Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Hakuna wakati wowote ule, nchi yetu ya Tanganyika na Zanzibar (Tanzania) imewahi kuongozwa na chama kingine chochote kile zaidi ya hapo awali kuongozwa na TANU (Tanganyika) na ASP (Zanzibar) vyama ambavyo viliungana na kuzaliwa CCM.
Kwa ivo umaskini wetu, ujinga wetu uliotopea, maradhi yanayotuganda kama ngozi za miili yetu, vimetokana na CCM kuwepo madarakini. Kiuhalisia CCM wameshindwa kabisa kuongoza kwa ufanisi nchi yetu.
Wanachojua CCM ni kujitwalia mali za watanzania wote na kuzifanya za kwao.
Kwa ivo umaskini wetu, ujinga wetu uliotopea, maradhi yanayotuganda kama ngozi za miili yetu, vimetokana na CCM kuwepo madarakini. Kiuhalisia CCM wameshindwa kabisa kuongoza kwa ufanisi nchi yetu.
Wanachojua CCM ni kujitwalia mali za watanzania wote na kuzifanya za kwao.