Niliona jana kwa TV watu damu zawamwagika vichwani utasema tuko Sobibo
Khaa CCM wamepania.
Shimbo apo ndo inabidi uanze kazi
Sasa mvunjaji wa amani ni nani?ccm au vyama vya upinzani?miaka ya nyuma walikua wakiwatuhumu cuf kuwa wavunja amani kumbe ni ccm ndio tabia yao
Hao wa huko pamoja na wale wa Moshi waliowashambulia wana ccm wakitoka mkutanoni wote wavunjajiwa amani.Kule moshi chadema kwa kufuata agizo la mabosi wao waliwashambukia wafuasi wa ccm na kuwavunja sura zao kwa mawe,lakini hapa JF hilo hawalizungumzii ila la ccm ndio kero.Ama kweli kunya anye kuku akinya bata kaharisha.Sihofii kufungiwa na wenye mtandao ambao najua ni kutoka kanda ya kaskazini.
Mwaka huu ccm lazima ushindi na nyie wengne ni madaraja yetu tuu,mkitaka chukueni sumu mnywe nyamafu!
Niliona jana kwa TV watu damu zawamwagika vichwani utasema tuko Sobibo
Khaa CCM wamepania.
Shimbo apo ndo inabidi uanze kazi
Damu imemewagika kule Busanda; wanaccm waliwacharaza mapanga wanaChedema
Damu imemwagwa tena Musoma wanaccm waliwacharaza mapanga wanaChedema tena tumeona wazi kwenye TV
Bado JWTZ na Polisi wanasema hakuna damu itakayomwagika. Maneno hayo waliyasema kabla damu hiyo haijamwagika; kibaya zaidi hatuoni hatua za makusudi zinazochukuliwa; au damu ya wanaChedema si damu wanayoizungumzia? ya wanaCCM ndiyo damu?
Damu zimeshamwagika, JWTZ kwa kuwa mmejiingiza wenyewe katika hili, na Polisi chukueni hatua bila kujali Chama
OMBI kwa wanaCHadema: Msilipize kisasi, kuweni wapole na ushindi utakuja tu; CCM wameshindwa hoja wanakimbilia mapanga.
damu ya watanzania inamwaga bila sababu yoyote ile.
my my my my .... hawa ccm hawa walai wanatia hasira
hao wa huko pamoja na wale wa moshi waliowashambulia wana ccm wakitoka mkutanoni wote wavunjajiwa amani.kule moshi chadema kwa kufuata agizo la mabosi wao waliwashambukia wafuasi wa ccm na kuwavunja sura zao kwa mawe,lakini hapa jf hilo hawalizungumzii ila la ccm ndio kero.ama kweli kunya anye kuku akinya bata kaharisha.sihofii kufungiwa na wenye mtandao ambao najua ni kutoka kanda ya kaskazini.
Mwaka huu ccm lazima ushindi na nyie wengne ni madaraja yetu tuu,mkitaka chukueni sumu mnywe nyamafu!