Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Yaani Wabunge 360 ni sawa na wabunge 10 tu Wa ChademaKazi ya ubunge imejaa uchawi na ushirikina , kibaya zaidi wanaoyawezea hayo mambo ni ma-mtu yaliyoshia la saba , poor Tanzania
Ndio maana wanawaogopa kiasi cha kuwambambikia ugaidiYaani Wabunge 360 ni sawa na wabunge 10 tu Wa Chadema
Wabunge wenyewe kina msukuma na gwajima???Yaani Wabunge 360 ni sawa na wabunge 10 tu Wa Chadema
Wabunge wetu ni doto Biteko, Dorothy Gwajima, Dr mollel, ndalichako Joyce, Kabudi, Mkumbo Kitilia ninaamini siku wakipitisha ugoro huo, Mh. Hamis Tabasamu mbunge wa sengerema hakuwepo. Ni std 7 Ila kichwani ni full Prof wa uchumiKada Maarufu wa CCM amesema laiti Wapinzani wangekuepo bungeni, yaani hata Wapinzani 10 tu, CCM wasingepitisha tozo za ajabu hivi.
Ng'ombe haoni faida ya mkia wake hadi siku ukikatika.
Wanaccm wengi sasa hivi wanajuta. Sasa najiuliza je ni chuki binafsi dhidi ya Mama samia?Kada Maarufu wa CCM amesema laiti Wapinzani wangekuepo bungeni, yaani hata Wapinzani 10 tu, CCM wasingepitisha tozo za ajabu hivi.
Ng'ombe haoni faida ya mkia wake hadi siku ukikatika.
Tabasam👍Wabunge wetu ni doto Biteko, Dorothy Gwajima, Dr mollel, ndalichako Joyce, Kabudi, Mkumbo Kitilia ninaamini siku wakipitisha ugoro huo, Mh. Hamis Tabasamu mbunge wa sengerema hakuwepo. Ni std 7 Ila kichwani ni full Prof wa uchumi
Kibajaj na Supika ya BungeWabunge wenyewe kina msukuma na gwajima???
Msimuamini Tabasamu, usiwaamini CCMTabasam👍
HahaahahUbunge Tanzakiza Ni unafiki
Ndio manake.Yaani Wabunge 360 ni sawa na wabunge 10 tu Wa Chadema
Ubunge hautolewi kama sadaka. Lazima upambane kuupata.Kada Maarufu wa CCM amesema laiti Wapinzani wangekuepo bungeni, yaani hata Wapinzani 10 tu, CCM wasingepitisha tozo za ajabu hivi.
Ng'ombe haoni faida ya mkia wake hadi siku ukikatika.
Basi mpambane pia kuweka tozo nyingi zaidiUbunge hautolewi kama sadaka. Lazima upambane kuupata.