kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,892
- 7,780
Nimemsikia Membe akizungumza kwa kujiamini kama ilivyokua kawaida yake. Mimi namshangaa ni msomi wa aina gani asiyeweza kutathmini mambo kisayansi hata kidogo.
Yeye ni mwanasiasa asiyekua na mvuto wowote zaidi ya kujiamini bure. Tatizo lingine kubwa la Membe kwenye siasa sio mtu mwadilifu. Ni mtu fisadi na mbadhirifu ndio kisa kikubwa kumchukia magufuli.
Kama Samia anafuata ushauri wa wanasiass wa pwani kama kina membe, nape na januari makamba wenye kumchukia magufuli kwa kua wao wanatumiwa na wafanyabiashara fisadi na watumishi wapenda rushwa kwa hakika ccm 2025 itaangukia pua.
Ccm wanafurahia ushindi mkubwa wa 2020 huku wakisahau kwa haraka kama sio magufuli wabunge walio wengi wa ccm wasingekua bungeni. Mbunge lusinde kibabaji amekua anawaonya ccm kulitambua hilo ila wengi wanafikiri tofauti.
Bila uongozi wa asili ya ccm kuwajali wanyonge kwenye jamii na kuendesha nchi kwa maslahi ya umma ccm ndio itabidi kuwa ya kidikteta kweli maana hawataweza kushinda uchaguzi kihalali. CHADEMA wameaminisha wafuasi wao eti walibiwa kura en masse 2020. Hapana... CCM ilishinda en masse kutokana na uongozi wa Magufuli.
Licha ya samia kufuata mstari wa hao 'gang of four wa tz' juzi ilibidi kukiri makubwa ya mafanikio ya jpm kwenye miundombinu na akakiri zawadi hiyo ingebidi iwe ya JPM.
Watanzania wana kumbukumbu kuliko hao genge la kina nape wanavyofikiri. 2025 bila shaka watatoa hukumu sahihi kwa usaliti wa samia na genge lake.
Yeye ni mwanasiasa asiyekua na mvuto wowote zaidi ya kujiamini bure. Tatizo lingine kubwa la Membe kwenye siasa sio mtu mwadilifu. Ni mtu fisadi na mbadhirifu ndio kisa kikubwa kumchukia magufuli.
Kama Samia anafuata ushauri wa wanasiass wa pwani kama kina membe, nape na januari makamba wenye kumchukia magufuli kwa kua wao wanatumiwa na wafanyabiashara fisadi na watumishi wapenda rushwa kwa hakika ccm 2025 itaangukia pua.
Ccm wanafurahia ushindi mkubwa wa 2020 huku wakisahau kwa haraka kama sio magufuli wabunge walio wengi wa ccm wasingekua bungeni. Mbunge lusinde kibabaji amekua anawaonya ccm kulitambua hilo ila wengi wanafikiri tofauti.
Bila uongozi wa asili ya ccm kuwajali wanyonge kwenye jamii na kuendesha nchi kwa maslahi ya umma ccm ndio itabidi kuwa ya kidikteta kweli maana hawataweza kushinda uchaguzi kihalali. CHADEMA wameaminisha wafuasi wao eti walibiwa kura en masse 2020. Hapana... CCM ilishinda en masse kutokana na uongozi wa Magufuli.
Licha ya samia kufuata mstari wa hao 'gang of four wa tz' juzi ilibidi kukiri makubwa ya mafanikio ya jpm kwenye miundombinu na akakiri zawadi hiyo ingebidi iwe ya JPM.
Watanzania wana kumbukumbu kuliko hao genge la kina nape wanavyofikiri. 2025 bila shaka watatoa hukumu sahihi kwa usaliti wa samia na genge lake.