johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ipo karibu dunia nzima! Ndiyo maana ukaitwa mfumo! Mfano mzuri kama unajua mpira nenda kajaribu upate nafasi Simba au Yanga kama utafanikiwa bila mfumo wao kukutambua!Hii ipo kwenye sekta zote za ulaji duniani!bila kuwa sehemu yake ama kukubaliwa na wao
Pia neno hilo "Elite Clique" laweza kutolewa mfano mwingine ambao huwa nautumia uitwao kama mfumo wa Kleptokrasia ambao hutengenezwa na kikundi cha wapigaji.Ipo karibu dunia nzima! Ndiyo maana ukaitwa mfumo! Mfano mzuri kama unajua mpira nenda kajaribu upate nafasi Simba au Yanga kama utafanikiwa bila mfumo wao kukutambua!Hii ipo kwenye sekta zote za ulaji duniani!
Yaani mfumo unabagua? Haipo Dunia nzima.Ipo karibu dunia nzima! Ndiyo maana ukaitwa mfumo! Mfano mzuri kama unajua mpira nenda kajaribu upate nafasi Simba au Yanga kama utafanikiwa bila mfumo wao kukutambua!Hii ipo kwenye sekta zote za ulaji duniani!
Sawasawa yaani kwa mifano ya hapo juu Nepotism huhakikisha mlolongo wa watu fulani haupungui na waendelezwa na kulindwa.Yaani mfumo unabagua? Haipo Dunia nzima.
Hapa hatuzungumzii watoto wa wakubwa kushika madaraka Bali madaraka hayo kupatikana kwa mbinu za wazazi wao kuweka Mazingira ya wao kuwa wakubwa.
Nadhani sikosei kusema umekurupuka kujibu ili uonekane ila mtoa mada ameeleweka.Kwani Familia ya Mheshimiwa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete ndio Imejaza nafasi zote za uwaziri,ukuu wa Mkoa,wilaya,ukurugenzi wa halmashauri,Ma Das,Ma Ras,wabunge zaidi ya mia 3, Madiwani ,ma DSO na wengine wengi tu. Nafasi ngapi zipo hapa Nchini? je hiyo Familia ya Kikwete Imejaza nafasi hizo zote?
Kwani Mtela Mwampamba ambaye ni DAS huko Songea ni mtoto wa Kikwete? Juliana Shonza ambaye ni mbunge naye ni mtoto wa Kikwete?
Acheni mawazo ya kijinga na ubaguzi.acheni wivu wa kijinga jinga hapa..Mimi ni CCM na sioni ubaya mtoto wa kiongozi kuwa kiongozi ikiwa ana sifa zote zinazohitajika katika nafasi husika . Kuwa mtoto wa kiongozi hakumzui yeye kuwa kiongozi wala kupambania nafasi fulani ya uongozi.
Ndio Maana unaona George Bush alikuwa ni Rais wa Marekani miaka michache tu baada ya baba yake naye kuwa Rais. Mtoto wa mchungaji hazuiliwi kusomea na kuwa mchungaji ikiwa ana wito huo na kaitwa na Mungu kwa kazi hiyo.
Kikubwa ni lazima ufahamu uongozi ni Karama,ni kipawa ni kibali kutoka kwa Mungu. Siyo kila mtu anaweza kuwa kiongozi au kuongoza watu. Kuongoza watu ni kazi ngumu yenye kuhitaji akili,busara,hekima ,umakini na utulivu wa kiakili. Siyo kazi ambayo kila mmoja anaweza kuifanya.
Kaka Pascal , text me on my whatsapp +255686525185 . I want to send your pictures , the ones i took u in Dodoma . I lost ur number big bro .Kwanini asiwe kama ana uwezo?.
Kuna ubaya gani?.
Sii kweli!. Posts ni nyingi sana, hata viongozi wote wakileta wake zao na watoto wao, posts, zitakuwa bado zipo!.
Hakuna ubaya wowote, as long as wana karama ya uongozi na wana uwezo.
P
Itaishaje Mkuu?Hiyo kitu hutoisikia tena,
Mwisho ni 2025
Huo mfumo unaondolewa wote.Itaishaje Mkuu?
Maana naona hata harakati za kupiga chenga mifumo ya kiuchaguzi ya CCM imeshika kasi. Si umesikia ya Mchengerwa?
Haipo Dunia nzima.
Huwezi kuelewa kama akili yako ni ndogoNadhani sikosei kusema umekurupuka kujibu ili uonekane ila mtoai mada ameeleweka.
Kama magufuli aliweza urais,nchi hii nani atashindwa??hata sabaya anaweezaKwani Familia ya Mheshimiwa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete ndio Imejaza nafasi zote za uwaziri,ukuu wa Mkoa,wilaya,ukurugenzi wa halmashauri,Ma Das,Ma Ras,wabunge zaidi ya mia 3, Madiwani ,ma DSO na wengine wengi tu. Nafasi ngapi zipo hapa Nchini? je hiyo Familia ya Kikwete Imejaza nafasi hizo zote?
Kwani Mtela Mwampamba ambaye ni DAS huko Songea ni mtoto wa Kikwete? Juliana Shonza ambaye ni mbunge naye ni mtoto wa Kikwete?
Acheni mawazo ya kijinga na ubaguzi.acheni wivu wa kijinga jinga hapa..Mimi ni CCM na sioni ubaya mtoto wa kiongozi kuwa kiongozi ikiwa ana sifa zote zinazohitajika katika nafasi husika . Kuwa mtoto wa kiongozi hakumzui yeye kuwa kiongozi wala kupambania nafasi fulani ya uongozi.
Ndio Maana unaona George Bush alikuwa ni Rais wa Marekani miaka michache tu baada ya baba yake naye kuwa Rais. Mtoto wa mchungaji hazuiliwi kusomea na kuwa mchungaji ikiwa ana wito huo na kaitwa na Mungu kwa kazi hiyo.
Kikubwa ni lazima ufahamu uongozi ni Karama,ni kipawa ni kibali kutoka kwa Mungu. Siyo kila mtu anaweza kuwa kiongozi au kuongoza watu. Kuongoza watu ni kazi ngumu yenye kuhitaji akili,busara,hekima ,umakini na utulivu wa kiakili. Siyo kazi ambayo kila mmoja anaweza kuifanya.
Naweza kuwa na akili ndogo,, ni sahihi lakini sio kwa kiwango cha upumbavu wa kusifu na kuabudu watu.Huwezi kuelewa kama akili yako ni ndogo
πββοΈβοΈπππππ€πππποΈπ‘οΈKwani Familia ya Mheshimiwa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete ndio Imejaza nafasi zote za uwaziri,ukuu wa Mkoa,wilaya,ukurugenzi wa halmashauri,Ma Das,Ma Ras,wabunge zaidi ya mia 3, Madiwani ,ma DSO na wengine wengi tu. Nafasi ngapi zipo hapa Nchini? je hiyo Familia ya Kikwete Imejaza nafasi hizo zote?
Kwani Mtela Mwampamba ambaye ni DAS huko Songea ni mtoto wa Kikwete? Juliana Shonza ambaye ni mbunge naye ni mtoto wa Kikwete?
Acheni mawazo ya kijinga na ubaguzi.acheni wivu wa kijinga jinga hapa..Mimi ni CCM na sioni ubaya mtoto wa kiongozi kuwa kiongozi ikiwa ana sifa zote zinazohitajika katika nafasi husika . Kuwa mtoto wa kiongozi hakumzui yeye kuwa kiongozi wala kupambania nafasi fulani ya uongozi.
Ndio Maana unaona George Bush alikuwa ni Rais wa Marekani miaka michache tu baada ya baba yake naye kuwa Rais. Mtoto wa mchungaji hazuiliwi kusomea na kuwa mchungaji ikiwa ana wito huo na kaitwa na Mungu kwa kazi hiyo.
Kikubwa ni lazima ufahamu uongozi ni Karama,ni kipawa ni kibali kutoka kwa Mungu. Siyo kila mtu anaweza kuwa kiongozi au kuongoza watu. Kuongoza watu ni kazi ngumu yenye kuhitaji akili,busara,hekima ,umakini na utulivu wa kiakili. Siyo kazi ambayo kila mmoja anaweza kuifanya.
vyama vingine wanajishughulisha zaidi kuwajengea wanachama na viongozi wao uwezo wa kua na mihemko ya kiwango cha juu sana na ujasiri wa kuporomosha dhihaka kwa wananchi na matusi tu kwa viongozi wa vyama vingine vya siasa,Watu mnaojua kiingereza mnaweza kunisahihisha kama neno nililolitumia siyo sahihi. Kiranga na Nyani Ngabu msaada tutani.
Kwa mtazamo wa kijuujuu huwezi kuona kinachotengenezwa na CCM hasa viongozi wake wa juu.
CCM inatengeneza aina fulani hivi ya usultani ndani ya chama hicho na Kwa nchi kwa ujumla.
Sasa hivi kwa mfano mtu anaweza kudhani viongozi wa CCM hutoka kusikojulikana na kuwa viongozi wa chama hicho. Lakini ukweli wa mambo wenye chama chao ndiyo huamua nani ashike nafasi ipi ndani ya CCM.
Nimewaza kuwa kama John Nchimbi akifanikiwa kuwa Makamo wa Rais na baadae kuwa Rais wa Tanzania, nini kitazuia Ridhiwani Kikwete kuwa Waziri Mkuu wakati huo?
Mtoto wa Mwigulu Nchemba, huko mbele ya safari si ndiyo anatayarishwa kurithi ubunge wa baba yake?
Mifano ni mingi itoshe tu kusema kuwa ndani ya CCM kunatengenezwa kizazi Cha kisultani ambacho bila kuwa sehemu yake ama kukubaliwa na wao, itakuwa ni ngumu kwa mtu mwingine nje ya koo hizo teule ndani ya CCM, kuwa kiongozi.
Nawaza Kwa mfano bunge likiisha, Ridhiwani na Salma Kikwete watapeleka kwenye familia Yao kiinua mgongo cha shilingi ngapi?
Bila kusahau kuwa Salma Kikwete alipendekeza Bungeni kuwa wake wa waliokuwa viongozi wakuu nao pia wapewe kiinua mgongo. Akipewa atakuwa na ngapi?
Akirudi nyumbani anakutana na Mzee naye analipwa kila kitu sawa na 80% ya aliyeko madarakani.
Nenda Kwa kina Hussein Mwinyi, kina Amani Karume, kina Nyerere na wengineo.
Sijui kama kina Lucas Mwashambwa ChoiceVariable na kaka yao johnthebaptist watanielewa.
CCM
Kalamu Nguruvi3
Kwani wanakwenda wapi?sasa unadhani watafika wapi π
Ccm ina wenyewe bhana ...Watu mnaojua kiingereza mnaweza kunisahihisha kama neno nililolitumia siyo sahihi. Kiranga na Nyani Ngabu msaada tutani.
Kwa mtazamo wa kijuujuu huwezi kuona kinachotengenezwa na CCM hasa viongozi wake wa juu.
CCM inatengeneza aina fulani hivi ya usultani ndani ya chama hicho na Kwa nchi kwa ujumla.
Sasa hivi kwa mfano mtu anaweza kudhani viongozi wa CCM hutoka kusikojulikana na kuwa viongozi wa chama hicho. Lakini ukweli wa mambo wenye chama chao ndiyo huamua nani ashike nafasi ipi ndani ya CCM.
Nimewaza kuwa kama John Nchimbi akifanikiwa kuwa Makamo wa Rais na baadae kuwa Rais wa Tanzania, nini kitazuia Ridhiwani Kikwete kuwa Waziri Mkuu wakati huo?
Mtoto wa Mwigulu Nchemba, huko mbele ya safari si ndiyo anatayarishwa kurithi ubunge wa baba yake?
Mifano ni mingi itoshe tu kusema kuwa ndani ya CCM kunatengenezwa kizazi Cha kisultani ambacho bila kuwa sehemu yake ama kukubaliwa na wao, itakuwa ni ngumu kwa mtu mwingine nje ya koo hizo teule ndani ya CCM, kuwa kiongozi.
Nawaza Kwa mfano bunge likiisha, Ridhiwani na Salma Kikwete watapeleka kwenye familia Yao kiinua mgongo cha shilingi ngapi?
Bila kusahau kuwa Salma Kikwete alipendekeza Bungeni kuwa wake wa waliokuwa viongozi wakuu nao pia wapewe kiinua mgongo. Akipewa atakuwa na ngapi?
Akirudi nyumbani anakutana na Mzee naye analipwa kila kitu sawa na 80% ya aliyeko madarakani.
Nenda Kwa kina Hussein Mwinyi, kina Amani Karume, kina Nyerere na wengineo.
Sijui kama kina Lucas Mwashambwa ChoiceVariable na kaka yao johnthebaptist watanielewa.
CCM
Kalamu Nguruvi3
kama chama makini na madhubuti cha siasa, ni lazma kuwepo na vision na succession plan ya miaka hata elfu moja ijayo ya kusonga mbele,Kwani wanakwenda wapi?
Na wenyewe ndiyo kina Nape mtoto wa Mzee Moses Nnauye au January Mtoto wa Mzee Yusuph Makamba.Ccm ina wenyewe bhana ...