Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Yanaitafuna nchi vizuriMafisadi wanajipanga kutumaliza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanaitafuna nchi vizuriMafisadi wanajipanga kutumaliza
na mwigulu nchemba anafaa kuwa muweka hazina wa team😁Nyota ya Januwari inawaka sana,anafaa kuwa Raisi wa Yanga.
Mkuu wa mkoa wa IringaNchi hii haiwezi enda Mikononi Kwa Makamba nawaambieni si tupo? Mtaona tilia maanani nawaibia Siri kuna watu watatu ndo wanaangaliwa
Mmoja ni balozi huko Kusini Kwa Mabomu japo bado ni mchango kisiasa ila by 2030 atakuwa amekomaa komaa..
Mwingine ni Mkuu wa mkoa sehemu
Hapo kati kati .
Na mwingine anaongoza ka Isakbd fulani
Tupo tutakumbushana (Shika Hii ni kutoka Jikoni Kabisa)
Britanicca
JK kafanya makusudi kumpa January wizara ya Nishati ili imchafue na kumwondolea ushawishi. Sasa hivi ukiuliza kati ya Riz One na January nani ni waziri mzigo, January ataonekana mapema tu. Anayetengenezewa njia ni Riz na sio January. Huenda mgombea wao ajae au Rais kabisa ajae akawa mzee wa "nikishaapishwa, nikisaini kwa wino wangu mwekundu" (BM) halafu next ni Riz..kuweka sawa mambo yao ya mpokezano wa diniJanuary yupo kwa niaba ya Rostam na JK
SureJK kafanya makusudi kumpa January wizara ya Nishati ili imchafue na kumwondolea ushawishi. Sasa hivi ukiuliza kati ya Riz One na January nani ni waziri mzigo, January ataonekana mapema tu. Anayetengenezewa njia ni Riz na sio January. Huenda mgombea wao ajae au Rais kabisa ajae akawa mzee wa "nikishaapishwa, nikisaini kwa wino wangu mwekundu" (BM) halafu next ni Riz..kuweka sawa mambo yao ya mpokezano wa dini
huyu kijana mbona ni mroho wa madaraka sana.hajaridhika na huo uwaziri?ndo maana kichwa chake bado kina ugonjwa wa urais.Gazeti la Raia Mwema la leo Oktoba 31,2022 limeweka wazi Siri nzito baada ya Chama cha Mapinduzi kunusa mchezo mchezo mapema na kuahirisha vikao vya mchujo.
Wajumbe, wagombea wa mikoa waondoka Dodoma, wapagawa.
Lakini kwenye gazeti hilo limemtaja Januari Makamba kuwa ni miongoni mwa wagombea wa nafasi nyeti ya Mjumbe wa Halmashauri Kuu (NEC).
Kwenye orodha hiyo ya gazeti la Raia Mwema kwa upande wa Mawaziri ni Januari Makamba pekee anayetegemewa kupitishwa na vikao.
Madaraka matamu muulize Pascal Mayalla anajua ndio maana anapambana sana kugombea nafasi mbalimbalihuyu kijana mbona ni mroho wa madaraka sana.hajaridhika na huo uwaziri?ndo maana kichwa chake bado kina ugonjwa wa urais.
Wajumbe WA mchongo , na ndio maana dadake Yuko Dodoma, Kwa ajili yampatia kk supportNEC ina wajumbe wengi, sasa atapitishwa vipi mtu mmoja naye ni Januari,