Pre GE2025 CCM wamepita mitaani kuandikisha wapiga kura, je ni haki yao kikatiba?

Pre GE2025 CCM wamepita mitaani kuandikisha wapiga kura, je ni haki yao kikatiba?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Subira the princess

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2018
Posts
3,474
Reaction score
3,744
Wasaam,

Leo nilikua mitaa ya Vingunguti nilienda salamia jamaa zangu nikashangazwa na viongozi wa CCM kupita nyumba hadi nyumba kuandikisha wapiga kura kwa kuwapa ahadi za kuja kuwagawia pesa na mikopo mbalimbali wakati uchaguzi ukiwadia.

Kiukweli hii ni rushwa ya kisiasa kama sio kampeni kabla ya kuruhusiwa kampeni, au tuseme labda ni haki yao kikatiba?

Naamini ingekuwa ni CHAMA chengine cha siasa basi police wangeshawazingira na msajili wa vyama vya siasa angeitisha press haraka na kulaani.
 
Acha kubadiri tatizo moja kila siku...Toa suruhisho.
 
Uchaguzi wa 2025, CCM watatumia fedha nyingi sana ili kuhonga. Waarabu watamsaidia Samia ili abaki kuwa rais na wao waendelee kukomba nchi. Upinzani wanatakiwa kuanzisha kampeni ya ''kula kwa CCM, kura kwa upinzani''. Tukatei huyu kibaraka wa waarabu!
 
Kama haya uliyo eleza hapa yana ukweli wowote, hata theluthi moja tu ya ukweli (na sina sababu ya kukuhoji juu yake); ule unaoitwa "UJINGA" wa waTanzania unaanzia hapa hapa kuruhusu haya yaendelee kuwepo.

Lakini, kama nilivyo wahi kueleza, huu siyo "ujinga" wa waTanzania; bali ni sehemu ya mwendelezo wa "UTEKAJI" wa waTanzania na genge hili ndani ya CCM.

Hii ndiyo hatua inayotakiwa kukataliwa kwa nguvu zote na wote wanaojiamini wao siyo wajinga wala mateka.

Kuruhusu upuuzi wa namna hii kuendelea kuwepo ni dhambi kubwa sana waTanzania wa leo wanayoitendea nchi yao.

Inabidi nieleze uhusiano wa zoezi hili na "utekwaji" wanaofanyiwa waTanzania bila wao kujitambua.
Waziri wa Mambo ya Ndani (Msabuni, ndiyo najua jina lake); hivi karibuni amenukuliwa akihimiza wajumbe wa nyumba kumi kuwafikia wananchi kwa zoezi hilo; na kajitapa kwamba yeye ndiye mkuu wa "mapolisi".
Sasa kinacho shangaza, vyama vya upinzani, hususani CHADEMA ni kama hawaelewi kinachozungumzwa na mtu kilaza kama huyo.

CCM tayari wamo kazini kuvuruga uchaguzi wa serikali za mitaa, kwa maandalizi ya kuvuruga uchaguzi mkuu!

Halafu kila mtu anajifanya kama hajui chochote kinacho endelea!
 
Uchaguzi wa 2025, CCM watatumia fedha nyingi sana ili kuhonga. Waarabu watamsaidia Samia ili abaki kuwa rais na wao waendelee kukomba nchi. Upinzani wanatakiwa kuanzisha kampeni ya ''kula kwa CCM, kura kwa upinzani''. Tukatei huyu kibaraka wa waarabu!
Lakini itanishangaza sana kuona nchi hii iwe imekwisha poromoka kufikia kiasi hiki.

Bado siamini kwamba taifa la waTanzania sote tutanunuliwa kama bidhaa sokoni!

Kutatokea mtikisiko mkubwa sana haya yakitokea. Pesa haiwezikamwe kununua utu wa wa waTanzania
 
Wasaam,

Leo nilikua mitaa ya Vingunguti nilienda salamia jamaa zangu nikashangazwa na viongozi wa CCM kupita nyumba hadi nyumba kuandiksha wapiga kura kwa kuwapa ahadi za kuja kuwagawia pesa na mikopo mbalimbali wakati uchaguzi ukiwadia.

Kiukweli hii ni rushwa ya kisiasa kama sio kampeni kabla ya kuruhusiwa kampeni, au tuseme labda ni haki yao kikatiba?

Naamini ingekuwa ni CHAMA chengine cha siasa basi police wangeshawazingira na msajili wa vyama vya siasa angeitisha press haraka na kulaani.
Wanandikisha wajinga, nasema kila siku humu Ujinga ni Industry kwa CCM
 
Kama haya uliyo eleza hapa yana ukweli wowote, hata theluthi moja tu ya ukweli (na sina sababu ya kukuhoji juu yake); ule unaoitwa "UJINGA" wa waTanzania unaanzia hapa hapa kuruhusu haya yaendelee kuwepo.

Lakini, kama nilivyo wahi kueleza, huu siyo "ujinga" wa waTanzania; bali ni sehemu ya mwendelezo wa "UTEKAJI" wa waTanzania na genge hili ndani ya CCM.

Hii ndiyo hatua inayotakiwa kukataliwa kwa nguvu zote na wote wanaojiamini wao siyo wajinga wala mateka.

Kuruhusu upuuzi wa namna hii kuendelea kuwepo ni dhambi kubwa sana waTanzania wa leo wanayoitendea nchi yao.

Inabidi nieleze uhusiano wa zoezi hili na "utekwaji" wanaofanyiwa waTanzania bila wao kujitambua.
Waziri wa Mambo ya Ndani (Msabuni, ndiyo najua jina lake); hivi karibuni amenukuliwa akihimiza wajumbe wa nyumba kumi kuwafikia wananchi kwa zoezi hilo; na kajitapa kwamba yeye ndiye mkuu wa "mapolisi".
Sasa kinacho shangaza, vyama vya upinzani, hususani CHADEMA ni kama hawaelewi kinachozungumzwa na mtu kilaza kama huyo.

CCM tayari wamo kazini kuvuruga uchaguzi wa serikali za mitaa, kwa maandalizi ya kuvuruga uchaguzi mkuu!

Halafu kila mtu anajifanya kama hajui chochote kinacho endelea!
Uko sahihi mkuu
 
Back
Top Bottom