CCM wanajuta kuingia kwenye mchakato wa katiba mpya?

Nguvu ya umma unayosema ni ipi? au ni ile ambayo imesababisha viongozi wenu vihiyo waungane? kwa kuwa ccm ndo ina wabunge wengi, ni wazi kuwa ndiyo inayowawakilisha wananchi wengi na kwa hali hiyo nguvu ya umma ipo ccm

Kwani nini mnafanya uchakachuaji kwenye uchaguzi sasa kama kweli uma unawakubali nyinyi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…