Elections 2010 CCM wabadili mbinu za kujinadi sasa ni katika maji ya kunywa

Elections 2010 CCM wabadili mbinu za kujinadi sasa ni katika maji ya kunywa

Hivi CCM wanaelewa athari za maplastiki hayo katika uharibifu wa mazingira? Sera ya CCM kuhusu mazingira inaruhusu CCM kutumia maplastiki haya yasiyo biodegradable ? Tumeshindwa kusafisha miji yetu, CCM wanataka kuongeza uchafu zaidi kwa kusambaza miplastiki hii ?
Plastic za chupa za maji ni recyclable, kwani zinatoka na Polyethylene Terephthalate(PET) hivyo hazina impact katika mazingira. Kwa Tanzania kuna kampuni kadhaa sasa ambazo zinanunua chupa zilizotumika za maji.
 
Huu ni utapeli mkubwa sana wa kisiasa katika Taifa letu Tanzania, kama watu kweli wanataka mabadiliko basi wachague CHADEMA
 
hahaaa JK umaarufu umekwenda wapi.......mpaka kwenye maji ya kunywa duuh kweli maji yamezidi unga
 
Nawashauri wananchi wayasusie haya maji mpaka yaekisipae .

Iam worried this can't work!

Sielewimaji hayo yatawafikia vp wananchi hasa walengwa katika kampeni, au watakuwa wakigawa katika kampeni kwa kila mtu, au yatakuwa meza kuu, au itakuwaje!
Lakini kimsingi ni kuvuruga biashara za watengeneza maji wakongwe wanaolipa kodi zao serikalini!
 
..sasa hapo vyama vya upinzani vinatakiwa viweke tangazo la huyo mtoto anayekunywa maji machafu. halafu waweke nembo "feki" ya CCM na msg chagua CCM.

..ukiweka nembo halisi CCM wanaweza kukushitaki kwa ktk masuala ya hati miliki.

..they dont have to spend a lot, lakini nakuhakikishia hata hizo chupa chache zita-create a very big buzz. wanachotakiwa ni kuzisambaza hizo chupa maeneo mengi and the msg will spread like bush fire.
 
..sasa hapo vyama vya upinzani vinatakiwa viweke tangazo la huyo mtoto anayekunywa maji machafu. halafu waweke nembo "feki" ya CCM na msg chagua CCM.

..ukiweka nembo halisi CCM wanaweza kukushitaki kwa ktk masuala ya hati miliki.

..they dont have to spend a lot, lakini nakuhakikishia hata hizo chupa chache zita-create a very big buzz. wanachotakiwa ni kuzisambaza hizo chupa maeneo mengi and the msg will spread like bush fire.
Haaaaa haaaa haaaa... CCM wapo mbele sana! Jitihada kama hizo zitaishia vichwani tu!
 
Usemi "CHEMA CHAJIUZA, KIBAYA CHAJITEMBEZA" umetimia.

Ndiyo kinachofanywa na CCM sasa. Lazima kijitembeze kwa kila namna kwa sababu hakiuziki. Lakini watanzania wangejua kuwa yote hayo yatatugharimu zaidi baada ya uchaguzi ikiwa CCM itarudi madarakani wangefanya maamuzi ya kukiondoa chama hicho dhalimu. Ni wazi baada ya uchaguzi lazima madeni yalipwe kwanza kutumia kodi ya wananchi
 
Back
Top Bottom