Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Natafakari!!Allen Kilewella
Kwani wewe ulikuwa hulijui hilo?
Mtu siyo chama. Lowassa ndiyo CCM ama Lowassa alikuwa mwana CCM akawa Mwanachadema na sasa ni mwana CCM tena. Mbona mantiki rahisi tu unajichetua kuwa huielewi!!??Halafu Chadema wakamchukua Lowassa wa CCM agombee Urais wa JMT
Halafu Magufuli kampokea kwa bashasha huko CCMHalafu Chadema wakamchukua Lowassa wa CCM agombee Urais wa JMT
Huu NDIO uchochezi 🙂🌝🌝Hakuna wakati wowote ule, nchi yetu ya Tanganyika na Zanzibar (Tanzania) imewahi kuongozwa na chama kingine chochote kile zaidi ya hapo awali kuongozwa na TANU (Tanganyika) na ASP (Zanzibar) vyama ambavyo viliungana na kuzaliwa CCM.
Kwa ivo umaskini wetu, ujinga wetu uliotopea, maradhi yanayotuganda kama ngozi za miili yetu, vimetokana na CCM kuwepo madarakini. Kiuhalisia CCM wameshindwa kabisa kuongoza kwa ufanisi nchi yetu.
Wanachojua CCM ni kujitwalia mali za watanzania wote na kuzifanya za kwao.
Kabisa!!Huu NDIO uchochezi 🙂🌝🌝
Tuendelee kuweka Kuni....Kabisa!!
Lakini siyo uchochezi wa kihaini!! Tunachochea akili za watanzania dhidi ya uovu na udhaifu wa CCM!!
Kwani Lowassa ndiyo CCM?Halafu Chadema wakamchukua Lowassa wa CCM agombee Urais wa JMT
Huyo huwa anajichetua!!Kwani Lowassa ndiyo CCM?
Lengo lake kutafuta na kupalilia nyufa Chadema hata zisipokuwapo.Huyo huwa anajichetua!!
Kwani Lowassa ndio ccm? Hayo ndio moja ya maswali ya kijinga ambayo mazuzu wa CCM huwa wanauliza.Halafu Chadema wakamchukua Lowassa wa CCM agombee Urais wa JMT
Jamaa ana wivu sana na mafanikio ya CHADEMA. Wao kila siku hutamani CHADEMA isambaratike ili wabakie na rafiki zao ACT. lakini ndiyo hivyo tena, INASHINDIKANA!!Lengo lake kutafuta na kupalilia nyufa Chadema hata zisipokuwapo.
Labda party discipline ingesaidia.Halafu Chadema wakamchukua Lowassa wa CCM agombee Urais wa JMT
CCM ni jangaHakuna wakati wowote ule, nchi yetu ya Tanganyika na Zanzibar (Tanzania) imewahi kuongozwa na chama kingine chochote kile zaidi ya hapo awali kuongozwa na TANU (Tanganyika) na ASP (Zanzibar) vyama ambavyo viliungana na kuzaliwa CCM.
Kwa ivo umaskini wetu, ujinga wetu uliotopea, maradhi yanayotuganda kama ngozi za miili yetu, vimetokana na CCM kuwepo madarakini. Kiuhalisia CCM wameshindwa kabisa kuongoza kwa ufanisi nchi yetu.
Wanachojua CCM ni kujitwalia mali za watanzania wote na kuzifanya za kwao.
Mbowe: Wanaccm wenzangu tuelewaneKwani Lowassa ndio ccm? Hayo ndio moja ya maswali ya kijinga ambayo mazuzu wa CCM huwa wanauliza.
CCM ni mfumo ambao mtu ukiwa ndani yake unaufuata lakini ukiwa umetoka wakati huo hutaufuata.
Kwani hao mawaziri walioko huko, MA RC na DC waliokuwa Chadema wanatenda ya Chadema kwa sasa?
Muwe mnatumia ubongo kufikiri na sio nanihii ili kujibu hoja zinazotolewa.
Unaweza kuyataja hayo mafanikio ya Chadema?Jamaa ana wivu sana na mafanikio ya CHADEMA. Wao kila siku hutamani CHADEMA isambaratike ili wabakie na rafiki zao ACT. lakini ndiyo hivyo tena, INASHINDIKANA!!