CCM wanabadilisha Katiba yao ya 1977 iendane na wakati. Kwanini hawataki tubadili Katiba ya Tanzania ya 1977?

CCM hawataki kabisa kuwa chama cha Upinzani sababu wanajua dhoruba wanayowafanyia.

Kwa hiyo ngao yao kuu ni Katiba hii ya sasa kuenelea kutumika.
Kuna siku wataitaka wao hata Ndugai alikuwa anasema hakuna haja ya katiba mpya ila aliko anajuta.
 
WATANZANIA TUNATAKA KATIBA MPYA MBONA YA CHAMA CHENU MNABADILISHA
 
Akili ya wanaccm imejikita kwenye Urais, mkiwa na Rais mfuko wote wa fweza ni wenu.
 
Nje ya likatiba la zamani ccm inajua 'mwelekeo wake ni ICU'

Katiba mpya ndio mwisho wa ccm, hawezi kuiba kura kwa kuwatumia usalama, ma-ded na wengineo kwani uchaguzi utakuwa wa haki.
Na hakuna mtu yeyote mwenye akili sawa sawa anaweza pigia kura mijizi ya hili li chama! Ukiona mtu anajiunga nao ana maslahi binafsi au ameahidiwa cheo. Hata wenyewe wanajua
 
Wanato vilaka vya DR Bashiuri wanarudisha vya Mzee Kinana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…