CCM wanajua wawekezaji wataikimbia nchi baada ya Vodacom kutangaza hasara iliyotokana na tozo?

CCM wanajua wawekezaji wataikimbia nchi baada ya Vodacom kutangaza hasara iliyotokana na tozo?

Hakuna kampuni ya simu inayopata hasara hivyo ni vichwa vya habari tu
 
Wote naamini tumeliona lile tangazo la kampuni ya Vodacom, lenye kichwa cha habari cha TAARIFA KWA UMMA, ambalo lilielezea kuwa kampuni hiyo imepata hasara ya Shs. Bilioni 103.8 Katika mwaka uliopita wa Fedha, kutokana na Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, kuanzisha hizi tozo zake kwa wananchi.

Hivi huyu Mwigulu Nchemba, anajua "impact" ya tangazo hilo kwa uchumi wa nchi hii??

Ni dhahiri kuwa hivi ninavyoandika "post" hii, wawekezaji kwa maelfu, aidha walioko nchini hivi sasa, au wale waliopanga kuja nchini kuwekeza, weshabadili mawazo na kuamua kutowekeza nchini kwetu.

Ninajaribu ku- imagine, hivi huyu Mwigulu Nchemba, ni kwanini ana roho ngumu kiasi hiki na hataki kujiuzuru, pamoja na kuwa yeye ndiye "source" ya janga hili la kuporomoka vibaya kwa uchumi wetu, kutokana na tozo zake za dhuluma, ambazo wananchi wamezipigia kelele Sana??

Huyu Mwigulu Nchemba, amefikia mahala anatudhihaki watanzania, eti asiyetaka kulipa tozo hizo ahamie nchi jirani ya Burundi!

Lakini hiki kiburi na jeuri anayoonyesha huyu Mwigulu Nchemba, inatokana na hii nchi kutokuwa na Katiba mpya ambayo itakuwa yenye kukidhi mfumo wa vyama vingi vya kisiasa, kwa kuwa yeye Mwigulu anajua hata kama Umma wa watanzania watapinga tozo hiyo, lakini wakati wa uchaguzi mkuu utakapofika, Tume ya uchaguzi, itamtangaza yeye, kuwa mshindi, kwa kuwa tu ni mgombea wa CCM!

Lakini angejua thamani ya sanduku la kura, asingefanya uamuzi wa hovyo kiasi hiki.

KWA hiyo ni muhimu sana kuliko kitu chochote Katika nchi hii kwa hivi sasa, Rasimu ya Jaji Warioba, ambayo ndiyo Katiba iliyotokana na maoni yetu wananchi, irudi mezani na ndiyo itakayokuwa mkombozi wa Maisha yetu watanzania

Mungu ibariki Tanzania.
Tozo ni muhimu ili mradi tujiridhishe kuwa zinatumika kwa manufaa yaliyo dhahiri kwa watanzania kama ujenzi wa barabara nk
 
I

Umeongea ukweli mtupu.

Ili ujihakikishie nafasi kwenye Serikali hii, siyo kwa kutenda Mema kwa nchi hii, bali ni kwa kujipendrkeza kwa wakubwa![emoji3064]
Kwani hilo hulijui mkuu?,subiri uone Steve Nyerere anavyokula teuzi ndio utajua hujui[emoji1787]
 
Yaani serikali wanatukamua tozo mpaka tunashituka.
Mimi binafsi nilikuwa naichangia serikali wastani wa 6,000 mpaka 10,000 kwa kutoa tu kwa MPESA.

Sasa na mimi nimegundua njia ya kupunguza maumivu ya tozo nalipia chini ya buku kwa wiki kwa miamala ile ile na zaidi. Hawanipati tena hata washushe tozo.
 
Moja wapo ya mambo yanayowakimbiza wawekezaji ni kutotabirika kwa sera za nchi husika.

Kwa staili hii ya kuibua levies pale mtu anapojisikia tu , zile nyimbo za kuifungua nchi zitakua zinapeperuka na kutoka dirishani.

Wazo la mtu mmoja sote ni mashuhuda limeleta hasara ya Bilioni 100 kwa kampuni moja tu.

Bado kwa maelfu ya makampuni na maumivu kwa mamilioni ya wananchi.

Tujisahihishe.
 
Sio huyu Jamaa hana roho ngumu Bali huyu MTU ni Godless
 
Mchumi ama mchumia tumbo. Kuna Nini amebuni zaidi ya kuangalia kuibia wananchi kisa tu ana madaraka. Angewekeza Sera nzuri investors waje wawekeze wao wachukue Kodi. Ila anajiona mjanja 🤠 Kama mie jamani
 
Wote naamini tumeliona lile tangazo la kampuni ya Vodacom, lenye kichwa cha habari cha TAARIFA KWA UMMA, ambalo lilielezea kuwa kampuni hiyo imepata hasara ya Shs. Bilioni 103.8 Katika mwaka uliopita wa Fedha, kutokana na Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, kuanzisha hizi tozo zake kwa wananchi.

Hivi huyu Mwigulu Nchemba, anajua "impact" ya tangazo hilo kwa uchumi wa nchi hii??

Ni dhahiri kuwa hivi ninavyoandika "post" hii, wawekezaji kwa maelfu, aidha walioko nchini hivi sasa, au wale waliopanga kuja nchini kuwekeza, weshabadili mawazo na kuamua kutowekeza nchini kwetu.

Ninajaribu ku- imagine, hivi huyu Mwigulu Nchemba, ni kwanini ana roho ngumu kiasi hiki na hataki kujiuzuru, pamoja na kuwa yeye ndiye "source" ya janga hili la kuporomoka vibaya kwa uchumi wetu, kutokana na tozo zake za dhuluma, ambazo wananchi wamezipigia kelele Sana??

Huyu Mwigulu Nchemba, amefikia mahala anatudhihaki watanzania, eti asiyetaka kulipa tozo hizo ahamie nchi jirani ya Burundi!

Lakini hiki kiburi na jeuri anayoonyesha huyu Mwigulu Nchemba, inatokana na hii nchi kutokuwa na Katiba mpya ambayo itakuwa yenye kukidhi mfumo wa vyama vingi vya kisiasa, kwa kuwa yeye Mwigulu anajua hata kama Umma wa watanzania watapinga tozo hiyo, lakini wakati wa uchaguzi mkuu utakapofika, Tume ya uchaguzi, itamtangaza yeye, kuwa mshindi, kwa kuwa tu ni mgombea wa CCM!

Lakini angejua thamani ya sanduku la kura, asingefanya uamuzi wa hovyo kiasi hiki.

KWA hiyo ni muhimu sana kuliko kitu chochote Katika nchi hii kwa hivi sasa, Rasimu ya Jaji Warioba, ambayo ndiyo Katiba iliyotokana na maoni yetu wananchi, irudi mezani na ndiyo itakayokuwa mkombozi wa Maisha yetu watanzania

Mungu ibariki Tanzania.
Hasara ealiyopata Vodacom imebakia Mifukoni kwetu Kwa Kukataa kufanya Miamala
Ngoma Droo
 
Yeye hana shida huduma zote anapata bure, hata mapato yakipungua hayamuhusu
 
Wote naamini tumeliona lile tangazo la kampuni ya Vodacom, lenye kichwa cha habari cha TAARIFA KWA UMMA, ambalo lilielezea kuwa kampuni hiyo imepata hasara ya Shs. Bilioni 103.8 Katika mwaka uliopita wa Fedha, kutokana na Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, kuanzisha hizi tozo zake kwa wananchi.

Hivi huyu Mwigulu Nchemba, anajua "impact" ya tangazo hilo kwa uchumi wa nchi hii??

Ni dhahiri kuwa hivi ninavyoandika "post" hii, wawekezaji kwa maelfu, aidha walioko nchini hivi sasa, au wale waliopanga kuja nchini kuwekeza, weshabadili mawazo na kuamua kutowekeza nchini kwetu.

Ninajaribu ku- imagine, hivi huyu Mwigulu Nchemba, ni kwanini ana roho ngumu kiasi hiki na hataki kujiuzuru, pamoja na kuwa yeye ndiye "source" ya janga hili la kuporomoka vibaya kwa uchumi wetu, kutokana na tozo zake za dhuluma, ambazo wananchi wamezipigia kelele Sana??

Huyu Mwigulu Nchemba, amefikia mahala anatudhihaki watanzania, eti asiyetaka kulipa tozo hizo ahamie nchi jirani ya Burundi!

Lakini hiki kiburi na jeuri anayoonyesha huyu Mwigulu Nchemba, inatokana na hii nchi kutokuwa na Katiba mpya ambayo itakuwa yenye kukidhi mfumo wa vyama vingi vya kisiasa, kwa kuwa yeye Mwigulu anajua hata kama Umma wa watanzania watapinga tozo hiyo, lakini wakati wa uchaguzi mkuu utakapofika, Tume ya uchaguzi, itamtangaza yeye, kuwa mshindi, kwa kuwa tu ni mgombea wa CCM!

Lakini angejua thamani ya sanduku la kura, asingefanya uamuzi wa hovyo kiasi hiki.

KWA hiyo ni muhimu sana kuliko kitu chochote Katika nchi hii kwa hivi sasa, Rasimu ya Jaji Warioba, ambayo ndiyo Katiba iliyotokana na maoni yetu wananchi, irudi mezani na ndiyo itakayokuwa mkombozi wa Maisha yetu watanzania

Mungu ibariki Tanzania.
Mwigulu ni Rais wa hii nchi? Hili suala lipo chini ya Samia siyo Mwigulu.
 
Mchumi ama mchumia tumbo. Kuna Nini amebuni zaidi ya kuangalia kuibia wananchi kisa tu ana madaraka. Angewekeza Sera nzuri investors waje wawekeze wao wachukue Kodi. Ila anajiona mjanja 🤠 Kama mie jamani
Very true

Weka kiwango cha kodi, kitakachokuwa "affordable" kwa wananchi wote, lakini siyo kwa misururu ya kodi aliyo-introduce Mwigulu🥺
 
Watakimbia vipi wakati kuna R4 sijui anamaanisha huyu Bi KIZIMKAZI.
 
Mwigulu ni Rais wa hii nchi? Hili suala lipo chini ya Samia siyo Mwigulu.
Kwenye nchi hii, Rais anachopenda ni sifa nzuri pekee, jumba likishaporomoka, wanasakiziwa wengine!🥺
 
Back
Top Bottom