nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,602
- 20,181
35,000,000/= zimechotwa kutoka kila mkoa kwa kisingizio cha pesa ya kusimamia mitihani ya form 4..
Kawaida fedha zinazopelekwa kwenye taasisi cheki zake hufungwa (closed cheques) yaani lazima zilipwe kwenye akaunti husika lakini hizi zilichukuliwa kama masurfu maalum(special imprest), kwa uzoefu wangu kazini sijawahi hata mwaka mmoja usalama wa taifa wakapewa kiasi hiki cha fedha na kwa kukiuka kanuni za fedha.
Fedha hizo zilichotwa mwezi Septemba ka ushirikiano mkubwa wa katibu mkuu hazina na wafanyakazi wa juu wa hazina,ndiyo maana fedha za matumizi mengine (other charges) za mwezi wa tisa ama hazikuwepo au zilikuwepo kidogo sana mawizarani,tawala za mikoa, halmashauri na taasisi nyingine za serikali, other charges hutumika kulipa per diem, stationeries, matengenezo na mengineyo..
Fanya hesabu:
35,000,000*(mikoa 26) = 910,000,000..
Ukijumlisha na zilizopigwa wizarani na kwenye halmashauri....jibu lake ni ufisadi wa kutisha....kwa mpango huu Salma na Ridiwani na Kikwete mwenyewe hata wakitumia rocket kwenye kampeni zitagharamiwa kwa kodi yako.
NIAMINI NIYASEMAYO SABABU NIPO KARIBU SANA NA NINAYOYASEMA.....
Kawaida fedha zinazopelekwa kwenye taasisi cheki zake hufungwa (closed cheques) yaani lazima zilipwe kwenye akaunti husika lakini hizi zilichukuliwa kama masurfu maalum(special imprest), kwa uzoefu wangu kazini sijawahi hata mwaka mmoja usalama wa taifa wakapewa kiasi hiki cha fedha na kwa kukiuka kanuni za fedha.
Fedha hizo zilichotwa mwezi Septemba ka ushirikiano mkubwa wa katibu mkuu hazina na wafanyakazi wa juu wa hazina,ndiyo maana fedha za matumizi mengine (other charges) za mwezi wa tisa ama hazikuwepo au zilikuwepo kidogo sana mawizarani,tawala za mikoa, halmashauri na taasisi nyingine za serikali, other charges hutumika kulipa per diem, stationeries, matengenezo na mengineyo..
Fanya hesabu:
35,000,000*(mikoa 26) = 910,000,000..
Ukijumlisha na zilizopigwa wizarani na kwenye halmashauri....jibu lake ni ufisadi wa kutisha....kwa mpango huu Salma na Ridiwani na Kikwete mwenyewe hata wakitumia rocket kwenye kampeni zitagharamiwa kwa kodi yako.
NIAMINI NIYASEMAYO SABABU NIPO KARIBU SANA NA NINAYOYASEMA.....