Uchaguzi 2020 CCM wanapotosha. Haiwezekani kuwa 70 % ya Wapiga kura ni Wana CCM

Uchaguzi 2020 CCM wanapotosha. Haiwezekani kuwa 70 % ya Wapiga kura ni Wana CCM

Tumeona vijijini,ccm wanadhana kuwawekea tbc pekee ndo wataweza mind control,mind control aliweza Nyerere pekee zamani, hata Sasa asingeweza control akili za watu. Wanajidanganya eti Lisu ajulikani vijijini sasa Kama trump tu anajulikana vijijini sembuse Lisu.
Bado vijiji 2500 havijawekewa umeme,walitegemea tunawasha taa tu?Kwa taarifa yenu watu wa vijijini wanafuatili Sky News,Aljazeera,BBC News,CNN,CCGT,Social Media kama Facebook, Twitter, WhatsApp, Instagram nk.Mlitegemea nini nyie?
 
Nimemsikia Polepole Leo akidai kuwa CCM ina wanachama 16 million. Assuming kuwa mwanachama ni lazima awe na umri wa miaka 18 hivyo inamaanisha kuwa kwa idadi hiyo CCM ina 70 % ya Wapiga kura wote kwa Tanzania. Kwa vile anadai kuwa Kila wanachama 3 watarecruit mtu moja hivyo kuwa na wapiga kura wa zaidi ya 5 million wa ziada. Kwa madai hayo ina maana watakuwa na wapiga kura 21 million Kati ya 23 million wakiojiandikisha.

Je, huu ndiyo Mpango wa CCM kujustify ushindi wa kishindo na wanatuandaa kisaikolojia kwa Mpango wao wakati on the ground watu tunaona tofauti?

Binafsi Nikiangalia kwenye Familia, marafikiki na watu walionizunguka sioni hao wanachama wa CCM kwa number hizo wanazodai CCM.

Wadau naomba maoni yenu kuhusu anachokisena Polepole.
Cha kujiuliza ni kuwa je Hilo group la wanachama wao lote linafaidika na mema ya nchi?je lenyewe watoto wao sheria kandamizi za mikopo vyuoni haziwahusu? Fao la kujitoa je?wao hivi na nk ambavyo ni kandamizi haviwahusu? Kama nao wanaumia kama wengine halafu wakapgia kura mfumo zamani ,basi kuna kitu wanasiasa watakua wanatufanya Kwenye mbongo zetu ila mimi simo!!!

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Nimemsikia Polepole Leo akidai kuwa CCM ina wanachama 16 million. Assuming kuwa mwanachama ni lazima awe na umri wa miaka 18 hivyo inamaanisha kuwa kwa idadi hiyo CCM ina 70 % ya Wapiga kura wote kwa Tanzania. Kwa vile anadai kuwa Kila wanachama 3 watarecruit mtu moja hivyo kuwa na wapiga kura wa zaidi ya 5 million wa ziada. Kwa madai hayo ina maana watakuwa na wapiga kura 21 million Kati ya 23 million wakiojiandikisha.

Je, huu ndiyo Mpango wa CCM kujustify ushindi wa kishindo na wanatuandaa kisaikolojia kwa Mpango wao wakati on the ground watu tunaona tofauti?

Binafsi Nikiangalia kwenye Familia, marafikiki na watu walionizunguka sioni hao wanachama wa CCM kwa number hizo wanazodai CCM.

Wadau naomba maoni yenu kuhusu anachokisena Polepole.
Kupata kura za ushindi ni SAYANSI na CCM wanalijua hilo.
 
Wanatakiwa kuelewa kua mwanachama wako hana mkataba na wewe kuhusu uamuzi wake wa kupiga kura. Uanachama unabaki kua uanachama na maamuzi ya nani ampigie kura anabakinayo mru mwenyewe, haviingiliani
Hiii point wengi wanaipuuza sana,,, ccm hupenda kujimwambafy kwa kuwa na idadi kubwa ya wanachama!

Wanasahau kuwa mtu anaweza kuwa mwanachama wa CCM lakini asiichague CCM kutokana na sababu zake!
 
Mwaka 2015 ccm haikushinda waliiba kura na sasa mwaka 2020 ccm inachukiwa sana watu wengi hasa wafanyabiashara watumishi wa umma wameathirika na sera na mateso ya ccm na wote hawataipigia kura ccm
Eeeh asee kumbe Chadema ina wanachama wangapi ,tuanzie hapo kwanza.
 
Chama cha Mbowe kina wanachama wangapi mpaka sasa?.
Hawa watu ni walaghai mnoo.

Ni hawahawa waliomsababisha Lowasa kujiuzulu sababu ya ufisadi halafu wanajua kumpa nafasi ya kugombea urais sababu ana mtaji tena Tundu akiwa kinara ya kumpokea na kumwombea kura


Halafu Leo wamempata mwenye mtaji mkubwa zaidi bwana amstadam washamsahau Lowasa waliyempamba kwa nyimbo na mapambio
Tundu sio kabisaa
 
Anaweza kuwa sahihi kwa maana ya jumla - lkn huenda shida ikatokana wengi wakawa ni wanachama lkn wasio hai

Pili upigaji kura ni kitendo kinachofanywa na mpiga kura baada ya kupima sera na ilani za vyama hivyo ukaja kukuta finally wanachagua mwingine,

Tatu, suala la tumbuatumbua ukakuta waliotumbuliwa, ndugu zao, rafiki zao, watoto wao wakaamua kupigia kwingineko kwa ghadhabu

Nne, kuporomoka kwa bei za mazao ya kibiashara (pamba 2100 - 870), (kahawa 2300 - 1100), (korosho 2800 - 2100), (muhogo 600 - 250) vyote hivi vinagusa wakulima vijijini - hivyo upo uwezekano wa kupoteza kura za wanaccm wengi;

So, CCM tubuni njia za dharura ili kujihakikishia ushindi 2020
 
Anaweza kuwa sahihi kwa maana ya jumla - lkn huenda shida ikatokana wengi wakawa ni wanachama lkn wasio hai

Pili upigaji kura ni kitendo kinachofanywa na mpiga kura baada ya kupima sera na ilani za vyama hivyo ukaja kukuta finally wanachagua mwingine,

Tatu, suala la tumbuatumbua ukakuta waliotumbuliwa, ndugu zao, rafiki zao, watoto wao wakaamua kupigia kwingineko kwa ghadhabu

Nne, kuporomoka kwa bei za mazao ya kibiashara (pamba 2100 - 870), (kahawa 2300 - 1100), (korosho 2800 - 2100), (muhogo 600 - 250) vyote hivi vinagusa wakulima vijijini - hivyo upo uwezekano wa kupoteza kura za wanaccm wengi;

So, CCM tubuni njia za dharura ili kujihakikishia ushindi 2020
Mtaelewa tu mwaka huu
 
Nimemsikia Polepole Leo akidai kuwa CCM ina wanachama 16 million. Assuming kuwa mwanachama ni lazima awe na umri wa miaka 18 hivyo inamaanisha kuwa kwa idadi hiyo CCM ina 70 % ya Wapiga kura wote kwa Tanzania. Kwa vile anadai kuwa Kila wanachama 3 watarecruit mtu moja hivyo kuwa na wapiga kura wa zaidi ya 5 million wa ziada. Kwa madai hayo ina maana watakuwa na wapiga kura 21 million Kati ya 23 million wakiojiandikisha.

Je, huu ndiyo Mpango wa CCM kujustify ushindi wa kishindo na wanatuandaa kisaikolojia kwa Mpango wao wakati on the ground watu tunaona tofauti?

Binafsi Nikiangalia kwenye Familia, marafikiki na watu walionizunguka sioni hao wanachama wa CCM kwa number hizo wanazodai CCM.

Wadau naomba maoni yenu kuhusu anachokisena Polepole.
Mimi ni mwana CCM na kadi ninayo ila kura yangu haipo pamoja na wao.
 
Back
Top Bottom