CCM wameanza kuumizana wao kwa wao

CCM wameanza kuumizana wao kwa wao

jitombashisho

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2020
Posts
667
Reaction score
2,245
Hatmaye CCM wameanza kuumizana wao kwa wao "kiukweli-ukweli!"

Nasema kiukweli-ukweli kwa sababu kabla wana CCM walikuwa wakiumizana huku waki-fake kuumizana kwao kwa dhana ya "huyu ni mwenzetu."

Leo, kidume na kijana aliyelelewa ndani ya chama,kadhalilishwa bila kujali ukada wake.Inafikirisha!

Haikuwa rahisi hata kidogo kwa aiana ya mtu na kada wa kiwango chake huko nyuma kufikiwa hatua ya kufanywa vile alivyofanyiwa yeye leo! Kada,tena aliyepata kuwa kiongozi wa vijana,wilaya na mtu aliyelindwa kwa hali na mali eti leo anamwaga machozi ndani ya pingu?!

Si ubaya kuwajibishana kwa mapungufu na makosa katika eneo la kazi.

Si dhambi kufungwa kwa kiongozi aliyetumia madaraka yake vibaya.

...lkn hofu yangu kama hawa "wenzetu" wamefikia hatua ya kuwajibishana kwa kukomoana hakika laana ya kukomoana kwao itawatafuna na lazima kisasi ni rasmi kimezaliwa ndani ya CCM.

Lau, kama kuwajibishana huko kutakuwa ni kwa mujibu wa sheria za Nchi hakika nuru na dira ya kufikia hatua ya Viongozi wetu kutenda yale tu yawapasayo kwa mujibu wa sheria itaanza kumea.

JE, KISASI NDANI YA CCM KIMEANZA RASMI?

Mungu ibariki Tanzania.
 
Hapa ndipo pale tunapoanza kuona ile kauli ya TANU sijui ya sisiem inayosemaga binadamu wote ni sawa ikitekelezwa kwa vitendo.Hiv ile tuhuma ya Kangi iliishiaga wapi?

Halafu kuna wengine walituhumiwa kwa kuingia mikataba yankifisadi baada ya kuomba msamaha wakateuliwa wakuu wa mikoa.

Kulikuwa na double standard wacha kabisa
 
Wacha sheria ichukue mkondo wake huko mahakamani si ndio kwenye haki au ?
 
Je yale mashtaka kadhaa juu yake kasingiziwa? Na kama kasingiziwa lete ushahid wako kua hana kosa juu ya hayo!
 
Sabaya hata Kama hatafungwa gerezani lkn kule kudhalilishwa kwa pingu na kule kusachiwa sehemu za siri za nyuma atakapokua anaingizwa Kisongo Ni fundisho.
Bashite ajiandae.
 
Hatmaye CCM wameanza kuumizana wao kwa wao "kiukweli-ukweli!"

Nasema kiukweli-ukweli kwa sababu kabla wana CCM walikuwa wakiumizana huku waki-fake kuumizana kwao kwa dhana ya "huyu ni mwenzetu."

Leo,kidume na kijana aliyelelewa ndani ya chama,kadhalilishwa bila kujali ukada wake.Inafikirisha!

Haikuwa rahisi hata kidogo kwa aiana ya mtu na kada wa kiwango chake huko nyuma kufikiwa hatua ya kufanywa vile alivyofanyiwa yeye leo! Kada,tena aliyepata kuwa kiongozi wa vijana,wilaya na mtu aliyelindwa kwa hali na mali eti leo anamwaga machozi ndani ya pingu?!

Si ubaya kuwajibishana kwa mapungufu na makosa katika eneo la kazi...

Si dhambi kufungwa kwa kiongozi aliyetumia madaraka yake vibaya....

...lkn hofu yangu kama hawa "wenzetu" wamefikia hatua ya kuwajibishana kwa kukomoana hakika laana ya kukomoana kwao itawatafuna na lazima kisasi ni rasmi kimezaliwa ndani ya CCM.

Lau,kama kuwajibishana huko kutakuwa ni kwa mujibu wa sheria za Nchi hakika nuru na dira ya kufikia hatua ya Viongozi wetu kutenda yale tu yawapasayo kwa mujibu wa sheria itaanza kumea.

JE,KISASI NDANI YA CCM KIMEANZA RASMI?!

Mungu ibariki Tanzania.
Mod unganisha. Umeona ukichangia kwenye ile thread inayohusu tukio hutasomeka?
 
Umeelewa nilichoandika?
Halafu hii tabia kujidai kwamba watu hawaelew ulichoandika acha kbs hiki ni nn??

Screenshot_20210604-160846.png
 
Ile ni filamu tu inachezwa. Sema huu muda ndo stering kafika kwenye wakati mgumu. Picha iko kwenye kipindi cha lala salama subiri ushindi wa stering anavyokuja kuupata hapo mbele.

Jamani hii ni movie kama tu zile za akina van dame na churk noris

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Hatmaye CCM wameanza kuumizana wao kwa wao "kiukweli-ukweli!"

Nasema kiukweli-ukweli kwa sababu kabla wana CCM walikuwa wakiumizana huku waki-fake kuumizana kwao kwa dhana ya "huyu ni mwenzetu."

Leo,kidume na kijana aliyelelewa ndani ya chama,kadhalilishwa bila kujali ukada wake.Inafikirisha!

Haikuwa rahisi hata kidogo kwa aiana ya mtu na kada wa kiwango chake huko nyuma kufikiwa hatua ya kufanywa vile alivyofanyiwa yeye leo! Kada,tena aliyepata kuwa kiongozi wa vijana,wilaya na mtu aliyelindwa kwa hali na mali eti leo anamwaga machozi ndani ya pingu?!

Si ubaya kuwajibishana kwa mapungufu na makosa katika eneo la kazi...

Si dhambi kufungwa kwa kiongozi aliyetumia madaraka yake vibaya....

...lkn hofu yangu kama hawa "wenzetu" wamefikia hatua ya kuwajibishana kwa kukomoana hakika laana ya kukomoana kwao itawatafuna na lazima kisasi ni rasmi kimezaliwa ndani ya CCM.

Lau,kama kuwajibishana huko kutakuwa ni kwa mujibu wa sheria za Nchi hakika nuru na dira ya kufikia hatua ya Viongozi wetu kutenda yale tu yawapasayo kwa mujibu wa sheria itaanza kumea.

JE,KISASI NDANI YA CCM KIMEANZA RASMI?!

Mungu ibariki Tanzania.
Kama kufuata Katiba, Sheria, Kanuni na Taratibu ndio kisasi basi unahitaji kuhubiriwa injili ya sululu.
 
Back
Top Bottom