Red Scorpion JF-Expert Member Joined Feb 1, 2012 Posts 5,736 Reaction score 4,252 Oct 3, 2013 #21 Chabruma said: Nguvu ya umma unayosema ni ipi? au ni ile ambayo imesababisha viongozi wenu vihiyo waungane? kwa kuwa ccm ndo ina wabunge wengi, ni wazi kuwa ndiyo inayowawakilisha wananchi wengi na kwa hali hiyo nguvu ya umma ipo ccm Click to expand... Kwani nini mnafanya uchakachuaji kwenye uchaguzi sasa kama kweli uma unawakubali nyinyi?
Chabruma said: Nguvu ya umma unayosema ni ipi? au ni ile ambayo imesababisha viongozi wenu vihiyo waungane? kwa kuwa ccm ndo ina wabunge wengi, ni wazi kuwa ndiyo inayowawakilisha wananchi wengi na kwa hali hiyo nguvu ya umma ipo ccm Click to expand... Kwani nini mnafanya uchakachuaji kwenye uchaguzi sasa kama kweli uma unawakubali nyinyi?
C casampeda JF-Expert Member Joined Jul 28, 2012 Posts 2,900 Reaction score 507 Oct 3, 2013 #22 walio lala mbele ndio wamechemsha.
M man imma hamng Member Joined Aug 30, 2013 Posts 18 Reaction score 1 Oct 9, 2013 #23 majuto ni mjukuu hacha wajute daaaa! 2mewachoka ccm