Aaahhh....huyu kiwete bwana........waislamu walisema hawatampa kura kwa sababu ya kutotimiza matakwa km alivyowarubuni kuwa atawaanzishia mahakama ya kadhi akijua wazi kuwa ni kuvunja sheria za nchi....................baada ya kwaislamu usema hivyo kikwete akajifanya kufanya ukaribu na wakristo eti ionekane amewasahau waislamu na hajali chochote kinachosemwa nao.........alicho kifanaya aliwaita masheikh wote na kuwaomba wawatulize waislamu kwani ana mpango kabambe hata asipoweka kwenye ilani mambo ya oic na kadhi,,,,,,,,,ndiyo maana waislamu wamenyamaza kimya kwani kunba ahadi tamu na wameombwa wasubiri uchaguzi upite............wakristo niliishawatahadharisha mapema hapo kabla kujihadhari na kikwete kwani aliisha kula yamini kuwasaidia waislamu na km ujuavyo misimamo mikala ya kiislamu waliishamwambia sawa tunanyamaza kimya ila ukitudanganya tena albadri itakuwa juu yake na kikwete hana yesu kwa hiyo atakaposomewa albadri kwa kutotimiza matakwa ya waislamu itamuathili sana kwa hiyo atatimiza matakwa ya hao makafili kwa namna yoyote ile................
Hongera wana mbeya kwa kutokubali kudanganyika.........wachungaji na mapadre igeni mfano huu wa wale wa mbeya.....
=-najua cuf ni taasisi ta kiislamu ila nimeshangaa jana kwenye mwananchi wanajinadi kuwa viongozi wa cuf ni kama yesu sijui walimaaniosha nini ila lengo ni lilelile la kutaka kujisafisha kwa maneni wakatio vitendo ni uongo