Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Eti wandugu, chama cha mapinduzi wana uhalali wa kumiliki viwanja vya sabasaba?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao ni majambazi tu wasio na chembe ya aibu. Huoni hata viwanja vya mpira wa miguu wamejimilikisha kinyemela! Ndiyo maana kinaitwa ccm! Yaani chama cha majambazi.
Hao ni majambazi tu wasio na chembe ya aibu. Huoni hata viwanja vya mpira wa miguu wamejimilikisha kinyemela! Ndiyo maana kinaitwa ccm! Yaani chama cha majambazi.
Hao ni majambazi tu wasio na chembe ya aibu. Huoni hata viwanja vya mpira wa miguu wamejimilikisha kinyemela! Ndiyo maana kinaitwa ccm! Yaani chama cha majambazi.
Yaani nakumbuka wananchi wote kwa njia moja ama nyingine walichangia ujenzi wa viwanja,through hata ongezeko la kiasi fulani ktk bei za vitu vyote muhimu utakavyonunua dukani km.sabuni, sukari,unga, mchele, mafuta etc... ili viwanja vijengwe..ilikuwa shida aiseee enzi zile.... afadhali baada ya kuingia mfumo wa vyama vingi, viwanja vingerudi serikalini manake wananchi wote tulichangia nasio wa CCM pekee...... na kila chama kianze kivyake kupata na kujenga mali zake .....kwa kweli haikuwa fair kwa wale watu wengine wasio na vyama au wa vyama vya upinzani ........ na bahati mbaya imebidi wa vyama vya upinzani wakubali yaishe ....... poleni sana.Hao ni majambazi tu wasio na chembe ya aibu. Huoni hata viwanja vya mpira wa miguu wamejimilikisha kinyemela! Ndiyo maana kinaitwa ccm! Yaani chama cha majambazi.
Vilijengwa na Wananchi kwa kuchangishwa mazao Mifugo na Pesa Vilipaswa kuwa Mali ya SERIKALI na SIO CHAMA ni WIZIKwani vilijengwa na Chadema?
Kila kitu kitarejeshwa mikononi mwa wananchiEti wandugu, chama cha mapinduzi wana uhalali wa kumiliki viwanja vya sabasaba?
CCM ndio Wananchi!Kila kitu kitarejeshwa mikononi mwa wananchi
Serikali ni ya CCMVilijengwa na Wananchi kwa kuchangishwa mazao Mifugo na Pesa Vilipaswa kuwa Mali ya SERIKALI na SIO CHAMA ni WIZI
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Sisi tusio wana CCM siyo wananchi?Unaposhangilia upuuzi wa CCM uwe na subira,maana hivyo viwanja,majengo na ofisi ilizonazo CCM vilijengwa na watanzania wote.Ilikuwaje vikawa vya chama cha siasa?Kwangu mimi huu ulikuwa uhujumu uchumi na uporaji wa mali za umma kwa maslahi ya waroho wachache.CCM ndio Wananchi!
Kwa hiyo ukihama ufipa utaenda pale kudai michango yako? CCM ni taasisi, na kama ulichangia, basi ulichangia taasisi. Taasisi ndiyo yenye Mali chini ya bodi ya wadhamini. Mali ziko kwa jina la bodi ya wadhaminiYaani nakumbuka wananchi wote kwa njia moja ama nyingine walichangia ujenzi wa viwanja,through hata ongezeko la kiasi fulani ktk bei za vitu vyote muhimu utakavyonunua dukani km.sabuni, sukari,unga, mchele, mafuta etc... ili viwanja vijengwe..ilikuwa shida aiseee enzi zile.... afadhali baada ya kuingia mfumo wa vyama vingi, viwanja vingerudi serikalini manake wananchi wote tulichangia nasio wa CCM pekee...... na kila chama kianze kivyake kupata na kujenga mali zake .....kwa kweli haikuwa fair kwa wale watu wengine wasio na vyama au wa vyama vya upinzani ........ na bahati mbaya imebidi wa vyama vya upinzani wakubali yaishe ....... poleni sana.
So what?Serikali ni ya CCM
WAKATI VINA JENGWA SI WATANZANIA WOTE WALIKUWA WAFUASI WA ccm AU MUMESAHAU CHAMA KUSHIKA HATAMU , WNZI ZA CHAMA KIMOJA?Sisi tusio wana CCM siyo wananchi?Unaposhangilia upuuzi wa CCM uwe na subira,maana hivyo viwanja,majengo na ofisi ilizonazo CCM vilijengwa na watanzania wote.Ilikuwaje vikawa vya chama cha siasa?Kwangu mimi huu ulikuwa uhujumu uchumi na uporaji wa mali za umma kwa maslahi ya waroho wachache.