Elections 2010 CCM wapata wabunge 10 kabla ya uchaguzi mkuu

Elections 2010 CCM wapata wabunge 10 kabla ya uchaguzi mkuu

MAMA POROJO

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
4,974
Reaction score
785
Leo katika kipindi cha Jahazi cha redio clouds mtangazaji Kibonde amesema CCM imepata wabunge 10 waliopopita bila kupingwa katika majimbo 10 nchini. leo ndio siku ya kwanza ya kampeni je wapinzani watafika salama. Hii ni ishara kwamba CCM bado ina nguvu kwani sio jambo la kawaida kwa vyama vya siasa 18 nchini kushindwa kutoa upinzani wa kweli. Mwalimu Nyerere alishasema hakuna haja ya kukimbilia Ikulu kabla ya kuimarisha chama ngazi ya chini. Chadema kinaonekana kupyaya kwa kuwa ndicho kinaonekana kuwa na nafuu lakini kimefungwa 10 kwa 0 siku ya kwanza ya kampeni. Hii ni ishara ya ushindi wa kishindo kwa CCM ifikapo 2010.
 
Leo katika kipindi cha Jahazi cha redio clouds mtangazaji Kibonde amesema CCM imepata wabunge 10 waliopopita bila kupingwa katika majimbo 10 nchini. leo ndio siku ya kwanza ya kampeni je wapinzani watafika salama. Hii ni ishara kwamba CCM bado ina nguvu kwani sio jambo la kawaida kwa vyama vya siasa 18 nchini kushindwa kutoa upinzani wa kweli. Mwalimu Nyerere alishasema hakuna haja ya kukimbilia Ikulu kabla ya kuimarisha chama ngazi ya chini. Chadema kinaonekana kupyaya kwa kuwa ndicho kinaonekana kuwa na nafuu lakini kimefungwa 10 kwa 0 siku ya kwanza ya kampeni. Hii ni ishara ya ushindi wa kishindo kwa CCM ifikapo 2010.
Duh! kama haya kweli basi hii inaweza kuwa gharama kubwa kwa upinzani.... Na hakika, Upinzani bado hawajajiandaa vya kutosha!
 
Pipijojo,
Umeshawahi kuangalia mbio za marathon? Kuna jamaa wanachapuka wanaongoza katika duru za mwanzo lakini mbio zinapokaribia kumalizika
wale magwiji wa mbio hizo ndipo wanajitokeza na kuchukua nafasi tatu za juu.
 
Pipijojo,
Umeshawahi kuangalia mbio za marathon? Kuna jamaa wanachapuka wanaongoza katika duru za mwanzo lakini mbio zinapokaribia kumalizika
wale magwiji wa mbio hizo ndipo wanajitokeza na kuchukua nafasi tatu za juu.

kiukweli ni marathon ya aina yake,kwani chadema watapewa kombe la makelele na fitina ushindi kwa c.c.m tena wakishindo!
 
naona watu bado hawajachoka na umaskini wa tanzania..............sijui wanzania walikulaga nnn??????? kuta mtu anatoa maoni utafikiri kapewa ganzi kabla ya operation na kunza kuongea maneno yasiyo endena na wakati huo.........mjue kuwa kila kitu huwa kinahitaji challenge ili madiliko yatokee..poleni sana watz
 
Leo katika kipindi cha Jahazi cha redio clouds mtangazaji Kibonde amesema CCM imepata wabunge 10 waliopopita bila kupingwa katika majimbo 10 nchini. leo ndio siku ya kwanza ya kampeni je wapinzani watafika salama. Hii ni ishara kwamba CCM bado ina nguvu kwani sio jambo la kawaida kwa vyama vya siasa 18 nchini kushindwa kutoa upinzani wa kweli. Mwalimu Nyerere alishasema hakuna haja ya kukimbilia Ikulu kabla ya kuimarisha chama ngazi ya chini. Chadema kinaonekana kupyaya kwa kuwa ndicho kinaonekana kuwa na nafuu lakini kimefungwa 10 kwa 0 siku ya kwanza ya kampeni. Hii ni ishara ya ushindi wa kishindo kwa CCM ifikapo 2010.
Mwaka huu wabunge 10 wa CCM wamepita bila kupingwa linganisha na mwaka 2005 zaidi ya wabunge 60 wa CCM walipita bila kupingwa.
 
Pipijojo,
Umeshawahi kuangalia mbio za marathon? Kuna jamaa wanachapuka wanaongoza katika duru za mwanzo lakini mbio zinapokaribia kumalizika
wale magwiji wa mbio hizo ndipo wanajitokeza na kuchukua nafasi tatu za juu.


watu kwa mahope, teh teh teh

CHADEMA wakifikisha wabunge 10 wakuchaguliwa, watakua wamefanya shuguri pevu.
 
Kuna mabadiliko makubwa yamefanywa na vyama vya upinzani mwaka huu kuliko mwaka 2005, tatizo ni kwa wajinga wachache wasioona ukanadamizaji wa CCM kwa demokrasia, Sijui watz wateseke kiasi gani ndipo washtuke. CCM wamefanya vyakutosha kutufanya kuwa maskini kama nchi lakini wapi kuna wajinga wengi wasioona hayo ya CCM, zaidi ya kusifia upuuzi wa CCM.

Ebu jihurumieni wenyewe
 
Pipijojo,
Umeshawahi kuangalia mbio za marathon? Kuna jamaa wanachapuka wanaongoza katika duru za mwanzo lakini mbio zinapokaribia kumalizika
wale magwiji wa mbio hizo ndipo wanajitokeza na kuchukua nafasi tatu za juu.

Stop having false hopes! CCM will continue to have a super majority in parliament...that's the bitter truth...
 
Hey, whose side are u on?
For a man who never gave Obama a chance, he's sure quick to open his can of jam before he realizes he has no bread ! Who'd envy such a person ? LOL
 
Kuna baadhi ya maeneo watu bado wamelala usingizi mikoa hiyo sijui haina wasomi au haina watu wa kugombea anyway inawezekana wagombea wamenunuliwa na ccm
 
It doesn't matter whose side I'm on. I'm just being realistic here....[/QUOTE

NN yaani ukiwa mkweli hapa jamvini watu hawapendi wanapenda sana kuintateini sides whoch is very st-p-d. Hakuna haja ya kutukuza sides katika mapambano dhidi ya umaskini....lakini wapi watu wanataka kila mara watu waagyu kivyama.....sipendi hili na kamwe sitalifanya haijalishi chama changu watamipenda ama watanichukia...mimi najua neno moja ...nawapenda watanzania wenzangu..siamini katika vyama kuwa vitaleta ukombozi ( TUMEAMBIWA NA MNYAMAHODZO WATU WANAUZA NAFASI ZA UBUNGE KWA ANACHOKIITA HELA CHAFU) ...naamini katika watu wenye nia na mapenzi mema ya nchi hii ndio watakaoleta ukombozi watu wanaofesi reality kama wewe NN....sioni tabu kuisifu ccm ikifanya jambo jema .....na wala sioni tabu kuikosoa ikiharibu...sioni taabu kuisifiu chadema ikifanya vema..sion tabu kuikosoa

tatizo hapa jamvini kusaidi..tena kusaidi kivyama vyama....watu wana loose objectivity kwa sababu ya vyama vyao NI USHABIKI MAANDAZIII TU.... NARUDIA UKOMBOZI NI KWA WOTE WENYE NIA NJEMA NA TANZANIA SI KUNDI FULANI HIVI...NO HIYO THEORY IMEFELI TUMESHAIONA
mix with yours
 
For a man who never gave Obama a chance, he's sure quick to open his can of jam before he realizes he has no bread ! Who'd envy such a person ? LOL

Deep down I knew O'Bummer would win coz '08 was the Democrats' year and people were tired as hell with the GOP.

Deep down, you, Jasusi, and others know that CCM will win in a landslide and will maintain their super majority in parliament. Unabisha?
 
NN yaani ukiwa mkweli hapa jamvini watu hawapendi wanapenda sana kuintateini sides whoch is very st-p-d.

Kwanza asante kwa hiyo sifa halafu huo ukweli ni upi ? Kuintateini sides ? Isn't that what you are doing here ?

Hakuna haja ya kutukuza sides katika mapambano dhidi ya umaskini....

Mapambano, for its name, must have sides - ama unapenda umasikini au unauchukia, which is which ?
lakini wapi watu wanataka kila mara watu waagyu kivyama.....
Usipoagyu kivyama, utaagyu kivipi. Nilifikiri kwenye uchaguzi ni vyama vinashindana !

sipendi hili na kamwe sitalifanya haijalishi chama changu watamipenda ama watanichukia...mimi najua neno moja ...nawapenda watanzania wenzangu..
Hey, what are you doing here ? Kwanza chama chako kikuchukie ? na nani kasema kuna mtu anawachukia watanzania.

siamini katika vyama kuwa vitaleta ukombozi...naamini katika watu wenye nia na mapenzi mema ya nchi hii ndio watakaoleta ukombozi watu wanaofesi reality kama wewe NN....
Hao watu tutawapataje kama si kutokana na vyama. Huyo NN anaefesi reality ataleta ukombozi wapi na lini

sioni tabu kuisifu ccm ikifanya jambo jema .....na wala sioni tabu kuikosoa ikiharibu...
CCM imekaa madarakani miaka karibu hamsini - ama unaisifu ama unaikosoa kwa iliyofanya, sasa taabu liko wapi?

sioni taabu kuisifiu chadema ikifanya vema..sion tabu kuikosoa
mix with yours
Chadema haijawahi kukaa madarakani hata siku moja - utaisifu ama kuikosoa kwa lipi ? Kukuomba uipe nafasi ya kufanya ama unakosoa ilani yake na kwa lipi, hebu tuambie ?

Kwapani naona ni wewe unayeshindwa kufesi reality, pole sana.
 
:confused2::confused2:ccm end itsi pipo iz dhe neshono dizasta, wi hevu tu ovakamu iti endi themu
 
Back
Top Bottom