Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe tulikuonya humu Mapema sana , Kwamba CCM ina wenyewe na kwamba wewe kidampa haumo , lakini ukabisha , ukaendelea na uchawa wako kwa Makonda , Haya kiko wapi sasa ?Nayasema haya si kwa kubahatisha,nimefanya uchunguzi karibu nchi nzima kujiridhisha,nafasi hizi zimejaa wengi wao matajiri na wafanyabiashara wakubwa ambao hawana kabisa ufahamu kabisa wa masuala ya siasa zaidi ya biashara,hii imepelekea wanaccm wafiia chama kushindwa kupenya.
Hii CCM ya sasa au inayoundwa na kina Kinana ni ya ubavu wa pesa,
Je bado wananchi waweke matumaini kwa hiki chama?,
Imani yangu NEC taifa ndio injini ya nchi sasa imejaa wafanyabiashara,hatutauzwa kweli?,nchi itabakia kuwa ya wachuuzi na si wazalishaji mali,
Hata mtawala atakayepatikana kupitia hii NEC taifa atakuwa influenced na hili tabaka la wafanyabiashara kupitiaha mambo yao.
Shime wananchi watanzania wote bila kujali itikadi ya vyama vyetu,ikifika 2025 tuwakatae hawa wahuni kwa gharama yoyote ile
Kwani lini pesa iliwahi kuwa nyuma? Utawala uliopita sio? Kina Shabiby, Tabasamu, Msukuma, Aboud unafikiri ni maskini? Hebu nitajie maskini aliyepewa uongozi awamu iliyopitaPesa mbele.
Hata huko Chadema huwezi kuwa na sauti Sawa na tajiri. Wewe na mtoto wa Ndesamburo can’t be mentioned in the same breath hapo UfipaWewe tulikuonya humu Mapema sana , Kwamba CCM ina wenyewe na kwamba wewe kidampa haumo , lakini ukabisha , ukaendelea na uchawa wako kwa Makonda , Haya kiko wapi sasa ?
Unauhakika hao matajiri wanalengo la kuja kutatua changamoto za wananchi??au ndugu yangu njaa unajitoa akili.Hawa watakisaidia sana chama, hatutaki viongozi masikini wa kutupwa, tunataka viongozi matajiri ambao watautumia utajiri wao kuimarisha chama na kusaidia kutatua changamoto za wananchi.
P
Jikite kwenye madaHata huko Chadema huwezi kuwa na sauti Sawa na tajiri. Wewe na mtoto wa Ndesamburo can’t be mentioned in the same breath hapo Ufipa
Mbona nipo ndani ya mada. Nimeuliza ni lini na wapi au chama kipi nchi hii kisichojali pesa? Au unajitoa ufahamu?Jikite kwenye mada
Ulifuatilia vetting ya Mawaziri wa Kenya? Maskini wa lile baraza is worth more than 100m KShs ambayo ni roughly 2B TShs! Umaskini sio sifa ya kuwa kiongozi mzuri. Wanasema uongozi huanzia ndani ya familia, hauwezi kuinua maisha ya watu kabla hujanyanyua ya kwakoUnauhakika hao matajiri wanalengo la kuja kutatua changamoto za wananchi??au ndugu yangu njaa unajitoa akili.
#MaendeleoHayanaChama
Muulize km alifuatilia vetting ya Mawaziri wa Kenya? Maskini wa lile baraza is worth more than 100m KShs ambayo ni roughly 2B TShs! Umaskini sio sifa ya kuwa kiongozi mzuri. Wanasema uongozi huanzia ndani ya familia, hauwezi kuinua maisha ya watu kabla hujanyanyua ya kwako na familia yako! Tatizo la nchi hii ni kufikiri umaskini ni sifa njema au kiongozi mzuri ni yule anayejifanya maskini na kula mahindi ya kuchoma mbele ya watuHawa watakisaidia sana chama, hatutaki viongozi masikini wa kutupwa, tunataka viongozi matajiri ambao watautumia utajiri wao kuimarisha chama na kusaidia kutatua changamoto za wananchi.
P
Sio lazima nijibu ili nikifurahisheUmejibu usichokielewa
Lets suppose usemayo ni kweli, tukiieweka pembeni CCM, tuchague chama gani kushika nafasi badala ya CCM?.Ni makosa makubwa kuendelea kuitegemea CCM achilia mbali hao sijui wajumbe wa NEC.
Suluhu pekee itakayowaokoa watanzania na kuwaweka huru ni kuachana na CCM na kuifanya nchi mali ya Watanzania.
Kama RA kasharudi, Karamagi kasharudi hapo tufunge mikanda watanzania !! tunaingia kwenye turbulance zone.Nayasema haya si kwa kubahatisha,nimefanya uchunguzi karibu nchi nzima kujiridhisha,nafasi hizi zimejaa wengi wao matajiri na wafanyabiashara wakubwa ambao hawana kabisa ufahamu kabisa wa masuala ya siasa zaidi ya biashara,hii imepelekea wanaccm wafiia chama kushindwa kupenya.
Hii CCM ya sasa au inayoundwa na kina Kinana ni ya ubavu wa pesa,
Je bado wananchi waweke matumaini kwa hiki chama?,
Imani yangu NEC taifa ndio injini ya nchi sasa imejaa wafanyabiashara,hatutauzwa kweli?,nchi itabakia kuwa ya wachuuzi na si wazalishaji mali,
Hata mtawala atakayepatikana kupitia hii NEC taifa atakuwa influenced na hili tabaka la wafanyabiashara kupitiaha mambo yao.
Shime wananchi watanzania wote bila kujali itikadi ya vyama vyetu,ikifika 2025 tuwakatae hawa wahuni kwa gharama yoyote ile
Hatuchagui chama kwa sasa, kwa katiba hii kuchagua chama chochote cha siasa ni kupoteza muda, jukumu letu la kwanza kabisa ni kujenga mifumo inayofanya kazi kwa usahihi katika nchi yetu. Mifumo hii iainishwe vizuri mno kwenye Katiba yetu.Lets suppose usemayo ni kweli, tukiieweka pembeni CCM, tuchague chama gani kushika nafasi badala ya CCM?.
P
Lets suppose usemayo ni kweli, tukiieweka pembeni CCM, tuchague chama gani kushika nafasi badala ya CCM?.
P
Nchi kama kenya kwa katiba yao na mwamko wa wananchi ni virahisi kuwa control hao matajiri...njoo kwetu shamba la bibi uone maumivu watakayoenda kuyapata watz.Ulifuatilia vetting ya Mawaziri wa Kenya? Maskini wa lile baraza is worth more than 100m KShs ambayo ni roughly 2B TShs! Umaskini sio sifa ya kuwa kiongozi mzuri. Wanasema uongozi huanzia ndani ya familia, hauwezi kuinua maisha ya watu kabla hujanyanyua ya kwako
Japo mawazo yako ni mazuri, ila unachozunguza hapa ni utopian politics kwa wishes and day dreams."kuachana na CCM na kuifanya nchi mali ta Watanzania"
Ninaposema nchi kuwa mali ya watanzania, ni watanzania kukubaliana CCM haifai na kuingia barabarani kufanya mapinduzi ya amani, hasira hizi ndio zitawaweka mbali wahuni wote na CCM na mamlaka ya nchi hii.
Mwananchi yeyote kwasasa anaweza kuchochea muamko kwa wananchi na wananchi wa Tanzania kuidai nchi yao kupitia msukumo huo, unaweza kuwa hata wewe pascal Mayala.
Sasahivi rushwa CCM ipo juu kupita maelezoNayasema haya si kwa kubahatisha,nimefanya uchunguzi karibu nchi nzima kujiridhisha,nafasi hizi zimejaa wengi wao matajiri na wafanyabiashara wakubwa ambao hawana kabisa ufahamu kabisa wa masuala ya siasa zaidi ya biashara,hii imepelekea wanaccm wafiia chama kushindwa kupenya.
Hii CCM ya sasa au inayoundwa na kina Kinana ni ya ubavu wa pesa,
Je, bado wananchi waweke matumaini kwa hiki chama?,
Imani yangu NEC taifa ndio injini ya nchi sasa imejaa wafanyabiashara,hatutauzwa kweli?,nchi itabakia kuwa ya wachuuzi na si wazalishaji mali.
Hata mtawala atakayepatikana kupitia hii NEC taifa atakuwa influenced na hili tabaka la wafanyabiashara kupitiaha mambo yao.
Shime wananchi watanzania wote bila kujali itikadi ya vyama vyetu,ikifika 2025 tuwakatae hawa wahuni kwa gharama yoyote ile
Paskal,wapinzani wa kweli wapo ndani ya ccm kinachatakiwa kitokee ni hili dubwasha ccm kukatika vipande viwili,hapo ndio nchi itaponaLets suppose usemayo ni kweli, tukiieweka pembeni CCM, tuchague chama gani kushika nafasi badala ya CCM?.
P