Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 35,012
- 70,201
Watakua wamejifunza safari hii.Na azan huyuhuy katupwa tena uchaguzi huu kwenye kura za maoni amepita tarimba wampitishe azan kuwa mgombea waone jimbo linarudi tena upinzani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watakua wamejifunza safari hii.Na azan huyuhuy katupwa tena uchaguzi huu kwenye kura za maoni amepita tarimba wampitishe azan kuwa mgombea waone jimbo linarudi tena upinzani
Wewe na rushwa ni sawa na kondoo jike atembee akitngisha mkia. shame on youWapeni watu mtu waliyemtaka. Unaweza toa rushwa na usichaguliwe. Unaweza toa rushwa na tayari watu wanakuamini so kutoa rushwa hakuna uhusiano na ushindi wako as watu walikukubali tangu mwanzo.
Azan katika uchaguzi wa 2015 jimbo la Kinondoni hakua anakubalika ndani ya CCM ya Kinondoni ila alipita kwa kuletwa na KK. Kilichofuata ni bwana Mtulia kujitwalia jimbo kizembe as wapiga kura walimuopt waliyemtaka (regardless katoa rushwa ama la) kisha KK ikaona hapana aje huyu huku.
Na siasa ni nini? Intro to Politics inasema siasa ni nani amepata mamlaka kivipi na kwa njia gani. Deep down katika siasa unatarajiwa kushawishi hata kwa rushwa. Ugiriki ya kale wagombea wa majimbo walikua wakiwalipia viingilio wapiga kura kuangalia mapambano ya gladiators.
Na hiyo ndiyo ilikua rushwa common.
Sawa babaWewe na rushwa ni sawa na kondoo jike atembee akitngisha mkia. shame on you
kana ana akili basi apite tuuuYule alieshinda Kawe ni mtoto wa dada "yetu" yupi ?
Hiyo code sijaimamanua tafadhal
Kwa hiyo sasa nchi inakuwa ya familia. Na Ccm wanajufanya hawaoni. Hi very i watangulizi wake wange fanya haya yeye ange karibia lango la Ikulu?Ni mtoto wa dada kule Chato na tulimlea wenyewe Oyster Bay tukiwa Mawaziri wa Mkapa.
Umemsahau WAITARAKuwarudisha wagombea kama akina Mrisho Gambo, Manyanya, Ngonyani ,Mapunda, Kapinga, Mwanjelwa, Masele, n.k ambao makatibu wao walishakamatwa na kukutwa na fedha za kuhonga wapiga kura ,unahitaji uthibitisho gani hapo, haiihitaji hata Huyo mchunguzi afike form four ili aweze kubaini
Hahahahaha,gaiihitaji mtu kufika darasa la saba ili kugundua wagombea waliotoa rushwaumemwacha Silinde nasikia alishirikiana na dc kusambaza love usiku!
Mbona wanafahamika na wengine wamewekwa wazi kabisa na TAKUKURU huku wengine wakidukuliwa kama alivyodukuliwa MEMBE hadharani. Wanaofahamika kwa uhakika mpaka sasa kuwa walihonga japo list ni ndefu…ongezeeni hapo chiniKatika harakati za upatikanaji wa wabunge na madiwani wapo wagombea walio cheza rafu za wazi kabisa, yaani huhitaji hata VAR ili kujiridhisha na rafu za baadhi ya wagombea.
Wapo wagombea wengi walioshika namba 1 hadi 5 wanahitaji umakini zaidi katika kuwateua, hao ndio walipiga wenzao buti za kufa mtu
Kama vyombo vya uchunguzi vitafanya kazi zao kwa weledi hakika chaguzi zijazo za ndani ya chama hakutakuwa na punje ya Rushwa, lakini vyombo hivyo vya uchunguzi kama havikufanya kazi yake kwa umakini rushwa ndani ya CCM haiwezi kwisha
Njia pekee ni kuimarisha Vyombo vya Uchunguzi ndani ya chama, hii itasaidia kuondoa rushwa ndani ya chama.
Wako wagombea ambao waliwanunua viongozi wa chama wilaya na Mkoa, TAKUKURU na wafanyakazi wa ofisi ya usalama wilaya ili wawabebe.
Vitendo kama hivyo vimewafanya wanachama kusubiri maamuzi ya vikao vya juu ili kuona kama kweli yanayosemwa na viongozi wa juu wa chama yatatekelezwa.
Siwezi weka hapa majina hayo ya walioshinda na wasioshinda ambao walifanya madudu, ila kama members watataka nitaweka na madudu yao. Au kama wapo members wengine wanaofahamu madudu yaliyofanyika unaweza weka mgombea na madudu yake, kwa sababu JF ni jukwaa la wazi. Na hii itasaidia hata chama katika kufanya maamuzi.