Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Den of thieves....Hiyo ni wao kwa wao, je wakiunganisha nguvu kupambana na Chama tofauti sipati hiyo picha.
Wanapigani misosi hao.Zoezi la kupiga kura kwa ajili nafasi ya Mwenyekiti na Wajumbe mtaa wa Mwananyamala-Kisiwani jana, Oktoba 23 lilishindikana kutokana na sababu mbalimbali, ikiwemo baadhi ya majina kutokuwepo kwenye orodha ya wakazi, hivyo kusababisha uchaguzi kuhamishiwa Ofisi za CCM Kata ya Mwinjuma.
Soma, Pia:
+ Vurugu zaibuka Uchaguzi wa CCM Kibosha Mkoani Pwani
+ Tanga: CCM waanza kupiga kura za maoni kwa wagombea kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa
+ Kigoma: Moto wa vurugu katika kura za maoni CCM umeendelea kukolea
Kurjuan hiyo, hamuwezi kuteka , kutesa na kuua watu wasio na hatia na mkabaki salama hata kidogo.Zoezi la kupiga kura kwa ajili nafasi ya Mwenyekiti na Wajumbe mtaa wa Mwananyamala-Kisiwani jana, Oktoba 23 lilishindikana kutokana na sababu mbalimbali, ikiwemo baadhi ya majina kutokuwepo kwenye orodha ya wakazi, hivyo kusababisha uchaguzi kuhamishiwa Ofisi za CCM Kata ya Mwinjuma.
Soma, Pia:
+ Vurugu zaibuka Uchaguzi wa CCM Kibosha Mkoani Pwani
+ Tanga: CCM waanza kupiga kura za maoni kwa wagombea kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa
+ Kigoma: Moto wa vurugu katika kura za maoni CCM umeendelea kukolea