Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Hamna kitu hapo maigizoSaaa uliwahi kumwagiwa maji ya moto usoni ukawa sawa?
Hata hivyo,
Wasiojulikana ,watendao UOVU huo ni muhimu kujulikana na kushughulikiwa.
Umesema amemwagiwa maji ya moto usoni,Hamna kitu hapo maigizo
Ndio nimeshaigiza sana hapa kwenyewe nimetoka kuyaogaUmesema amemwagiwa maji ya moto usoni,
Wewe unaweza kufanya igizo Hilo?
Kama alimwagiwa maji ya moto unayoweza kuyaoga, basi Kweli ni maigizo,Ndio nimeshaigiza sana hapa kwenyewe nimetoka kuyaoga
Maigizo hayo endeleeni kuigizaKama alimwagiwa maji ya moto unayoweza kuyaoga, basi Kweli ni maigizo,
Lakini angekuwa amemwagiwa maji moto ya kunyonyolea kuku, Si maigizo hayo.
Mimi tena!!Maigizo hayo endeleeni kuigiza
Endeleeni kuigizaMimi tena!!
Maigizo tu hayoCCM wako radhi wamuue hata kibaraka au chawa wao yeyote kwasababu ya maslahi ya kundi lao la wala asali ya Tanganyika
Kwa akili ya kawaida hata wewe unaweza kukubali kumwagiwa maji ya moto usoni na mikononi ili ufanye maigizo?Siku ya Leo limetoka igizo Moja ya kiongozi wa ccm eti kamwagiwa TINDIKALI kumbe Yale ni maji ya moto wanaigiza Ili kupoza raia wasiingie ground tarehe 23 nasema hivi ccm acheni kuigiza mnajimwagia maji ya moto ambayo Kila siku tunayaoga mnaema eti kamwagiwa TINDIKALIwezi nyie
Ndio nakubaliKwa akili ya kawaida hata wewe unaweza kukubali kumwagiwa maji ya moto usoni na mikononi ili ufanye maigizo?
Basi sio kila mmoja anaweza kujitoa ufahamu kwa level zakoNdio nakubali
Ni nani huyo?πππSiku ya Leo limetoka igizo Moja ya kiongozi wa ccm eti kamwagiwa TINDIKALI kumbe Yale ni maji ya moto wanaigiza Ili kupoza raia wasiingie ground tarehe 23 nasema hivi ccm acheni kuigiza mnajimwagia maji ya moto ambayo Kila siku tunayaoga mnaema eti kamwagiwa TINDIKALIwezi nyie