Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Wandugu hili ni swali ambalo nimekuwa nikijiuliza kila siku,hawa wenzetu wa chama cha nambari wani wametumia/watakuwa wametumia shilingi ngapi kwenye huu uchaguzi hadi uishe? na hizi hela wametoa wapi hata na kama wamekopa watatoa wapi hela ya kulipa?kwanza tukianzia na nguo inaonekana kabisa ccm wananguo ambazo wakizigawa tunaweza kuvaa wananchi wote wa TANZANIA kuanzia na mikofia yao na mitshirt tukija kwenye matangazo ya kwenye tv na mabango kwanza mabango ni bei kubwa sana tu kwa mwezi mmoja .jamani ukifkiria tu kwa hali ya kawaida utakuta ni mabilioni ya hela yametumika.tukija kwenye maisha ya mwananchi wa kawaida nadhani wenyewe majibu mmnayo.swali wametoa wapi hizi hela zote na kama wamekopa watalipaje??