maganjwa
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 2,800
- 2,339
Hili ni jambo kubwa kama chama cha siasa hatua ya kwanza ni kuandaa daftari Yao ya wanachama vizuri.
Leo nimeona wamefika shule sasa na kuanza kuandikisha wanafunzi kuingizwa kwenye daftari ya chama na kufanya maandalizi ya kuwapa kadi Yao ya electroniki.
Sasa CHADEMA wanafanya nini kama chama cha siasa huku grass root?
Leo nimeona wamefika shule sasa na kuanza kuandikisha wanafunzi kuingizwa kwenye daftari ya chama na kufanya maandalizi ya kuwapa kadi Yao ya electroniki.
Sasa CHADEMA wanafanya nini kama chama cha siasa huku grass root?
