CCM Wanagwaya. Je, kiama chao kimefika?

CCM Wanagwaya. Je, kiama chao kimefika?

Masokotz

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2018
Posts
3,713
Reaction score
6,121
Leo nimeenda na Mgombea wangu kwenda kuchukua fomu ya Kugombe ubunge kwa Tiketi ya Chama Rafiki.Nimekuta tayari vyama saba vimekwisha chukua FOMU ila CCM na CHADEMA bado hawajachukua Fomu.

Nilipokuwa hapa kwa msimamizi wa uchaguzi kuna mambo ambayo nimeyaona na kuyatafakari hasa kuhusu CCM kuchelewa kutangaza watu waliopitishwa kugombea katika nafasi mbalimbali. Nimejiuliza sana iwapo sababu kubwa ni kuogopa chama kugawanyika zaidi au ni kutaka kucheza foul.

Kwa mtazamo wangu naona kabisa dalili ya CCM kuingia katika mgogoro mkubwa sana hasa ukizingatia kwamba CCM wagombea wengi waloshinda walitumia pesa.

Niseme tu Inatosha sasa kufikiri kwa KIAMA ya CCM imekaribia.

Tusubiri tuone
 
Wanasubiri upinzani watangaze ili wajue aina ya wagombea wa kuwachagua kulingana na aina wagombea upinzani watakawachagua
 
Don't underestimate the power of this Old Party. Hata kama wamejeruhiana hua kina recover haraka sana sababu kipo stable

TAKUKURU wamekaa pembeni, rushwa ya kura za maoni itashughulikiwa ipasavyo na vikao vyao, kwa hiyo watakapokwenda kwenye uchaguzi watakua na hoja ya kuwaeleza wapiga kura kuwa wapo committed kwenye kupambana na rushwa na wamesafisha uozo ndani yao. Katika hili tujiandae kuona baadhi ya waliopata sifuri kwenye kura za maoni wakipewa nafasi kupeperusha bendera
 
Mtu yeyote akitaka kufanikiwa sharti awe realistic, kadhalika wapinzani.

CCM imekuwepo kabla ya upinzani, hivyo CCM haiwezi kuwa dependent kwa upinzani kwa lolote lile.

Amini amini nakwambia, kiama kitapita lakini CCM itabaki.
 
Mtu yeyote akitaka kufanikiwa sharti awe realistic, kadhalika wapinzani.

CCM imekuwepo kabla ya upinzani, hivyo CCM haiwezi kuwa dependent kwa upinzani kwa lolote lile.

Amini amini nakwambia, kiama kitapita lakini CCM itabaki.
Mkuu bahati yao wanazuia PESA tungewanyoosha.....Kwanza wamebana kwenye kubadli dolara to TZS pili wamezuia baadhi ya taasisi zisitoe elimu kwa wapiga kura.Kazi kweli kweli na bado tutawabana tu.
 
CCM inawekwa pamoja kea nguvu ya dola ( Kofia ya Rais ).

Bila hivyo CCM hakuna.

Ndio maana wanaCCM ni kama wamefungiwa kwenye CAGE

Hata ile sheria iliyotungwa ya kutaka mwanasiasa akihama chama lazima akae mwaka mzima ndio agombee ilikuwa kwaajili yao ( yaani ukikatwa utulie ).

Hapo ndio utawakuta wanaCCM wanahaha kuwatafuta kina HECHE wawasemee kwa kuupinga hiyo sheria ( maana wao kusrma hawawezi watashughulikiwa ).

Hata kupiga kura za wazi kwa wagombea Mwenyekiti na wa Zanzibar ilikuwa ni kutafuta mchawi wa kumdhibiti.

Ondoa vyeo vya kugawiana aka rushwa.

Weka pembeni Dola.

Hakuna CCM.

Hata sasa wamechelewa kutoa majina kuepusha wagombea watakaokatwa kuhama vyama.

Kumbuka CCM hawataki kabisa kusikia mambo ya mgombea binafsi binafsi kwa sababu hiyo.
 
CCM inawekwa pamoja kea nguvu ya dola ( Kofia ya Rais ).

Bila hivyo CCM hakuna.

Ndio maana wanaCCM ni kama wamefungiwa kwenye CAGE

Hata ile sheria iliyotungwa ya kutaka mwanasiasa akihama chama lazima akae mwaka mzima ndio agombee ilikuwa kwaajili yao ( yaani ukikatwa utulie ).

Hapo ndio utawakuta wanaCCM wanahaha kuwatafuta kina HECHE wawasemee kwa kuupinga hiyo sheria ( maana wao kusrma hawawezi watashughulikiwa ).

Hata kupiga kura za wazi kwa wagombea Mwenyekiti na wa Zanzibar ilikuwa ni kutafuta mchawi wa kumdhibiti.

Ondoa vyeo vya kugawiana aka rushwa.

Weka pembeni Dola.

Hakuna CCM.

Hata sasa wamechelewa kutoa majina kuepusha wagombea watakaokatwa kuhama vyama.

Kumbuka CCM hawataki kabisa kusikia mambo ya mgombea binafsi binafsi kwa sababu hiyo.
Mkuu uko sahihi sasa tufanyeje?au tuendelee tu kujadili?
 
Eti wanataka kuthibiti wagombea wao watakaowakata wasikimbilie upinzani kutafta nafasi mbadala baada ya kukatwa na CCM. So wamewaacha wapinzani wamalize kila kitu ndipo nao watoke nje!.....Safari hii hakuna mbinu itakayokiacha CCM salama, hawajuwi watoke na kipi waache kipi! Hata nyimbo wametunga zaidi ya 500, wajumbe tutakwenda kusiliza nyimbo sio ilani tuliyoizoea kila mwaka na siku ya uchaguzi tutafanya yetu!
 
Mkuu bahati yao wanazuia PESA tungewanyoosha.....Kwanza wamebana kwenye kubadli dolara to TZS pili wamezuia baadhi ya taasisi zisitoe elimu kwa wapiga kura.Kazi kweli kweli na bado tutawabana tu
Hizo pesa wamezuiaje? Kwani kuna aliyefanya kazi akakosa ujira wake?
 
Mkuu uko sahihi sasa tufanyeje?au tuendelee tu kujadili?
Mtu mmoja hawezi kufanya chochote.

Subiri watanzania wabanwe mpaka koromeo, hapo kila mtu atazungumza lugha moja.
 
D
Leo nimeenda na Mgombea wangu kwenda kuchukua fomu ya Kugombe ubunge kwa Tiketi ya Chama Rafiki.Nimekuta tayari vyama saba vimekwisha chukua FOMU ila CCM na CHADEMA bado hawajachukua Fomu.

Nilipokuwa hapa kwa msimamizi wa uchaguzi kuna mambo ambayo nimeyaona na kuyatafakari hasa kuhusu CCM kuchelewa kutangaza watu waliopitishwa kugombea katika nafasi mbalimbali. Nimejiuliza sana iwapo sababu kubwa ni kuogopa chama kugawanyika zaidi au ni kutaka kucheza foul.

Kwa mtazamo wangu naona kabisa dalili ya CCM kuingia katika mgogoro mkubwa sana hasa ukizingatia kwamba CCM wagombea wengi waloshinda walitumia pesa.

Niseme tu Inatosha sasa kufikiri kwa KIAMA ya CCM imekaribia.

Tusubiri tuone
delete ccm Oct 28
 
Mkuu mtu mmoja sio mtanzania?
Mtanzania mmoja hawezi kuishinda 'The underated baradhuli kama CCM'

Inahitajika umoja wa hali ya juu.

Watu washafanya mengi lakini mpaka sasa hayajaleta effect kwa CCM.

Kuna waliouliwa mchana kweupeee na CCM na wabongo wakaishia kusikitika na maisha yakaendelea.

Kuna waliofungwa na walio jela kwa uonevu wa wazi kabisa.

Lakini watu bado hawajui mbaya wao nani.

Kama ni uchaguzi huwa wanapora tu mchana kweupe.

Zanzibar na Serikali za mitaa ilikuwa ujambanoka kabisa tena wakiwa macho makavu kabisa.

Sioni mtu mmoja kama kuna kitu hawajafanya.
 
Don't underestimate the power of this Old Party. Hata kama wamejeruhiana hua kina recover haraka sana sababu kipo stable

TAKUKURU wamekaa pembeni, rushwa ya kura za maoni itashughulikiwa ipasavyo na vikao vyao, kwa hiyo watakapokwenda kwenye uchaguzi watakua na hoja ya kuwaeleza wapiga kura kuwa wapo committed kwenye kupambana na rushwa na wamesafisha uozo ndani yao. Katika hili tujiandae kuona baadhi ya waliopata sifuri kwenye kura za maoni wakipewa nafasi kupeperusha bendera
Rushwa ni kosa kubwa la jinai. CCM ni chama cha siasa hivyo hakina mamlaka ya aina yoyote, ya kushughulikia jinai. Ni hivi, wakati ukiandika maoni yako haya tayari CCM wanaogelea kwenye anguko la kwanza la kuiondolea Takukuru mamlaka ya kushughulikia rushwa. CCM hawana tena namna watawaeleza wapiga kura kwamba wanaweza kupigana vita dhidi ya rushwa. Hoja ya rushwa imezidi kuwaponyoka. Ilianzia kwenye manunuzi ya wabunge na madiwani na imeendelea kujidhihirisha kupitia mchakato wa kura za maoni. Wenye imani ya ndani kabisa ya Kikristo wanajua kuwa kuna wakati Mungu humtia upofu mtu kama amekusudia kumdondosha! kwa matendo ya CCM hakuna tena mtu mwenye akili timamu anayeweza kukiamini chama hicho kuwa kinaweza kuongoza vita dhidi ya rushwa. Hakuna!

Ambacho hujui ni kwamba. Ndani ya CCM hakuna mgombea aliyekuwa akitaka kushinda ambaye hakutoa rushwa. Hakuna! Kinacholeta shida sasa ndani ya chama sio suala la rushwa, ni suala la nani anatakiwa na mfumo. Hofu iliyopo sasa mfumo unatafakari ni vipi utatazamwa na wanaCCM kama utaamua kuwapora mamlaka ya kupigia kura mtu wanayemtaka wao!
 
Rushwa ni kosa kubwa la jinai. CCM ni chama cha siasa hivyo hakina mamlaka ya aina yoyote, ya kushughulikia jinai. Ni hivi, wakati ukiandika maoni yako haya tayari CCM wanaogelea kwenye anguko la kwanza la kuiondolea Takukuru mamlaka ya kushughulikia rushwa. CCM hawana tena namna watawaeleza wapiga kura kwamba wanaweza kupigana vita dhidi ya rushwa. Hoja ya rushwa imezidi kuwaponyoka. Ilianzia kwenye manunuzi ya wabunge na madiwani na imeendelea kujidhihirisha kupitia mchakato wa kura za maoni. Wenye imani ya ndani kabisa ya Kikristo wanajua kuwa kuna wakati Mungu humtia upofu mtu kama amekusudia kumdondosha! kwa matendo ya CCM hakuna tena mtu mwenye akili timamu anayeweza kukiamini chama hicho kuwa kinaweza kuongoza vita dhidi ya rushwa. Hakuna!

Ambacho hujui ni kwamba. Ndani ya CCM hakuna mgombea aliyekuwa akitaka kushinda ambaye hakutoa rushwa. Hakuna! Kinacholeta shida sasa ndani ya chama sio suala la rushwa, ni suala la nani anatakiwa na mfumo. Hofu iliyopo sasa mfumo unatafakari ni vipi utatazamwa na wanaCCM kama utaamua kuwapora mamlaka ya kupigia kura mtu wanayemtaka wao!
💯💯💯
 
Mtanzania mmoja hawezi kuishinda 'The underated baradhuli kama CCM'

Inahitajika umoja wa hali ya juu.

Watu washafanya mengi lakini mpaka sasa hayajaleta effect kwa CCM.

Kuna waliouliwa mchana kweupeee na CCM na wabongo wakaishia kusikitika na maisha yakaendelea.

Kuna waliofungwa na walio jela kwa uonevu wa wazi kabisa.

Lakini watu bado hawajui mbaya wao nani.

Kama ni uchaguzi huwa wanapora tu mchana kweupe.

Zanzibar na Serikali za mitaa ilikuwa ujambanoka kabisa tena wakiwa macho makavu kabisa.

Sioni mtu mmoja kama kuna kitu hawajafanya.
Mkuu,I will prove you wrong.It takes just one person to take them down.Nitafute PM
 
Back
Top Bottom