Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
May be.Mkuu,I will prove you wrong.It takes just one person to take them down.Nitafute PM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
May be.Mkuu,I will prove you wrong.It takes just one person to take them down.Nitafute PM
That's nonsense. It can't help them avoid defeat.Wanasubiri upinzani watangaze ili wajue aina ya wagombea wa kuwachagua kulingana na aina wagombea upinzani watakawachagua
Ninaposema CCM itapata pigo kuuuuubwa sana pigo moja tu pigo takatifu pigo lililonyooka kabla ya uchaguzi mkuu ujao watu hawanielewi lakini CCM itajikaanga na kujitafuna yenyeweLeo nimeenda na Mgombea wangu kwenda kuchukua fomu ya Kugombe ubunge kwa Tiketi ya Chama Rafiki.Nimekuta tayari vyama saba vimekwisha chukua FOMU ila CCM na CHADEMA bado hawajachukua Fomu.
Nilipokuwa hapa kwa msimamizi wa uchaguzi kuna mambo ambayo nimeyaona na kuyatafakari hasa kuhusu CCM kuchelewa kutangaza watu waliopitishwa kugombea katika nafasi mbalimbali. Nimejiuliza sana iwapo sababu kubwa ni kuogopa chama kugawanyika zaidi au ni kutaka kucheza foul.
Kwa mtazamo wangu naona kabisa dalili ya CCM kuingia katika mgogoro mkubwa sana hasa ukizingatia kwamba CCM wagombea wengi waloshinda walitumia pesa.
Niseme tu Inatosha sasa kufikiri kwa KIAMA ya CCM imekaribia.
Tusubiri tuone
Kwa mtazamo wangu naona kabisa dalili ya CCM kuingia katika mgogoro mkubwa sana hasa ukizingatia kwamba CCM wagombea wengi waloshinda walitumia pesa.Leo nimeenda na Mgombea wangu kwenda kuchukua fomu ya Kugombe ubunge kwa Tiketi ya Chama Rafiki.Nimekuta tayari vyama saba vimekwisha chukua FOMU ila CCM na CHADEMA bado hawajachukua Fomu.
Nilipokuwa hapa kwa msimamizi wa uchaguzi kuna mambo ambayo nimeyaona na kuyatafakari hasa kuhusu CCM kuchelewa kutangaza watu waliopitishwa kugombea katika nafasi mbalimbali. Nimejiuliza sana iwapo sababu kubwa ni kuogopa chama kugawanyika zaidi au ni kutaka kucheza foul.
Kwa mtazamo wangu naona kabisa dalili ya CCM kuingia katika mgogoro mkubwa sana hasa ukizingatia kwamba CCM wagombea wengi waloshinda walitumia pesa.
Niseme tu Inatosha sasa kufikiri kwa KIAMA ya CCM imekaribia.
Tusubiri tuone
Kigamboni wampe MpokiDon't underestimate the power of this Old Party. Hata kama wamejeruhiana hua kina recover haraka sana sababu kipo stable
TAKUKURU wamekaa pembeni, rushwa ya kura za maoni itashughulikiwa ipasavyo na vikao vyao, kwa hiyo watakapokwenda kwenye uchaguzi watakua na hoja ya kuwaeleza wapiga kura kuwa wapo committed kwenye kupambana na rushwa na wamesafisha uozo ndani yao. Katika hili tujiandae kuona baadhi ya waliopata sifuri kwenye kura za maoni wakipewa nafasi kupeperusha bendera