CCM waahirisha vikao vya mchujo, Januari Makamba atajwa

Hivi watu huwa mwafikria kwa kutumia nini?

Mtajwa ameumia na anaendelea kuumia waziri fulani kutoka Kanda ya ziwa kusifiwa kwa utendaji kazi wake.

Maumivu hayo yememfanya Mtajwa kutaka kujua mganga wa msifiwa ili na yeye apendwe na msifiaji.

Halafu ndiyo awe Rais?

Labda Rais wa upinde....
 
Mkuu wa mkoa wa Iringa
 
January yupo kwa niaba ya Rostam na JK
JK kafanya makusudi kumpa January wizara ya Nishati ili imchafue na kumwondolea ushawishi. Sasa hivi ukiuliza kati ya Riz One na January nani ni waziri mzigo, January ataonekana mapema tu. Anayetengenezewa njia ni Riz na sio January. Huenda mgombea wao ajae au Rais kabisa ajae akawa mzee wa "nikishaapishwa, nikisaini kwa wino wangu mwekundu" (BM) halafu next ni Riz..kuweka sawa mambo yao ya mpokezano wa dini
 
Sure
 
huyu kijana mbona ni mroho wa madaraka sana.hajaridhika na huo uwaziri?ndo maana kichwa chake bado kina ugonjwa wa urais.
 
Huyu ni miongoni mwa watu ambao sijawahi kuwamini,
Kama wizara moja TU Inampa shida hivi,
Kila siku sababu zisizo na kichwa na miguu
hivi anajua umeme ukikatika Kwa lisaa limoja hasara ambayo taifa inalipata sembuse tanesco wanakata siku nzima
Miongoni mwa watakaomwangusha Mh rais huyu ni miongoni, bahati mbaya naye anapewa vijisababu naye anakubal
Kwa wenzetu ukiona huna uwezo wa kutatua tatizo unakaa pembeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…