MwanaDiwani
JF-Expert Member
- Mar 22, 2013
- 5,536
- 2,266
Umejibu hoja yangu bila hata kuelewa mantiki ya hoja yangu pamoja na kuweka ufafanuzi ambao hata kijana wa darasa la tano anaweza kuuelewa vizuri.CCM ni kila mwanaCCM.Usitake kupindisha hoja ya Mwana Mpotevu. Kuna wakati yabidi uongee katika utaifa kuliko kichama muda wote Mkuu MwanaDiwani
Kama huwezi hata kuelewa tofauti ya CCM na mwanaCCM sioni uwezekano kama ninaweza hata kukuelewesha ukaelewa tofauti inayobainisha kauli ya wanaCCM na CCM.