Wanatengeneza matukio ili tusikumbuke kuwa novemba ni kesho Mikutano yetu ya hadhara jamani.January yupo kwa niaba ya Rostam na JK
Hatari snWanatengeneza matukio ili tusikumbuke kuwa oktoba ni kesho Mikutano yetu ya hadhara jamani.
January, Zitto e na Kigwangalla ni Makolo SCNyota ya Januwari inawaka sana,anafaa kuwa Raisi wa Yanga.
We mvaa kobazi ni mtu mpumbavu Sana, oktoba ni kesho? Kwa hiyo Leo tupo September?Wanatengeneza matukio ili tusikumbuke kuwa oktoba ni kesho Mikutano yetu ya hadhara jamani.
Au Rais wa Bongo movieNyota ya Januwari inawaka sana,anafaa kuwa Raisi wa Yanga.
Wewe ni mpumbavu kabisaaaWe mvaa kobazi ni mtu mpumbavu Sana, oktoba ni kesho? Kwa hiyo Leo tupo September?
Jf Ina watu wajinga wengi sana
Mafisadi wanajipanga kutumalizaJanuary yupo kwa niaba ya Rostam na JK
January angeachwa atatue matatizo ya umeme, asikimbilie kujificha kwenye UNEC ili asiwajibishwe kutokana na changamoto za wizara yake ili wabunge kina Gambo waogope kumsema kwa matatizo ya umeme wakihojia majina yao kukatwa 2025
Gambo hawezi kuhoji vitu Kama ivyoo,shujaa aliyebaki ni Luana mpina basi,wengine ni takataka tuu.January angeachwa atatue matatizo ya umeme, asikimbilie kujificha kwenye UNEC ili asiwajibishwe kutokana na changamoto za wizara yake ili wabunge kina Gambo waogope kumsema kwa matatizo ya umeme wakihojia majina yao kukatwa 2025
Nyota ya Januwari inawaka sana,anafaa kuwa Raisi wa Yanga.
Watu wa blame game! Jengeni Ofisi acheni kufuja fedha!Wanatengeneza matukio ili tusikumbuke kuwa novemba ni kesho Mikutano yetu ya hadhara jamani.