Uchaguzi 2020 CCM wana maana gani kuandika Fomu zao za Urais ni za kuwania Uongozi katika Vyombo vya Dola?

Uchaguzi 2020 CCM wana maana gani kuandika Fomu zao za Urais ni za kuwania Uongozi katika Vyombo vya Dola?

Vyombo vya dola = Majeshi

Rais Tz = Amiri Mkuu wa Majeshi

Amiri Mkuu wa Majeshi = Kiongozi wa vyombo vya dola

Rais Tz = Kiongozi wa vyombo vya dola

Najifurahisha tu hapa usiniulize kitu
 
Vyombo vya dola = Majeshi

Rais Tz = Amiri Mkuu wa Majeshi

Amiri Mkuu wa Majeshi = Kiongozi wa vyombo vya dola

Rais Tz = Kiongozi wa vyombo vya dola

Najifurahisha tu hapa usiniulize kitu
Majeshi ni vyombo vya dola? Na vyombo vya ulinzi na usalama ni vipi? Kweli uwezo wa wapinzani unatia shaka sana
 
Hapo makao makuu CCM, tuwe careful katika hili.
Sisi ni wana CCM na hatuchagui a coercive president, tunataka rais wa watu.
Vyombo vya dola ni coercive instruments.
Magufuli lazima anadiwe kama rais wa watu.
Kama ikitokea Magufuli akapigiwa kura na vyombo vya dola tu kama mtaji wake na tunajua fika kwa ujumla wao hawafiki laki tano, matokeo yake mnayajua.

Magufuli lazima anadiwe kama mtu wa watu na si mtu wa vyombo vya dola.
Nikifikiri msomi Dr Bashiru Ali anaelewa vizuri sana hili somo katika political science.
 
IMG_20200620_191456.jpg
IMG_20200621_114254.jpg
 
Mmekosa cha kukosoa na hamna offer ya kuwapa Watanzania
 
Najua kuna saa unajibu mwenyewe unaona aibu sema basi tu.... we unapoenda kupiga kura pale kwenye karatasi ndo wataandika hvyo??? Anaomba kua mkuu wa bunge au mahakama?? Kipi basi waspecify.. kulikua na shida gani kuandika neno husika. Na isitoshe hyo si ni fomu ya kuomba ridhaa chamani ama????
Akikujibu nistue
 
Mmekosa cha kukosoa na hamna offer ya kuwapa Watanzania
Mkuu kama umesoma political science, hili halijakaa sawa.
Kama ni kumchagua mkuu wa vyombo vya dola basi kwenye ulingo wawepo kina Sirro, Mabeyo n.k.

Tunataka Magufuli anadiwe kuwa rais wa wananchi wote na si kuwa kikngozi vya vyombo vya dola.
There is a big diffarence in the perception.
 
Tukimpongeza Baba ataongeza upendo zaidi
Tukijenga tabia ya kushukuru tunawatia moyo wanaojitoa kwa ajili yetu

Hope Umenielewa queen SE
Hivi baba akikarabati nyumba tunayoishi tunahitaji kumtungia mashairi ya kumwabudu?
 
Mkuu kama umesoma political science, hili halijakaa sawa.
Kama ni kumchagua mkuu wa vyombo vya dola basi kwenye ulingo wawepo kina Sirro, Mabeyo n.k.

Tunataka Magufuli anadiwe kuwa rais wa wananchi wote na si kuwa kikngozi vya vyombo vya dola.
There is a big diffarence in the perception.
Safi msukuma pekee mwenye akili
 
Offer ni demokrasia, haki za binadamu, elimu ya uraia wananchi wafundishwe haki zao kutoka shule ya msingi mpaka kwenye mikutano ya vijiji na mitaa.
- Unamuhubiria mkulima aliye mkilila hoja ya demokrasia wakati kilimo anachokitegemea bado ni duni, unafikiri atakusikiliza?

- Unamuhubiria mwalimu aliye ndani kijijini habari ya elimu ya uraia, wakati miundombinu na uchumi wake mbovu, unafikiri atakusikiliza?

- Unamuhubiria kijana aliye mtahani hana ajira habari za uhuru wa kuongea, wakati kwa wiki anakula milo mi5, unafikiri atakuelewa?

- Ebu acheni kujenga hoja nyepesi za mambo ya kufikirika.
 
Back
Top Bottom