CCM watashinda, lakini wajue hukumu hiyo itaamsha ari zaidi ya kudai Tanganyika na Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi

Rubbish Rubbish! The mother of arabs! of course!
Mahakama ya wananchi itachemka zaidi trust me mabi ushungi this time atasepa kwenda pemba for ever! Yeye aendelee kutoa mimacho ya bundi tu! Bandari haiuzwi kwa hongo! NOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO!
Sidhani kama wanajeshi wa Tanganyika wanakubali ushnzi huu
Kuna blunder moja ataifanya ya kubadiri say mkuu wa majeshi aweke mzanzibar, rebellion itaanzia hapo mana trend ya sasa ni kuwa ana replace watanganyika kwa wazazibari,
 
hiyo Tanganyika utaidai na mamako we poyoyo. Mbona hamkuidai wakati wa Magufuli? Kwanza hiyo Tanganyika utamdai nani, kuna mtu mlimkopesha? Yaani hamjioni mlivyo wapumbavu? Wengi wenu kufikia 2030 mtakuwa mmeshakufa na presha wakati nchi yetuikiwa iko mbali sana kimaendeleo
 
Anzisheni mahakama zenu km mnaweza, kweli mazuzu hayajitambui
 
Watashinda kimchongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…