CCM waanza kukumbuka umuhimu wa Wapinzani

CCM waanza kukumbuka umuhimu wa Wapinzani

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Kada Maarufu wa CCM amesema laiti Wapinzani wangekuepo bungeni, yaani hata Wapinzani 10 tu, CCM wasingepitisha tozo za ajabu hivi.

Ng'ombe haoni faida ya mkia wake hadi siku ukikatika.

"Leo kungekuwa na wabunge wa upinzani pale bungeni hata 10 tu hizi tozo za kitapeli zisingekuwepo,hakuna kitu kizuri Duniani kama upinzani,kama Mungu anaye mpinzani ambaye ni shetani je? kwanini sisi wanadamu hatutaki wapinzani wawepo? Noel Olevaroya ,kada wa @ccm_tanzaniac
 
Kada Maarufu wa CCM amesema laiti Wapinzani wangekuepo bungeni, yaani hata Wapinzani 10 tu, CCM wasingepitisha tozo za ajabu hivi.

Ng'ombe haoni faida ya mkia wake hadi siku ukikatika.


Wabunge wetu ni doto Biteko, Dorothy Gwajima, Dr mollel, ndalichako Joyce, Kabudi, Mkumbo Kitilia ninaamini siku wakipitisha ugoro huo, Mh. Hamis Tabasamu mbunge wa sengerema hakuwepo. Ni std 7 Ila kichwani ni full Prof wa uchumi
 
Wabunge wetu ni doto Biteko, Dorothy Gwajima, Dr mollel, ndalichako Joyce, Kabudi, Mkumbo Kitilia ninaamini siku wakipitisha ugoro huo, Mh. Hamis Tabasamu mbunge wa sengerema hakuwepo. Ni std 7 Ila kichwani ni full Prof wa uchumi
Tabasam👍
 
Kuna wale wanaitwa makada huku mtaani wanalia na tozo me. Nikawauliza nafasi yenu nini katika chama? Hayana majibu mimi nikawaambia sisi chadema tuna nafasi kubwa kama wenye chama kuwaongoza kwanza viongozi kabla ya kutuongoza kwetu sisi mtu kama mbunge sio boss Bali ni mpeleka mawazo na changamoto zetu kule mjengoni hii ndio tofauti yetu CDM Na CCM
 
Kada Maarufu wa CCM amesema laiti Wapinzani wangekuepo bungeni, yaani hata Wapinzani 10 tu, CCM wasingepitisha tozo za ajabu hivi.

Ng'ombe haoni faida ya mkia wake hadi siku ukikatika.

Ubunge hautolewi kama sadaka. Lazima upambane kuupata.
 
Back
Top Bottom