mcfm40
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,452
- 3,151
Sarakasi walizofanya kwenye mabaraza na lawama na matusi yanayoelelezwa kwa Warioba kana kwamba yeye ndiye anayeamua nini kiwepo na nini kisiwepo katika katiba mpya ni mbinu za CCM kumtisha?
Kwani Tume ni warioba peke yake. CCM kemeeni hawa makada wenu la sivyo naiona tume ikijiuzulu na mchakato mzima kuvurugika.
Na huo ndo utakuwa mwanzo wa kuiingiza nchi ktk machafuko makubwa. Kikwete be careful!
Kwani Tume ni warioba peke yake. CCM kemeeni hawa makada wenu la sivyo naiona tume ikijiuzulu na mchakato mzima kuvurugika.
Na huo ndo utakuwa mwanzo wa kuiingiza nchi ktk machafuko makubwa. Kikwete be careful!