CCM Wanatamani Kutumia Virungu

Mautino

Member
Joined
Feb 20, 2014
Posts
42
Reaction score
22
Ukiangalia mwenendo mzima wa CA mpaka sasa, ni dhahiri CCM imeshindwa hoja. Ingekuwa Katiba ni kampeni ya uchaguzi, CCM wangeshaiba kura au kupiga wapinzani mabomu. Ila kwa sababu hakuna polisi ndani ya CA, akina Ole-Sendeka wanaishia kutoa machozi tu.

Aisee, demokrasia ya kweli ni tamu sana!
 
Aise hapo hakuna demokrasia ya kweli, kama kungekuwa na demokrasia ya kweli, tusingeshuhudia bunge likipoteza muda kiasi hicho, eti kwa sababu ya ccm wanaoleta ajenda ya kipuuzi mbele ya bunge bila hoja za msingi, ccm wanang'ang'ania kura ya wazi, si vituko hivi, na mpaka sasa bado kuna mvutano, wanakaa vikao vya siri kulazimishana, demokrasia iko wapi hapo, mwenyekiti wa muda naye anaruhusu upambavu kama huu uzidi kupoteza muda, kama demokrsia ipo kweli, tungeona katupilia mbali upuuzi wa ccm na kuchukua uamuzi wenye maslahi kwa taifa, na sio kwa chama kimoja.
 


hio ni katiba sio uchaguzi. Ni vizuri kuwajua vibaraka wa wazungu ambao wameshavuta advance. HABARI BURE.
 
Ccm wanadhani katiba ya nchi ni sawa na katiba ya nchi, watanzania tusikubali kamwe! Ccm inawaburuza wabunge wake ili waisaliti tanganyika yao, hii dhambi haitaiacha salama ccm!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…