CCM waeneza propaganda Dodoma kumtuhumu Warioba kuvuruga bunge leo jioni

CCM ni kila mwanaCCM.Usitake kupindisha hoja ya Mwana Mpotevu. Kuna wakati yabidi uongee katika utaifa kuliko kichama muda wote Mkuu MwanaDiwani
Umejibu hoja yangu bila hata kuelewa mantiki ya hoja yangu pamoja na kuweka ufafanuzi ambao hata kijana wa darasa la tano anaweza kuuelewa vizuri.

Kama huwezi hata kuelewa tofauti ya CCM na mwanaCCM sioni uwezekano kama ninaweza hata kukuelewesha ukaelewa tofauti inayobainisha kauli ya wanaCCM na CCM.
 
CCM imekula kwenu, kila mtakachopanga kinyume na Katiba ya Wananchi, hakitafanikiwa!!!!!!!!!!!!!!!
 
Elungata who is Nyerere? A ghost? God? Or? Kuwa na upeo wako wa kufikiri sio mtu mwingine afikirie kwa niaba yako.

By the way, warioba alijifungia chumbani kuandika rasimu?
 
Last edited by a moderator:
Ukweli utajidhirisha tu, Mwisho wa propaganda uko karibu, hakika naamini Mungu yuko nyuma ya katiba bora ya watanzania, ndio maana haya yanatokea!
 
MwanaDiwani mie siandiki kwa kutunga hata siku moja. Nipo hapa bungeni since day one na naandika kweli tupu bila kujali kama ukweli huu unakukera na kukuchukiza au lah
Naomba uelewe kuwa "Kweli tupu" katika hoja za wabunge wa bunge la Katiba ni relative term.

Hiyo unayodhani ni kweli tupu ndani ya hoja wa wabunge inaweza isiwe kweli tupu katika uhalisia wake.

Kauli za wanaCCM haziwezi zikawa ni kweli tupu ya kauli ya CCM. Kauli ya CCM ndiyo kweli tupu ya maamuzi ya CCM.

Ninasema tena, hizi propaganda haziwezi kuondoa maamuzi ya wananchi wengi katika mstakabali wa Taifa lao.
 
CCM hawataki katiba ya wananchi wanataka wananchi waendelee kudumisha fikra zao.
 
Sijamsikia jembe ziyo kabwe hadi sasa kwny bunge hili
 
Comreed kanuni za bunge maalum la katiba kifungu cha 7(1)g kinamtaka rais aje kuzindua bunge na kifungu cha 7(1)h inamtaka warioba aje kulikabidhi bunge rasimu ya katiba tayari kwa mjadala baada ya rais kuzindua.

Kanuni hizi ndio sitta amepindisha kwa g kuipeleka h na h kuirudisha g kwa ubabe bila kuzingatia taratibu zinazotakiwa kufanya mabadiliko. Hope umeelewa now
 
Last edited by a moderator:
ni vigumu kuwaekewa wenye kutaka serikali 3,lakini ni vigumu zaidi kuwaelewa wenye kutaka serikali 2!wanaeleweka wenye kutaka serikali moja tena ya Tanganyika!Pambana Mtikila pambana!
 
Nashindwa kuelewa. Mnasema 6 alitaka kukiuka kanuni, na wajumbe wa Bunge maalum la Katiba walitaka kanuni za kuendesha Bunge Maalum la katiba walitaka kanuni zifuatwe, Je kuzomea ni kanuni ya ngapi ya Bunge maalum la Katiba? Je kila Mwenyekiti wa Bunge maalum la Katiba atakapokiuka kanuni watazomea? Kanuni zinasemaje Mjumbe au kikundi wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba anapokwenda kinyume cha kanuni?
 

............CCM sio wote wanapenda kuburuzwa lakini wafanyeje? wanataka kushibisha matumbo yao... Ndugai lazima afurahie ............. maana Mh. 6 anajiona super .... ila wasihau kwamba kwa hali yoyote na dua za wa TZ kwa MUNGU wao ni kila uchwao .... iwe isiwe MUNGU lazima ataingilia kati na kuwaumbua wote wenye lengo baya kwa nchi hii... hasa wanaojisahau na kudhani watanzania wa leo ni wale wa miaka 47 iliyopita....

 
Kwa hiyo Job Ndugai leo ni mwendo wa :target::target::target::target::target::target::target::target::target::target::target::target::target:
 

Hapo ndo kikomo cha uwezo wako wa kufikiri? Je, ni hayo tu?
 
CCM mtajuta, mnapokuwa mnaadimisha uhuru day ya Tanganyika mna maanisha nini ? Huwezi kumfanyia marehemu birthday.

Sasa marehemu anataka kufufuka, mnaogopa nini ?
 
Maadui wakubwa wa tanganyika ni ccm, wanataka muungano huu wa paka na sisimizi uendelee kwa maslahi ya watawala na sio wananchi! Hongera jaji warioba, Allah akulinde dhidi ya madhaalimu ya kiccm na mafisadi.
 
La!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Ndugai si ndiye aliyesema Hapatatosha mle ndani na kwamba watagawana mbao za mle ndani akajibiwa na muungwa mmoja kuwa mbao zile si zao wenyewe ni Watanzania walipa kodi ambao wapo nje haya hayakumuingia tu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
msamehe tu kama mtu hafaham athar za serikal moja au mbili au tatu huyo si wa kumlaumu hata kidogo. mbaya ni kuwa anadhan anajua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…