kichomiz JF-Expert Member Joined Feb 28, 2011 Posts 19,257 Reaction score 12,244 Jul 15, 2021 #121 Retired said: Exactly. Huyu naye bomu tu sasa aliyoyaandika yanatuhusu nini Click to expand... Tena ni bure kabisa,ameonekana yeye ni mnafiki aliyetukuka
Retired said: Exactly. Huyu naye bomu tu sasa aliyoyaandika yanatuhusu nini Click to expand... Tena ni bure kabisa,ameonekana yeye ni mnafiki aliyetukuka
Lelyonka Senior Member Joined Apr 14, 2021 Posts 156 Reaction score 154 Jul 17, 2021 #122 Deceiver said: Achana na jina, sikiliza lafudhi. Hata Mimi sijawahi kuona mgogo mwingine anayeitwa Lelyonka wewe ndio wa kwanza Click to expand... Haaaaaa! Nenda ugogoni, utatukuta kina Lelyonka kibao. Ttz lako una ka ualoganti Fulani hivi. Pole
Deceiver said: Achana na jina, sikiliza lafudhi. Hata Mimi sijawahi kuona mgogo mwingine anayeitwa Lelyonka wewe ndio wa kwanza Click to expand... Haaaaaa! Nenda ugogoni, utatukuta kina Lelyonka kibao. Ttz lako una ka ualoganti Fulani hivi. Pole