CCM wanataka Mbowe aendelee kukaa madarakani kwa sababu hizi hapa

Ukiona CCM wanang'ang'ania jambo, ujue fika kwamba jambo hilo lina nia ovu ya kutunisha matumbo yao mapana na makubwa kama mapakacha kwa maslahi mapana ya kikundi kidogo cha wachumiatumbo wanaotamani rasilimali zote za taifa hili ziingie kwenye matumbo yao wenyewe.
 
MaCCM yote sasa hivi matumbo yanawaka moto, chuma kimeingia madarakani. Kula chuma hiko ChoiceVariable MamaSamia2025 Lucas Mwashambwa
CCM wawake moto wakati wameshika Dola?

Lisu ametoka Jupiter hakuwepo si ndio? πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

Nyumbu ni nyumbu tuu ,nataka kuona Yale ya No reform no election yakitokea tuone maana ndivyo kibaraka Lisu aliwapiga fix 😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…