Mwana Mpotevu
Platinum Member
- Sep 7, 2011
- 3,295
- 2,501
Hapa dodoma baada ya Mzee Warioba kushindwa kuwasilisha rasimu ya katiba baada ya UKAWA kupinga ubabe wa Sitta kuvunja kanuni, sasa ccm imeanzisha propaganda kumtuhumu warioba.
Wabunge wa ccm wanadai warioba ameingia dili na UKAWA kuhakikisha kuwa rais anazundua jwanza bunge ndipo awasilishe rasimu kama kanuni zinavyosema kinyume na matakwa ya ccm na sitta kutaka warioba avunje kanuni kwa kuwasilisha rasimu kablq ya rais kuja.
Ccm sasa wanasema pamoja na kwamba kweli.warioba kuja leo ni kinyume cha kanuni lakini mzee huyo amewachochea wapinzani wavuruge mkutano wa leo.
Ni jambo lisiloingia akilini kumtuhumu mzee huyu.utadhani alijifungia chumbani kuandika rasimu peke yake wakati wote tunajua mchakato ulivyokuwa.
Hata hIvyo hakuna mbunge aliefurahia tukio la leo kama Job ndugai. Nimekutana nae hapa nje ya ukumbi akiwa na furaha isiyo kifani akisema hili ni fundisho kwa sitta na waliokuwa wakimbeza kila ilipokuwa ikitokea vurugu bungeni wakati akiongoza vikao bunge la jamhuri
Wabunge wa ccm wanadai warioba ameingia dili na UKAWA kuhakikisha kuwa rais anazundua jwanza bunge ndipo awasilishe rasimu kama kanuni zinavyosema kinyume na matakwa ya ccm na sitta kutaka warioba avunje kanuni kwa kuwasilisha rasimu kablq ya rais kuja.
Ccm sasa wanasema pamoja na kwamba kweli.warioba kuja leo ni kinyume cha kanuni lakini mzee huyo amewachochea wapinzani wavuruge mkutano wa leo.
Ni jambo lisiloingia akilini kumtuhumu mzee huyu.utadhani alijifungia chumbani kuandika rasimu peke yake wakati wote tunajua mchakato ulivyokuwa.
Hata hIvyo hakuna mbunge aliefurahia tukio la leo kama Job ndugai. Nimekutana nae hapa nje ya ukumbi akiwa na furaha isiyo kifani akisema hili ni fundisho kwa sitta na waliokuwa wakimbeza kila ilipokuwa ikitokea vurugu bungeni wakati akiongoza vikao bunge la jamhuri