Elections 2010 CCM wapata wabunge 10 kabla ya uchaguzi mkuu

Elections 2010 CCM wapata wabunge 10 kabla ya uchaguzi mkuu

Duh! kama haya kweli basi hii inaweza kuwa gharama kubwa kwa upinzani.... Na hakika, Upinzani bado hawajajiandaa vya kutosha!

Hata kama angekuwa mmoja aliyepita bila kupingwa, hakuna namna ya kuifanya CCM itoke madarakani siku za karibuni. NImesema mara kadhaa na nitasema tena na tena. Haya makelele na Ubishi humu JF nadhani ni kuweweseka tu kwa watu.
 
Hata kama angekuwa mmoja aliyepita bila kupingwa, hakuna namna ya kuifanya CCM itoke madarakani siku za karibuni. NImesema mara kadhaa na nitasema tena na tena. Haya makelele na Ubishi humu JF nadhani ni kuweweseka tu kwa watu.



Mambo mazuri hayataki haraka. Kuukata mbuyu kwahitaji moyo lakini inawezekana
 
Hata CCM wangeanza kwa kupata majimbo 100 bado Rais wakati huu atakuwa Slaa tu. Kama Watanzania hawataibiwa kura zao, lazima wengi wao watamchagua Dr Slaa badala ya Kikwete.

Watanzania wana uhakika wa kuendelea na hali hii mbaya waliyonayo kama hawatafanya mabadiliko makubwa ya utawala. Si wajinga. Watafanya hayo mabadiliko.

Wakati kampeni zitakapopanda moto na makundi makubwa yakajitokeza kumsikia Slaa akizungumzia UFISADI, CCM watahaha na kutaka kufanya fujo zao za kawaida. Watazuia viwanja wakidai ni vyao. Hapo huenda kukawa na vurugu za kweli, kwani wakati huu nadhani hata Polisi wa CCM hawataweza kuthubutu kupiga risasi kwenye umati mkubwa. Mauaji ya Pemba yalitosha.

Ukiritimba wa madaraka wa CCM utakwisha wakati huu. Ni vema wakaacha kuwe na amani badala ya kuondoka kwa vurugu.
 
Hata CCM wangeanza kwa kupata majimbo 100 bado Rais wakati huu atakuwa Slaa tu. Kama Watanzania hawataibiwa kura zao, lazima wengi wao watamchagua Dr Slaa badala ya Kikwete.

Watanzania wana uhakika wa kuendelea na hali hii mbaya waliyonayo kama hawatafanya mabadiliko makubwa ya utawala. Si wajinga. Watafanya hayo mabadiliko.

Wakati kampeni zitakapopanda moto na makundi makubwa yakajitokeza kumsikia Slaa akizungumzia UFISADI, CCM watahaha na kutaka kufanya fujo zao za kawaida. Watazuia viwanja wakidai ni vyao. Hapo huenda kukawa na vurugu za kweli, kwani wakati huu nadhani hata Polisi wa CCM hawataweza kuthubutu kupiga risasi kwenye umati mkubwa. Mauaji ya Pemba yalitosha.

Ukiritimba wa madaraka wa CCM utakwisha wakati huu. Ni vema wakaacha kuwe na amani badala ya kuondoka kwa vurugu.

Duh! wewe kweli una imani....
 
Duh! wewe kweli una imani....
Mku hatuwezi kukosa imani pamoja na kwamba lengo la kumsimamisha Dr.Slaa kwa mtazamo wangu ni kuwawezesha Wabunge kushinda au kuchuana na CCM ili kutimiza ile ahadi ya kwanza ya kupata wabunge wengi. Wabunge pasipo kumsimamisha mtu wa uhakika ktk kiti kikubwa ingekuwa vichekesho vikubwa.

katika hili, binafsi naamini Chadema wamefanya makosa kuachia hayo majimbo 10 kwa sababu hawakuzingatia Watu na Mzingira yetu tokea chini. Kwa Manzania usipomsimamisha Mwakilishi wao wanaamini umewatupa wanaamini hakuna maendeleo pasipo mbunge, hivyo ktk majimbo hayo 10 kuna uwezekano mkubwa JK akapita kwa asilimia kubwa.

Ni kazi ndogo sana kuwashawishi wananchi ukawajaza ujinga na wakaamini, na hakika nalidhani Chadema wamejijenga toka grassroots baada ya kuamua Dr. Slaa ndiye atakaye chukua dhamana ya kushika bendera ya Taifa. Ni jana tu nilipohoji kama Chadema wamesimamisha wabunge kila jimbo, leo napata majibu tofauti..

Kwa hiyo, tunayaona makosa na tutayazungumzia pamoja na kwamba hatujui Chadema katayarisha vitu gani dhidi ya mwanzo huu. Muhimu kama alivyosema Mwalimu na ile ilani ya chama ambayo itawasisitiza wananchi kuchukua hatua ya kuamua hatma ya maisha yao wenyewe aidha kuendelea na mfumo wa Ufisadi unao wadidimiza au kuchukua njia mpya..Na hakika anachotakiwa Dr. Slaa ni kuwafuata hao hao wafuasi wa CCM na kuwatia machungu ya viongozi wao wenyewe.

Mkuu katika kchumba cha kupigia kura, hakuna kiongozi wa CCM.. kila Mtanzania atakuwa na uhuru wa kuchagua pasipo kuangaliwa na mtu yeyote. Hivyo mwanaCCM anaweza kumchagua Dr. Slaa kwa sababu hana imani na utawala uliopo na sii kwamba amekichoka chama chake. Na amini maneno yangu hata mimi kama ningekuwa mwanaCCM ningepiga kura against kutokana na kutokuwa na imani na Uongozi ambao umepoteza dira ya chama.
 
naona watu bado hawajachoka na umaskini wa tanzania..............sijui wanzania walikulaga nnn??????? kuta mtu anatoa maoni utafikiri kapewa ganzi kabla ya operation na kunza kuongea maneno yasiyo endena na wakati huo.........mjue kuwa kila kitu huwa kinahitaji challenge ili madiliko yatokee..poleni sana watz

Kwanza wewe sio mkenya?Kama sio mtz basi tuachie nchi yetu kama ilivyo!
 
Deep down I knew O'Bummer would win coz '08 was the Demcocrats year and people were tired as hell with the GOP.

Deep down, you, Jasusi, and others know that CCM will win in a landslide and will maintain their super majority in parliament. Unabisha?

Deep down, I know for sure that CCM will have super majority, deep down I know that CCM will use electoral fraud to maintain super majority, deep down I know that there will be no free and fair election in October, deep down you NN and others know that under free and fair election CCM will lose. Deep down I know that there will be riot on this election because CCM is not willing to give up the super majority via ballot boxes due to their belief that Tanzania is theirs inherited from freedom fighters, and none can have it without fighting.
 
I wish ningekuwa na Imani ya kama Mkandara japo katika mambo mengine yasiyohusiana na siasa!

Maybe it comes with age lkn kwa hapa nilipo naona vitu kwa uhalisia wake ulioko.

Na uhalisia unaniambia kuwa ccm itashinda viti vingi sana bungeni kulinganisha na upinzani.
 
I wish ningekuwa na Imani ya kama Mkandara japo katika mambo mengine yasiyohusiana na siasa!

Maybe it comes with age lkn kwa hapa nilipo naona vitu kwa uhalisia wake ulioko.

Na uhalisia unaniambia kuwa ccm itashinda viti vingi sana bungeni kulinganisha na upinzani.

Mabadiliko yanawezekana. Hata Kenya walidhani lazima KANU ishinde. Zambia wakadhani ni lazima UNIP. Haikuwa hivyo. What is so different about us? Miaka 50 baada ya UHURU wananchi, karibu wote, bado hawana maji safi, hawana umeme na watoto wao hawana waalimu au vitabu, kisha wasitake mabadiliko? I refuse to believe you.
 
Moshi

Matatizo yako mengi hata zaidi ya hayo uliyoyataja

Lakini hii hali ya kuwa majimbo kumi ccm inapita bila kupingwa na majimbo mengi yenye wagombea dhaifu wa upinzani ndio inayonipa kusema hivyo.
 
Mabadiliko yanawezekana. Hata Kenya walidhani lazima KANU ishinde. Zambia wakadhani ni lazima UNIP. Haikuwa hivyo. What is so different about us? Miaka 50 baada ya UHURU wananchi, karibu wote, bado hawana maji safi, hawana umeme na watoto wao hawana waalimu au vitabu, kisha wasitake mabadiliko? I refuse to believe you.

Mkuu wananchi wa kawaida pale Mazense, Ilala, au Buguruni hayo unayoongelea wewe hayawakoseshi usingizi. Mgombea akiwalisha pilau, au kuwapa kanga, t-shirt au kimshiko imetoka, hilo la vitabu sijui waalimu sio issue kwao na utashangaa hawa ndio wanawapa CCM ushindi wa kishindo.
 
Deep down I knew O'Bummer would win coz '08 was the Demcocrats year and people were tired as hell with the GOP.

Deep down, you, Jasusi, and others know that CCM will win in a landslide and will maintain their super majority in parliament. Unabisha?
Correction,
Deep down Jasusi, is hoping, CCM will lose because another 5 years of CCM and the buffoon is just too much for poor Tanzania. Hivi hujasikia bei ya sukari imepanda kutoka sh 600/- wakati Mkwere anaingia mamlakani hadi 1800/- Is that what we want for our Tz? Hell no, I hope.
 
Hivi kwa nini tupoteze MUDA kumdiscuss Kibonde kama ilivyo kwa Malaria SUGU. Kuna mtu anafikiri kuwa Kibonde na njaa yake kama alivyo Makamba, Tambwe Hiza etc wataweza hata siku moja kushabikia pasiponamianya ya kujaza matumbo yao? I know Kibonde for years ni Kibonde kweli kweli, muache aungane na wadanganyika wengine kufurahia kuishi katika hali ya umaskini. Mimi sina chama cha kushabikia, lakini ninaimani Dr is for Tanzanians tofauti na huyu Celebrity Jeykey ambaye utakuta anashabikiwa na wasiojua tunatakia kuwa au kuelekea wapi katika maendeleo kwa kuendelea kuwapa magabachilo all that we have...gold etc

Huyu Msomali Kinana kama ilivyo ada ya wengine wamezoea kusomea wananchi data za kwenye makaratasi haswa wakijua kuwa watu hao hawazielewi na hata wao wenyewe. Na ndio maana wanahofia JeyKey kuingia kwenye mdahalo maana wanajua hamna kitu. Na wanajua fika Todo hataendesha mdahalo huu kwa kusaidia kuwapa watu maswali ambayo Jeykey atakrem na kujibu.

Go Slaa, Go...help us to cross the desert tufike nchi ya ahadi.
 
Mwaka huu wabunge 10 wa CCM wamepita bila kupingwa linganisha na mwaka 2005 zaidi ya wabunge 60 wa CCM walipita bila kupingwa.

Wewe nani kakuambia 2005 wabunge 60 wa ccm walipita bila kupingwa?walikuwa wa 5 tu!mwaka 2005!
 
Hata CCM wangeanza kwa kupata majimbo 100 bado Rais wakati huu atakuwa Slaa tu. Kama Watanzania hawataibiwa kura zao, lazima wengi wao watamchagua Dr Slaa badala ya Kikwete.

Watanzania wana uhakika wa kuendelea na hali hii mbaya waliyonayo kama hawatafanya mabadiliko makubwa ya utawala. Si wajinga. Watafanya hayo mabadiliko.
Al sahaf aliyekuwa waziri wa habari wa sadam kipindi cha vita vya Iraq,wanajeshi wamarerakni wameshaingia Baghdad yeye anadai bado wakiingia tu Baghdad tutawamaliza hao!endelea kuota hivyo Nov tutakuatna hapa tena JF
Wakati kampeni zitakapopanda moto na makundi makubwa yakajitokeza kumsikia Slaa akizungumzia UFISADI, CCM watahaha na kutaka kufanya fujo zao za kawaida. Watazuia viwanja wakidai ni vyao. Hapo huenda kukawa na vurugu za kweli, kwani wakati huu nadhani hata Polisi wa CCM hawataweza kuthubutu kupiga risasi kwenye umati mkubwa. Mauaji ya Pemba yalitosha.

Ukiritimba wa madaraka wa CCM utakwisha wakati huu. Ni vema wakaacha kuwe na amani badala ya kuondoka kwa vurugu.

Endelea kuota hivyo miezi miwili sio mbali hope utakuwa bado upo hapa JF
 
yaani pambano bado halijaanza ccm tayari wana 10 wakati chadema 0
hii haileti picha nzuri hatakidogo kwa upinzani
 
Back
Top Bottom