Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,240
Hatutaki Chama Cha Mafisadi.Tumeonewa kiasi cha kutosha,tumepuuzwa kiasi cha kutosha....
wewe ndio mlevi,unayefurahia hatima mbovu ya nchi kwa kushabikia viongozi wasiofaaacha kuongea kama mlevi. aliyekuambia chadema haitakuonea nani?
Ushauri wako hauna mantiki yoyote, labda ufafanue vizuri.nafikiri imeeleweka
jamani tujaribu kuwa wakweli Rais atatoka CCM hawa wengine watatoka upinzani
kwa kuwa tunataka mabadiliko tujitahidi kuwapigia wabunge,,madiwani wa upinzani
si lazima ila ukifanya utafanya jambo la maana kwa wanamapinduzi wote
nafikiri imeeleweka
jamani tujaribu kuwa wakweli Rais atatoka CCM hawa wengine watatoka upinzani
kwa kuwa tunataka mabadiliko tujitahidi kuwapigia wabunge,,madiwani wa upinzani
si lazima ila ukifanya utafanya jambo la maana kwa wanamapinduzi wote