Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
- Thread starter
-
- #61
Wewe ndiye uliyeuliza " Sasa unadhani watafika wapi?" ndipo Mimi nikakuuliza kwani wanakwenda wapi?sasa kama cha siasa hawajui hata wanako elekea , huo si ni sawa na uganga au ushirikina tu gentleman? 🐒
Wataalam wa kububujikwa na machozi. Kwenye orodha ya wasiojitambua aongezeke Malaria 2Sijui kama kina @Lucas Mwashambwa @ChoiceVariable na kaka yao @johnthebaptist watanielewa.
vyama vya siasa na wanachama wao wasio na maono wala kujua wanaelekea wapi,Wewe ndiye uliyeuliza " Sasa unadhani watafika wapi?" ndipo Mimi nikakuuliza kwani wanakwenda wapi?
Usiilaze akili yako kama yule Mzee aliyesinzia kwenye Kaburi la Mwalimu Nyerere.
Hii habari ya Mungu yupo ndiyo upuuzi wenywewe. Mungu ni wa wote, hata hao tunaowalalamikia.UZURI MUNGU HUWA YUPO. HUYU BABU WA MSOGA SI KITAMBO ATAREJEA KWA MUUMBA. TUONE HZ TKTK ALIZOANDAA ZITAKWENDA WP?
You are right Allen Kilewella.Watu mnaojua kiingereza mnaweza kunisahihisha kama neno nililolitumia siyo sahihi. Kiranga na Nyani Ngabu msaada tutani.
Kwa mtazamo wa kijuujuu huwezi kuona kinachotengenezwa na CCM hasa viongozi wake wa juu.
CCM inatengeneza aina fulani hivi ya usultani ndani ya chama hicho na Kwa nchi kwa ujumla.
Sasa hivi kwa mfano mtu anaweza kudhani viongozi wa CCM hutoka kusikojulikana na kuwa viongozi wa chama hicho. Lakini ukweli wa mambo wenye chama chao ndiyo huamua nani ashike nafasi ipi ndani ya CCM.
Nimewaza kuwa kama John Nchimbi akifanikiwa kuwa Makamo wa Rais na baadae kuwa Rais wa Tanzania, nini kitazuia Ridhiwani Kikwete kuwa Waziri Mkuu wakati huo?
Mtoto wa Mwigulu Nchemba, huko mbele ya safari si ndiyo anatayarishwa kurithi ubunge wa baba yake?
Mifano ni mingi itoshe tu kusema kuwa ndani ya CCM kunatengenezwa kizazi Cha kisultani ambacho bila kuwa sehemu yake ama kukubaliwa na wao, itakuwa ni ngumu kwa mtu mwingine nje ya koo hizo teule ndani ya CCM, kuwa kiongozi.
Nawaza Kwa mfano bunge likiisha, Ridhiwani na Salma Kikwete watapeleka kwenye familia Yao kiinua mgongo cha shilingi ngapi?
Bila kusahau kuwa Salma Kikwete alipendekeza Bungeni kuwa wake wa waliokuwa viongozi wakuu nao pia wapewe kiinua mgongo. Akipewa atakuwa na ngapi?
Akirudi nyumbani anakutana na Mzee naye analipwa kila kitu sawa na 80% ya aliyeko madarakani.
Nenda Kwa kina Hussein Mwinyi, kina Amani Karume, kina Nyerere na wengineo.
Sijui kama kina Lucas Mwashambwa ChoiceVariable na kaka yao johnthebaptist watanielewa.
CCM
Kalamu Nguruvi3
Chalamila nae yumo???Watu mnaojua kiingereza mnaweza kunisahihisha kama neno nililolitumia siyo sahihi. Kiranga na Nyani Ngabu msaada tutani.
Kwa mtazamo wa kijuujuu huwezi kuona kinachotengenezwa na CCM hasa viongozi wake wa juu.
CCM inatengeneza aina fulani hivi ya usultani ndani ya chama hicho na Kwa nchi kwa ujumla.
Sasa hivi kwa mfano mtu anaweza kudhani viongozi wa CCM hutoka kusikojulikana na kuwa viongozi wa chama hicho. Lakini ukweli wa mambo wenye chama chao ndiyo huamua nani ashike nafasi ipi ndani ya CCM.
Nimewaza kuwa kama John Nchimbi akifanikiwa kuwa Makamo wa Rais na baadae kuwa Rais wa Tanzania, nini kitazuia Ridhiwani Kikwete kuwa Waziri Mkuu wakati huo?
Mtoto wa Mwigulu Nchemba, huko mbele ya safari si ndiyo anatayarishwa kurithi ubunge wa baba yake?
Mifano ni mingi itoshe tu kusema kuwa ndani ya CCM kunatengenezwa kizazi Cha kisultani ambacho bila kuwa sehemu yake ama kukubaliwa na wao, itakuwa ni ngumu kwa mtu mwingine nje ya koo hizo teule ndani ya CCM, kuwa kiongozi.
Nawaza Kwa mfano bunge likiisha, Ridhiwani na Salma Kikwete watapeleka kwenye familia Yao kiinua mgongo cha shilingi ngapi?
Bila kusahau kuwa Salma Kikwete alipendekeza Bungeni kuwa wake wa waliokuwa viongozi wakuu nao pia wapewe kiinua mgongo. Akipewa atakuwa na ngapi?
Akirudi nyumbani anakutana na Mzee naye analipwa kila kitu sawa na 80% ya aliyeko madarakani.
Nenda Kwa kina Hussein Mwinyi, kina Amani Karume, kina Nyerere na wengineo.
Sijui kama kina Lucas Mwashambwa ChoiceVariable na kaka yao johnthebaptist watanielewa.
CCM
Kalamu Nguruvi3
Utakufa haraka wewe na stress zako, jamaa Wala hahusiki sema haters wake mmekuwa kama matahira kwa kuhusisha Kila failure yenu na yeye.UZURI MUNGU HUWA YUPO. HUYU BABU WA MSOGA SI KITAMBO ATAREJEA KWA MUUMBA. TUONE HZ TKTK ALIZOANDAA ZITAKWENDA WP?
Kwa nini umechelewa kuwaza na kuligundua jambo lililo wazi kitambo sana hili?Watu mnaojua kiingereza mnaweza kunisahihisha kama neno nililolitumia siyo sahihi. Kiranga na Nyani Ngabu msaada tutani.
Kwa mtazamo wa kijuujuu huwezi kuona kinachotengenezwa na CCM hasa viongozi wake wa juu.
CCM inatengeneza aina fulani hivi ya usultani ndani ya chama hicho na Kwa nchi kwa ujumla.
Sasa hivi kwa mfano mtu anaweza kudhani viongozi wa CCM hutoka kusikojulikana na kuwa viongozi wa chama hicho. Lakini ukweli wa mambo wenye chama chao ndiyo huamua nani ashike nafasi ipi ndani ya CCM.
Nimewaza kuwa kama John Nchimbi akifanikiwa kuwa Makamo wa Rais na baadae kuwa Rais wa Tanzania, nini kitazuia Ridhiwani Kikwete kuwa Waziri Mkuu wakati huo?
Mtoto wa Mwigulu Nchemba, huko mbele ya safari si ndiyo anatayarishwa kurithi ubunge wa baba yake?
Mifano ni mingi itoshe tu kusema kuwa ndani ya CCM kunatengenezwa kizazi Cha kisultani ambacho bila kuwa sehemu yake ama kukubaliwa na wao, itakuwa ni ngumu kwa mtu mwingine nje ya koo hizo teule ndani ya CCM, kuwa kiongozi.
Nawaza Kwa mfano bunge likiisha, Ridhiwani na Salma Kikwete watapeleka kwenye familia Yao kiinua mgongo cha shilingi ngapi?
Bila kusahau kuwa Salma Kikwete alipendekeza Bungeni kuwa wake wa waliokuwa viongozi wakuu nao pia wapewe kiinua mgongo. Akipewa atakuwa na ngapi?
Akirudi nyumbani anakutana na Mzee naye analipwa kila kitu sawa na 80% ya aliyeko madarakani.
Nenda Kwa kina Hussein Mwinyi, kina Amani Karume, kina Nyerere na wengineo.
Sijui kama kina Lucas Mwashambwa ChoiceVariable na kaka yao johnthebaptist watanielewa.
CCM
Kalamu Nguruvi3
Shamba gani lisilo na season, uongo mtupu.Hapo nimeandika kwa ufupi sana huku nikiwa shambani
Watoto Wetu watapita nao kama mweweChama kile kina mizizi iliojichimbia chini sana🤣,,, hao watoto ndio at some point watatumia ile kauli ya "Babaangu alikipigania chama sana, hivyo naomba mwanangu nae apewe shea kwenye keki ya taifa."
Hujamuelewa mleta uzi. Amexungumzia nafasi za juu ambazo ndio zenye maamuzi makuu. Unatoa mfano wa George Bush family Marekani, ndio sultan kama huo mtoa mmada anauzungumzia! Mnafikiri kule wamarMarekani wanabadilishana? Eti mtu wa kawaida tu anaweza kuwa Rais, ni vikundi vya watu, familia na matajiri wachache tu wanaotawala. Huku kwetu pia tunaelekea huko labda atokee kiongozi ndani ya ccm akemee baadhi ya mambo, simuoni kwa sasa, amebaki JMK tu ambae tumeona anashinikiza katiba ivunjwe then tufanye mabadiliko baadae!!Kwani Familia ya Mheshimiwa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete ndio Imejaza nafasi zote za uwaziri,ukuu wa Mkoa,wilaya,ukurugenzi wa halmashauri,Ma Das,Ma Ras,wabunge zaidi ya mia 3, Madiwani ,ma DSO na wengine wengi tu. Nafasi ngapi zipo hapa Nchini? je hiyo Familia ya Kikwete Imejaza nafasi hizo zote?
Kwani Mtela Mwampamba ambaye ni DAS huko Songea ni mtoto wa Kikwete? Juliana Shonza ambaye ni mbunge naye ni mtoto wa Kikwete?
Acheni mawazo ya kijinga na ubaguzi.acheni wivu wa kijinga jinga hapa..Mimi ni CCM na sioni ubaya mtoto wa kiongozi kuwa kiongozi ikiwa ana sifa zote zinazohitajika katika nafasi husika . Kuwa mtoto wa kiongozi hakumzui yeye kuwa kiongozi wala kupambania nafasi fulani ya uongozi.
Ndio Maana unaona George Bush alikuwa ni Rais wa Marekani miaka michache tu baada ya baba yake naye kuwa Rais. Mtoto wa mchungaji hazuiliwi kusomea na kuwa mchungaji ikiwa ana wito huo na kaitwa na Mungu kwa kazi hiyo.
Kikubwa ni lazima ufahamu uongozi ni Karama,ni kipawa ni kibali kutoka kwa Mungu. Siyo kila mtu anaweza kuwa kiongozi au kuongoza watu. Kuongoza watu ni kazi ngumu yenye kuhitaji akili,busara,hekima ,umakini na utulivu wa kiakili. Siyo kazi ambayo kila mmoja anaweza kuifanya.
Wewe hutakaa uwe na akili mileleKwani Familia ya Mheshimiwa Daktari Jakaya Mrisho Kikwete ndio Imejaza nafasi zote za uwaziri,ukuu wa Mkoa,wilaya,ukurugenzi wa halmashauri,Ma Das,Ma Ras,wabunge zaidi ya mia 3, Madiwani ,ma DSO na wengine wengi tu. Nafasi ngapi zipo hapa Nchini? je hiyo Familia ya Kikwete Imejaza nafasi hizo zote?
Kwani Mtela Mwampamba ambaye ni DAS huko Songea ni mtoto wa Kikwete? Juliana Shonza ambaye ni mbunge naye ni mtoto wa Kikwete?
Acheni mawazo ya kijinga na ubaguzi.acheni wivu wa kijinga jinga hapa..Mimi ni CCM na sioni ubaya mtoto wa kiongozi kuwa kiongozi ikiwa ana sifa zote zinazohitajika katika nafasi husika . Kuwa mtoto wa kiongozi hakumzui yeye kuwa kiongozi wala kupambania nafasi fulani ya uongozi.
Ndio Maana unaona George Bush alikuwa ni Rais wa Marekani miaka michache tu baada ya baba yake naye kuwa Rais. Mtoto wa mchungaji hazuiliwi kusomea na kuwa mchungaji ikiwa ana wito huo na kaitwa na Mungu kwa kazi hiyo.
Kikubwa ni lazima ufahamu uongozi ni Karama,ni kipawa ni kibali kutoka kwa Mungu. Siyo kila mtu anaweza kuwa kiongozi au kuongoza watu. Kuongoza watu ni kazi ngumu yenye kuhitaji akili,busara,hekima ,umakini na utulivu wa kiakili. Siyo kazi ambayo kila mmoja anaweza kuifanya.
itoshe tu kusema kuwa ndani ya CCM kunatengenezwa kizazi Cha kisultani ambacho bila kuwa sehemu yake ama kukubaliwa na wao, itakuwa ni ngumu kwa mtu mwingine nje ya koo hizo teule ndani ya CCM, kuwa kiongozi.
Ulaya kulikuwa na malkia mmoja alikuwa mjinga hivi. Aliulza ni kwa nini watu wa nchi yake wanaandamana, wasaidizi wake wakamwambia ni kwa kuwa hawana mikate. Yule malkia mjinga akajibu kirahisi tu, "si wale keki?"Hivi chadema hoja zenu ni zipo haswa?!!!!!! Mbona kelele Sasa?
https://www.facebook.com/Sasa hivi kwa mfano mtu anaweza kudhani viongozi wa CCM hutoka kusikojulikana na kuwa viongozi wa chama hicho. Lakini ukweli wa mambo wenye chama chao ndiyo huamua nani ashike nafasi ipi ndani ya CCM.
Hiki ulichoandika kilikuwepo Bangladesh hadi Waziri wake Mkuu Sheikha Hasina alipofurushwa mwaka jana kwa sababu hiyo hiyo.Chama kile kina mizizi iliojichimbia chini sana🤣,,, hao watoto ndio at some point watatumia ile kauli ya "Babaangu alikipigania chama sana, hivyo naomba mwanangu nae apewe shea kwenye keki ya taifa."