Maaskofu ni wataalamu wa philosofia, yeye alitegemea atawatega kwa futari kumbe wakagundua mapema - ha ha ha tutasikia mengi mwaka huu. hizo hela za mabango wangesadia watoto yatima ningewasifu sana.Kiherehere chao kimewaponza.walikuwa wameweka bango kubwa kikwete akiwa na maaskofu wa kkkt,ALEX MALASUSA, na ELISA BUBERWA, wakaandika eti tunaheshimu uhuru wa kuabudu. Mnamuona kikwete? Maaskofu wasipokuwa makini,atawaingiza mkenge.nawapöngeza wale wa mbeya kugundua janja yake ya nyani.hilo bango baada ya karipio la Ndg Lwakatare,leo limeondolewa.CCM aibu kwenu bkb.
Aaahhh....huyu kiwete bwana........waislamu walisema hawatampa kura kwa sababu ya kutotimiza matakwa km alivyowarubuni kuwa atawaanzishia mahakama ya kadhi akijua wazi kuwa ni kuvunja sheria za nchi....................baada ya kwaislamu usema hivyo kikwete akajifanya kufanya ukaribu na wakristo eti ionekane amewasahau waislamu na hajali chochote kinachosemwa nao.........alicho kifanaya aliwaita masheikh wote na kuwaomba wawatulize waislamu kwani ana mpango kabambe hata asipoweka kwenye ilani mambo ya oic na kadhi,,,,,,,,,ndiyo maana waislamu wamenyamaza kimya kwani kunba ahadi tamu na wameombwa wasubiri uchaguzi upite............wakristo niliishawatahadharisha mapema hapo kabla kujihadhari na kikwete kwani aliisha kula yamini kuwasaidia waislamu na km ujuavyo misimamo mikala ya kiislamu waliishamwambia sawa tunanyamaza kimya ila ukitudanganya tena albadri itakuwa juu yake na kikwete hana yesu kwa hiyo atakaposomewa albadri kwa kutotimiza matakwa ya waislamu itamuathili sana kwa hiyo atatimiza matakwa ya hao makafili kwa namna yoyote ile................
Hongera wana mbeya kwa kutokubali kudanganyika.........wachungaji na mapadre igeni mfano huu wa wale wa mbeya.....
=-najua cuf ni taasisi ta kiislamu ila nimeshangaa jana kwenye mwananchi wanajinadi kuwa viongozi wa cuf ni kama yesu sijui walimaaniosha nini ila lengo ni lilelile la kutaka kujisafisha kwa maneni wakatio vitendo ni uongo
Wewe unasema kwa takwimu au kwa kupayuka tu.ccm inaondokaje???????????????????????? au kwa maneno haya ya kanga tunayofanya????????????????????? hakuna mipango ya kuiondoaa sisiemu!!!!!!!!!!!!!!!! inaingia akilini kweli kwa mfano chadema hiyo mnayo iona inaweza kuiondoa sisiemu haija simamisha wagombea majimbo zaidi ya 150!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! jamani mipango mipango hakunaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!
ccm inaondokaje???????????????????????? au kwa maneno haya ya kanga tunayofanya????????????????????? hakuna mipango ya kuiondoaa sisiemu!!!!!!!!!!!!!!!! inaingia akilini kweli kwa mfano chadema hiyo mnayo iona inaweza kuiondoa sisiemu haija simamisha wagombea majimbo zaidi ya 150!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! jamani mipango mipango hakunaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!
Aaahhh....huyu kiwete bwana........waislamu walisema hawatampa kura kwa sababu ya kutotimiza matakwa km alivyowarubuni kuwa atawaanzishia mahakama ya kadhi akijua wazi kuwa ni kuvunja sheria za nchi....................baada ya kwaislamu usema hivyo kikwete akajifanya kufanya ukaribu na wakristo eti ionekane amewasahau waislamu na hajali chochote kinachosemwa nao........
Aalicho kifanaya aliwaita masheikh wote na kuwaomba wawatulize waislamu kwani ana mpango kabambe hata asipoweka kwenye ilani mambo ya oic na kadhi,,,,,,,,,ndiyo maana waislamu wamenyamaza kimya kwani kunba ahadi tamu na wameombwa wasubiri uchaguzi upite.
Wakristo niliishawatahadharisha mapema hapo kabla kujihadhari na kikwete kwani aliisha kula yamini kuwasaidia waislamu na km ujuavyo misimamo mikala ya kiislamu waliishamwambia sawa tunanyamaza kimya ila ukitudanganya tena albadri itakuwa juu yake na kikwete hana yesu kwa hiyo atakaposomewa albadri kwa kutotimiza matakwa ya waislamu itamuathili sana kwa hiyo atatimiza matakwa ya hao makafili kwa namna yoyote ile................
Hongera wana mbeya kwa kutokubali kudanganyika.........wachungaji na mapadre igeni mfano huu wa wale wa mbeya.
Najua cuf ni taasisi ta kiislamu ila nimeshangaa jana kwenye mwananchi wanajinadi kuwa viongozi wa cuf ni kama yesu sijui walimaaniosha nini ila lengo ni lilelile la kutaka kujisafisha kwa maneni wakatio vitendo ni uongo
Nani alimpakazia LIPUMBA NA CUF kuhusu uislamu wao...CCM is the source of every evil
huyu malasusa mtu hatari sana amekuwa akitumiwa na lowassa kwa muda mrefu na anaipeleka KKKT mahali kusiko takiwa ni mtu hatari narudia tena., maaskofu wa dizaini ni kama methodius Kilaini aliyewahi kusema JK ni chaguo la Mungu , leo kapelekwa Bukoba akapumzike mdomo ulimponza akashindwa kujua RC ni makini.