii ni kwa sababu mtu aliyewasingizia bila ushahidi amepewa Cheo ndani ya Chama na hajawahi kuomba radhi kwa uongo wake huo .
Taarifa zaidi zinadokeza kwamba watakaojiuzulu wanatoka ndani ya Chama na serikalini , lengo likiwa ni kulinda heshima zao binafsi na familia zao
"AMANG'ANA GASARIKILE"
Mkuu usiwaamshe balale kama kambare ya JubaChadema ni Chama Makini. Umakini huo ndiyo uliowapelekea kumrdisha Mwendawazimu Konda Boy chamani eti ndiye anaewaweza Chadema.
Jiwe mwenyewe alinyoosha mikono kwa Chadema aje kuwa huyu Mpayukaji?? Aliwanunua kwa fedha na Vyeo Watendaji Wakuu Chadema lkn bado kikawa Imara kuliko Jana.
Kila wakati tunawaambia jitengeni na Vyombo vya Dola/ wekeni bunduki chini tupambaneni kwa HOJA.
Ajiita bilionea Erythrocyte, labda wasingiziwaji ni wafanyabiashara wenzie.
Haikushinda 2015 na 2020Kwakweli tokea nisikie CCM imegawanyika vipande vipande ni miaka mingi Sana na bado iliendelea kushinda uchaguzi hata kile kipindi kizito Cha 2015 Cha Mzee lowasa