Chambusiso
JF-Expert Member
- Jul 11, 2007
- 2,592
- 4,640
Hawajielewi😃😀😆Tulishasema hapa ccm ya kisasa ni ya watu 500-700 na koo zao, nani anamjua mwashamba? Yeye akae kutwa kucha jf kusifia kwa magazeti yake akitupiwa kifurushi na chipsi dume siku inaenda ila elites wanakwenda na ethnic groups zao! Wengine watawaimbia mapambio tu na kuvalishwa kijani km mbwa wa kizungu
Kwani wewe utaishi milele hapa Duniani?UZURI MUNGU HUWA YUPO. HUYU BABU WA MSOGA SI KITAMBO ATAREJEA KWA MUUMBA. TUONE HZ TKTK ALIZOANDAA ZITAKWENDA WP?
Yeye atakuwepo kuwepo kushuhudia jinsi CCM itakavyoondolewa madarakani na huu usultani kufyekelewa mbaliKwani wewe utaishi milele hapa Duniani?
Nani anakujua? Ungesemaje ili urushiwe chips dume?Kwani wewe utaishi milele hapa Duniani?
Nakuunga mkono yote kwa maneno yako mazuri na yenye busara. Kwa taarifa yake ni kwamba kuna teuzi zimefanywa na mama ya watu wa vijijini huko ambao hawana majina wala familia zao hazijulikani popote. Fanya kazi utaonekana tu.Kwani Familia ya Mheshimiwa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete ndio Imejaza nafasi zote za uwaziri,ukuu wa Mkoa,wilaya,ukurugenzi wa halmashauri,Ma Das,Ma Ras,wabunge zaidi ya mia 3, Madiwani ,ma DSO na wengine wengi tu. Nafasi ngapi zipo hapa Nchini? je hiyo Familia ya Kikwete Imejaza nafasi hizo zote?
Kwani Mtela Mwampamba ambaye ni DAS huko Songea ni mtoto wa Kikwete? Juliana Shonza ambaye ni mbunge naye ni mtoto wa Kikwete?
Acheni mawazo ya kijinga na ubaguzi.acheni wivu wa kijinga kinga hapa..Mimi ni CCM na sioni ubaya mtoto wa kiongozi kuwa kiongozi ikiwa ana sifa zote
Umesoma ulichoandika?Fanya kazi utaonekana tu.
Kwahiyo wewe unaona wote wanaopewa hizo nafasi wana sifa stahiki?na sioni ubaya mtoto wa kiongozi kuwa kiongozi ikiwa ana sifa zote
Ccm ni mchwa, hawashibiWatu mnaojua kiingereza mnaweza kunisahihisha kama neno nililolitumia siyo sahihi. Kiranga na Nyani Ngabu msaada tutani.
Kwa mtazamo wa kijuujuu huwezi kuona kinachotengenezwa na CCM hasa viongozi wake wa juu.
CCM inatengeneza aina fulani hivi ya usultani ndani ya chama hicho na Kwa nchi kwa ujumla.
Sasa hivi kwa mfano mtu anaweza kudhani viongozi wa CCM hutoka kusikojulikana na kuwa viongozi wa chama hicho. Lakini ukweli wa mambo wenye chama chao ndiyo huamua nani ashike nafasi ipi ndani ya CCM.
Nimewaza kuwa kama John Nchimbi akifanikiwa kuwa Makamo wa Rais na baadae kuwa Rais wa Tanzania, nini kitazuia Ridhiwani Kikwete kuwa Waziri Mkuu wakati huo?
Mtoto wa Mwigulu Nchemba, huko mbele ya safari si ndiyo anatayarishwa kurithi ubunge wa baba yake?
Mifano ni mingi itoshe tu kusema kuwa ndani ya CCM kunatengenezwa kizazi Cha kisultani ambacho bila kuwa sehemu yake ama kukubaliwa na wao, itakuwa ni ngumu kwa mtu mwingine nje ya koo hizo teule ndani ya CCM, kuwa kiongozi.
Nawaza Kwa mfano bunge likiisha, Ridhiwani na Salma Kikwete watapeleka kwenye familia Yao kiinua mgongo cha shilingi ngapi?
Bila kusahau kuwa Salma Kikwete alipendekeza Bungeni kuwa wake wa waliokuwa viongozi wakuu nao pia wapewe kiinua mgongo. Akipewa atakuwa na ngapi?
Akirudi nyumbani anakutana na Mzee naye analipwa kila kitu sawa na 80% ya aliyeko madarakani.
Nenda Kwa kina Hussein Mwinyi, kina Amani Karume, kina Nyerere na wengineo.
Sijui kama kina Lucas Mwashambwa ChoiceVariable na kaka yao johnthebaptist watanielewa.
CCM
Kalamu Nguruvi3
Naunga mkono hoja.Acheni mawazo ya kijinga na ubaguzi.acheni wivu wa kijinga jinga hapa..Mimi ni CCM na sioni ubaya mtoto wa kiongozi kuwa kiongozi ikiwa ana sifa zote zinazohitajika katika nafasi husika . Kuwa mtoto wa kiongozi hakumzui yeye kuwa kiongozi wala kupambania nafasi fulani ya uongozi.
Ndio Maana unaona George Bush alikuwa ni Rais wa Marekani miaka michache tu baada ya baba yake naye kuwa Rais. Mtoto wa mchungaji hazuiliwi kusomea na kuwa mchungaji ikiwa ana wito huo na kaitwa na Mungu kwa kazi hiyo.
Kikubwa ni lazima ufahamu uongozi ni Karama,ni kipawa ni kibali kutoka kwa Mungu. Siyo kila mtu anaweza kuwa kiongozi au kuongoza watu. Kuongoza watu ni kazi ngumu yenye kuhitaji akili,busara,hekima ,umakini na utulivu wa kiakili. Siyo kazi ambayo kila mmoja anaweza kuifanya.
Kwanini asiwe kama ana uwezo?.Nimewaza kuwa kama Dr. Emmanuel Nchimbi akifanikiwa kuwa Makamo wa Rais na baadae kuwa Rais wa Tanzania, nini kitazuia Ridhiwani Kikwete kuwa Waziri Mkuu wakati huo?
Kuna ubaya gani?.Mtoto wa Mwigulu Nchemba, huko mbele ya safari si ndiyo anatayarishwa kurithi ubunge wa baba yake?
Sii kweli!. Posts ni nyingi sana, hata viongozi wote wakileta wake zao na watoto wao, posts, zitakuwa bado zipo!.Mifano ni mingi itoshe tu kusema kuwa ndani ya CCM kunatengenezwa kizazi Cha kisultani ambacho bila kuwa sehemu yake ama kukubaliwa na wao, itakuwa ni ngumu kwa mtu mwingine nje ya koo hizo teule ndani ya CCM, kuwa kiongozi.
Pasco ukitaka kupindisha hii hoja (twist ) unachofanya ni kutaja wingi bila kugusia hata kidogo ubora.Kwanini asiwe kama ana uwezo?.
Kuna ubaya gani?.
Sii kweli!. Posts ni nyingi sana, hata viongozi wote wakileta wake zao na watoto wao, posts, zitakuwa bado zipo!.
Hakuna ubaya wowote, as long as wana karama ya uongozi na wana uwezo.
P
Ujinga wa CCM na wananchi wa kitanganyikqNakubaliana na hii hoja kwa asilimia 100.
Tanzania tumeamua iwe nchi ya watu wachache, jambo hili sio poa.
Watu mnaojua kiingereza mnaweza kunisahihisha kama neno nililolitumia siyo sahihi. Kiranga na Nyani Ngabu msaada tutani.
Kwa mtazamo wa kijuujuu huwezi kuona kinachotengenezwa na CCM hasa viongozi wake wa juu.
CCM inatengeneza aina fulani hivi ya usultani ndani ya chama hicho na Kwa nchi kwa ujumla.
Sasa hivi kwa mfano mtu anaweza kudhani viongozi wa CCM hutoka kusikojulikana na kuwa viongozi wa chama hicho. Lakini ukweli wa mambo wenye chama chao ndiyo huamua nani ashike nafasi ipi ndani ya CCM.
Nimewaza kuwa kama John Nchimbi akifanikiwa kuwa Makamo wa Rais na baadae kuwa Rais wa Tanzania, nini kitazuia Ridhiwani Kikwete kuwa Waziri Mkuu wakati huo?
Mtoto wa Mwigulu Nchemba, huko mbele ya safari si ndiyo anatayarishwa kurithi ubunge wa baba yake?
Mifano ni mingi itoshe tu kusema kuwa ndani ya CCM kunatengenezwa kizazi Cha kisultani ambacho bila kuwa sehemu yake ama kukubaliwa na wao, itakuwa ni ngumu kwa mtu mwingine nje ya koo hizo teule ndani ya CCM, kuwa kiongozi.
Nawaza Kwa mfano bunge likiisha, Ridhiwani na Salma Kikwete watapeleka kwenye familia Yao kiinua mgongo cha shilingi ngapi?
Bila kusahau kuwa Salma Kikwete alipendekeza Bungeni kuwa wake wa waliokuwa viongozi wakuu nao pia wapewe kiinua mgongo. Akipewa atakuwa na ngapi?
Akirudi nyumbani anakutana na Mzee naye analipwa kila kitu sawa na 80% ya aliyeko madarakani.
Nenda Kwa kina Hussein Mwinyi, kina Amani Karume, kina Nyerere na wengineo.
Sijui kama kina Lucas Mwashambwa ChoiceVariable na kaka yao johnthebaptist watanielewa.
CCM
Kalamu Nguruvi3
Ndio wana sifaKwahiyo wewe unaona wote wanaopewa hizo nafasi wana sifa stahiki?
Unajua maana ya upendeleo? Hizo sifa wengi wanazo, lakini kwenye uteuzi unatumika upendeleo.Ndiyo wazungu wanaita "Nepotism "Ndio wana sifa
Nani aliyependelewa?Unajua maana ya upendeleo? Hizo sifa wengi wanazo, lakini kwenye uteuzi unatumika upendeleo.Ndiyo wazungu wanaita "Nepotism "
Kwa kutumia neno "elite clique" kwa CCM umekosea.Watu mnaojua kiingereza mnaweza kunisahihisha kama neno nililolitumia siyo sahihi. Kiranga na Nyani Ngabu msaada tutani.
Kwa mtazamo wa kijuujuu huwezi kuona kinachotengenezwa na CCM hasa viongozi wake wa juu.
CCM inatengeneza aina fulani hivi ya usultani ndani ya chama hicho na Kwa nchi kwa ujumla.
Sasa hivi kwa mfano mtu anaweza kudhani viongozi wa CCM hutoka kusikojulikana na kuwa viongozi wa chama hicho. Lakini ukweli wa mambo wenye chama chao ndiyo huamua nani ashike nafasi ipi ndani ya CCM.
Nimewaza kuwa kama John Nchimbi akifanikiwa kuwa Makamo wa Rais na baadae kuwa Rais wa Tanzania, nini kitazuia Ridhiwani Kikwete kuwa Waziri Mkuu wakati huo?
Mtoto wa Mwigulu Nchemba, huko mbele ya safari si ndiyo anatayarishwa kurithi ubunge wa baba yake?
Mifano ni mingi itoshe tu kusema kuwa ndani ya CCM kunatengenezwa kizazi Cha kisultani ambacho bila kuwa sehemu yake ama kukubaliwa na wao, itakuwa ni ngumu kwa mtu mwingine nje ya koo hizo teule ndani ya CCM, kuwa kiongozi.
Nawaza Kwa mfano bunge likiisha, Ridhiwani na Salma Kikwete watapeleka kwenye familia Yao kiinua mgongo cha shilingi ngapi?
Bila kusahau kuwa Salma Kikwete alipendekeza Bungeni kuwa wake wa waliokuwa viongozi wakuu nao pia wapewe kiinua mgongo. Akipewa atakuwa na ngapi?
Akirudi nyumbani anakutana na Mzee naye analipwa kila kitu sawa na 80% ya aliyeko madarakani.
Nenda Kwa kina Hussein Mwinyi, kina Amani Karume, kina Nyerere na wengineo.
Sijui kama kina Lucas Mwashambwa ChoiceVariable na kaka yao johnthebaptist watanielewa.
CCM
Kalamu Nguruvi3