Uchaguzi 2020 CCM wakirudisha majina haya nitaamini kweli Chama hakina Vyombo vya Uchunguzi

Na azan huyuhuy katupwa tena uchaguzi huu kwenye kura za maoni amepita tarimba wampitishe azan kuwa mgombea waone jimbo linarudi tena upinzani
Watakua wamejifunza safari hii.
 
Wewe na rushwa ni sawa na kondoo jike atembee akitngisha mkia. shame on you
 
Ni mtoto wa dada kule Chato na tulimlea wenyewe Oyster Bay tukiwa Mawaziri wa Mkapa.
Kwa hiyo sasa nchi inakuwa ya familia. Na Ccm wanajufanya hawaoni. Hi very i watangulizi wake wange fanya haya yeye ange karibia lango la Ikulu?
 
Haiwezekani kabisa! Vinginevyo Mchakato wa kupiga kura unaweza kuanza upya! Sina hakika kama kuna mahali ambapo Rushwa haikutembea.
Hata hao waliolalamika walizidiwa Dau.
 
Umemsahau WAITARA
 
Mbona wanafahamika na wengine wamewekwa wazi kabisa na TAKUKURU huku wengine wakidukuliwa kama alivyodukuliwa MEMBE hadharani. Wanaofahamika kwa uhakika mpaka sasa kuwa walihonga japo list ni ndefu…ongezeeni hapo chini

1. Lusinde a.k.a Kibajaji (Huyu leo nimemuona kwenye shamrashamra za M/kiti wetu alipokuwa anachukua fomu za kugombea Urais ). Huyu Alidakwa " Red handed” Dodoma .Kuna tetesi kuwa amempigia magoti tayari mwenyekiti (Tunamfahamu Jiwe anavyopenda kusujudiwa) hivyo inawezekna jina lake tunaita kwa kisukuma "Double Standard"

2. Mary Mwanjelwa. Huyu nchi nzima sasa inafahamu uchafu wake. Wakirudisha jina tunakula kichwa....

3. Tulia Ackson (Rushwa ilikuwa inatolewa kwa kisngizi cha msaada kupitia taasisi yake ya Tulia Ackson) ushahidi upo wa kutosha.


4. Serukamba: Huyu kama Lusinde alidakwa na Takukuru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…